Kwanini Idadi Kubwa Ya Walokole Ni Maskini?

Kwanini Idadi Kubwa Ya Walokole Ni Maskini?

Status
Not open for further replies.
Hasa wanawake ni wajinga sana mali zao, hela zao wanawapa wachungaji. Stupid

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mbona hawa mitume na manabii wa kileo ni matajiri sana? Wao hawamfuati yesu?

Hili ni hekalu la CREFLO DOLLAR


tumblr_inline_mxayqa86fh1ss6hjj.jpg


Hekalu la JOYCE MEYER

meyercompound%20(1).jpeg


Hekalu la GETRUDE LWAKATARE

moja1.jpg

Daaaahhh...mkuu turushie na mahekalu ya Mzee wa Efatha, Kakobe, Mzee wa Upako, Gwajima nk
 
Hatukatai Ndugu Yangu Sisi Sote Tunasali Na Tunamuamini MUNGU VIZURI TU. Ila Tunajituma Pia Kutafuta MKATE WA KILA SIKU

Suala la umasikini ni pana sana sio kama unavyoliweka hapa.Haya niambie Watanzania asilimia ngapi masikini na wangapi matajiri!? wewe umechukua sample ya ndugu yako mmoja tu na umeconclude na je ulifatilia kwa nini kawa hivyo!?
 
jibu lake jumapili njoo tusali kanisa la ufalme wa moto kwa mama rwakatale alafu uju humu uwape majibu
 
Waislam wengi washika dini ndo wanaovaa ndala, kanzu zina viraka, baraghashia ina matobo, na wengi wanategemea misosi ya kwenye shughuli. Hakika uislam na umaskini ni kama mkate na blue band
Unakaa nyumba ya madirisha ya chuma/mbao au kioo? Kama ni ya kioo jiandae kwa mawe...
 
Wakuu Habari!
Huwa Na Jiuliza Kuna Uhusiano Gani Kati Ya Umaskini Na Ulokole, Kwani Nina Ndugu Yangu Kabla Ya Kuokoka Alikuwa Na Kibato Kizuri Tu, Na Gari Na Nyumba Nne. Lakini Baada Ya Kuokoka Amefilisika Kabisa Ameuza Gari Na Nyumba Mbili. Sasa Anashindwa Hata Kuwasomesha Watoto Wake Yaani Amechoka.
Swali La Kujiuliza Kwanini Idadi Kubwa Ya Watu Wanaojiita WALOKOLE Ukiingalia Maisha Yao Ni Duni Lakini Sio Wote. Sasa Kuna Uhusiano Gani Kati Ya Ulokole Na Umaskini?


Acha zako kwani hujui kama mali zake amemalizia kwa Mchungji Nabii,, mtume... kwa ajili ya kishawishi cha miujiza??? au unatutaka maneno??? kila anavyozidi kufilishika ndo mjungaji anavyozidi kuneemeka.... That is mordern church brother
 
Suala la umasikini ni pana sana sio kama unavyoliweka hapa.Haya niambie Watanzania asilimia ngapi masikini na wangapi matajiri!? wewe umechukua sample ya ndugu yako mmoja tu na umeconclude na je ulifatilia kwa nini kawa hivyo!?

Sawa Nakubaliana Na Wewe, Kuna UMASKINI WA UNAOSABABISHWA NA MTU MWENYEWE NA UMASKINI UNAOSABABISHWA UTAWALA,Hapa Nazungumzia Umaskini Wa Mtu Binafsi.
 
Acha zako kwani hujui kama mali zake amemalizia kwa Mchungji Nabii,, mtume... kwa ajili ya kishawishi cha miujiza??? au unatutaka maneno??? kila anavyozidi kufilishika ndo mjungaji anavyozidi kuneemeka.... That is mordern church brother

Sawa Hata Mimi Hilo Nalifahamu. Watu Wangu Wanaangamia Kwa Kukosa Maarifa.
 
Tujiulize,tafsiri sahihi ya neno "WALOKOLE" !.
Tusiwe na mashindano ya maneno yasiyo na faida,bali huwaharibu wasomaji !
 
Swali lako ni la maana sana.
Tofauti yetu na wenzetu wa ng ambo ni kwamba wao wanatolea hesabu ya kila fedha wanayopokea na hupangiwa asilimia ipi iende kwa mkuu we taasisi, na ipi itumike kwa jamii.
Hapa kwetu hakuna hesabu inayojmulikana, sana sana ni watu wachache mf kina Lwakatare.....
Ukihoji fedha inatumika vp utaumizwa utaitwa pepo shetani belzebuli nyoka ibilisi iskariyote.....
Na wewe uliyeokoka na kipato chako utapangiwa vitu vinavyohitajika kanisani kwa kivuli cha utabarikiwa mwishowe wakiona uko hoi wanakuambia kumbuka wapi ulijikwaa.......
 
Hivi Mlima wa moto na Ufalme wa moto vinafanana?

Ndio vinafanana sana ,,, yaani vyote ni jehanamu au ziwa la MOTO... maswali ya nini.... nenda kasali huko then siku ya mwisho utupe majibu... umeshaambiwa MOTOalafu unataka kujifanya huujui
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom