Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,133
- 11,391
Hili nijambo la kushangaza lakini ndio ukweli , pamoja na high mortality rate ya Me lakini bado idadi inakaribiana sana , kwa nchi na nchi ukikuta Me wamezidi basi haizidi 2% na ukikuta Ke wamezidi hawazidi 1% hata hivyo Science inaonesha chance kubwa ya kuzaliwa mtoto wakiume kuliko wa kike ,, kwanini idadi ikaribie kubalance ? Nani anasimamia huo mchakato?