Kwanini hivi lakini?

Kwanini hivi lakini?

fahim

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
54
Reaction score
6
Habari! Walimwengu.

Kama kusoma nimesoma lakini maisha yamekuwa tofauti na mategemeo yangu! Kiukweli, kazi imekua ngumu kupata, sina hela sina connections yoyote!. Yani nadharaulika! Mpaka nimechoka, niliomaliza nao std 7, form 4&6 ndo nawanyenyekea kuwaomba msaada wa pesa, connections mpaka kazi wananiahidi then wananpotezea!

Sitaki kumkufuru mungu au kuamini kuwa nina mkosi au familia yetu sio ya kufanikiwa! Lakin hata kaz yoyote ya kupata cha kujikimu tu! imeshindikana kuomba nimeomba mpaka kwa sauti ya huruma lkn bado! Mim ndio wakwanza na pekee kufika chuo kwenye ukoo wetu lakini sioneshi ahueni ili ndg wengine waige kwangu! Bali nimekuategemezi kwao kwasababu wao washauzoea mtaa!.

Nimechoka! Nimechoka! Nimechoka!, nitajiajirije wakati hata buku ya vocha na usafiri shida, nitalimaje wakati ndugu wote wakulima na bado hatuna kitu. Imeniuma sana mpaka nkaamua kuleta kilio changu kwenu ni pale; kwanza cv yangu haina chochote zaidi ya wapi nilisoma kwasababu sijawah fanya kazi kokote ni shule tu!,basi jana usiku

Nilipomwambia mdogo wangu mmoja shida zangu anafanya kazi kweny kampuni moja hivi namuita mdogowangu kwasababu nlimuacha shule(o'level) na anaelimu ya form four tu! akaniambia "eti andaa cv yako vizuri' form 4 anamwambia mwenye degree"afu akaingia mitini.dunia haiko fair kabsaa!!. Namuomba mungu awazidishie muweze kunisaidia amina! Kazi njema!
 
Kwanza nakuomba saana uondoe dhana ya mtaji ni Pesa. Ukifanikiwa kufuta hyo anza kutafuta mtaji sasa.... polee mkuu
 
Umesomea nini ndgu? Tatizo ni failure in career choice hasa kwa sisi watoto wa wakulima
 
Habari! Walimwengu.Kama
kusoma nimesoma lakini maisha yamekuw tofauti na mategemeo yangu!
Kiukweli, kazi imekua ngumu kupata,sina hela sina connections yoyote!.
Yani nadharaulika! Mpaka nimechoka,niliomaliza nao std 7,form 4&6
ndo nawanyenyekea kuwaomba msaada wa pesa,connections mpaka kazi
wananiahidi then wananpotezea!.Sitaki kumkufuru mungu au kuamini kuwa
nina mkosi au familia yetu sio ya kufanikiwa! Lakin hata kaz yoyote ya
kupata cha kujikimu tu! imeshindikana kuomba nimeomba mpaka kwa sauti ya
huruma lkn bado!.Mim ndio wakwanza na pekee kufika chuo kweny ukoo wetu
lkn sioneshi ahueni ili ndg wengine waige kwangu! Bali nimekuategemezi
kwao kwasababu wao washauzoea mtaa!.Nimechoka! Nimechoka!
Nimechoka!,nitajiajirije wakati hata buku ya vocha na usafiri
shida,nitalimaje wakati ndg wote wakulima na bado hatuna kitu.Imeniuma
sana mpaka nkaamua kuleta kilio changu kwenu ni pale; kwanza cv yangu
haina chochote zaidi ya wapi nilisoma kwasababu sijawah fanya kazi
kokote ni shule tu!,basi jana usiku nilipomwambia mdogo wangu mmoja
shida zangu anafanya kazi kweny kampuni moja hivi namuita mdogowangu
kwasababu nlimuacha shule(o'level) na anaelimu ya form four tu!
akaniambia "eti andaa cv yako vizuri' form 4 anamwambia mwenye
degree"afu akaingia mitini.dunia haiko fair kabsaa!!. Namuomba mungu
awazidishie muweze kunisaidia amina!. Kazi njema!

mkuu kwanza, nakupa pole, kwa maana hiyo hari hata mimi ilinikuta sana, na nkafikilia njia nyingine ilikuwa ngumu sana, nilichoamua mimi ni kurud tena kusoma, nikaomba hadi post za uwalimu wa diploma na grade A, kwani nisingekubali kuwa mtaani ndani ya mwaka mzimma tena, kwa maana hiyo haya post za kuchaguliwa chuo zitakazo toka, jina langu limo, mungu ni mkumbwa baada ya kuona juhudi zangu, mara nikapata kazi benk moja ambayo ni super brand kwa tanzania, na kwa sasa ndio napiga mzigo hapo. nini nilichotaka kusema, ni kwamba usikubali kupoteza mwaka kizembe, kasome uwalimu huku unatafuta kazi uliyosomea, kama mungu akikujaalia ndani ya kipindi hicho , basi unaacha uwalimu, na unaendelea na kazi yako, kuliko ukakaa mtaani ukisubili ajira, ndani ya miaka miwili unasota, kumbe ungesoma uwalimu, ndani ya miaka miwili, ungekuwa tayari unapata mshahara. asante ndio ulikuwa mawazo yangu, na naamini yangeweza kutimia. ila mungu hakupanga iwe hivyo.
 
Pole sana kaka....komaa huku ukizid kumwomba Mungu. Kuna watu wapo kwenye hali ngumu kuliko wewe. Main Point: Usikate tamaa!
 
ndg yangu temmbo umetoa very wise idea,name nipo kwenye janga la ajira,nina degree nmemalza chuo 2012 cjawah hta kupata kaz yyote kwenye cv kumetawaliwa na education background na field,sasa naomba unisaidie jinsi gan najkta kwenye ualmu angalau unisaidie manake umr unazd kwenda ajira hakuna maisha yanazd kuwa mawe
 
Pole mkuu.Nami nipo kwenye situation kama yako. Muombe Mungu ipo siku utafanikiwa. Watoto wa wakulima ambao tulijengewa kwamba ukimaliza unaajiriwa ilitakiwa tusome kozi ambazo unaajiriwa moja kwa moja, hata kama hupendi hizo kozi. Ajira ni shida na kama huna network nayo shida. Watu wanakudharau tu na kukukejeli. Nimeshakutana na watu wa kila aina wanao niahidi kunitafutia kazi, kumbe wana malengo mengine. We muombe Mungu ipo siku tu.
 
Habari! Walimwengu.

Kama kusoma nimesoma lakini maisha yamekuwa tofauti na mategemeo yangu! Kiukweli, kazi imekua ngumu kupata, sina hela sina connections yoyote!. Yani nadharaulika! Mpaka nimechoka, niliomaliza nao std 7, form 4&6 ndo nawanyenyekea kuwaomba msaada wa pesa, connections mpaka kazi wananiahidi then wananpotezea!

Sitaki kumkufuru mungu au kuamini kuwa nina mkosi au familia yetu sio ya kufanikiwa! Lakin hata kaz yoyote ya kupata cha kujikimu tu! imeshindikana kuomba nimeomba mpaka kwa sauti ya huruma lkn bado! Mim ndio wakwanza na pekee kufika chuo kwenye ukoo wetu lakini sioneshi ahueni ili ndg wengine waige kwangu! Bali nimekuategemezi kwao kwasababu wao washauzoea mtaa!.

Nimechoka! Nimechoka! Nimechoka!, nitajiajirije wakati hata buku ya vocha na usafiri shida, nitalimaje wakati ndugu wote wakulima na bado hatuna kitu. Imeniuma sana mpaka nkaamua kuleta kilio changu kwenu ni pale; kwanza cv yangu haina chochote zaidi ya wapi nilisoma kwasababu sijawah fanya kazi kokote ni shule tu!,basi jana usiku

Nilipomwambia mdogo wangu mmoja shida zangu anafanya kazi kweny kampuni moja hivi namuita mdogowangu kwasababu nlimuacha shule(o'level) na anaelimu ya form four tu! akaniambia "eti andaa cv yako vizuri' form 4 anamwambia mwenye degree"afu akaingia mitini.dunia haiko fair kabsaa!!. Namuomba mungu awazidishie muweze kunisaidia amina! Kazi njema!

Pole sana ndugu yangu tuko kwenye janga moja lakin tukaze moyo,tusikate tamaa iko siku mungu atatunyooshea mkono
 
Career choice = proper selection of academic program based on your job exposure

Professional = what obtained or pasuided ( including meeting it's criteria) , ni kwa uelewa wangu mfupi, waweza nipa darasa pia



Hivi unajua tofauti ya career na professional wewe?
 
Career choice = proper selection of academic program based on your job exposure

Professional = what obtained or pasuided ( including meeting it's criteria) , ni kwa uelewa wangu mfupi, waweza nipa darasa pia

Kwa mfano wewe ni Mwanasheria kitaaluma lakini unafanya biashara Kama shughuli yako ya kila siku.Sheria ni professional kwako na biashara ni career.Umeelewa bwana mdogo?
 
Kwa mfano wewe ni Mwanasheria kitaaluma lakini unafanya biashara Kama shughuli yako ya kila siku.Sheria ni professional kwako na biashara ni career.Umeelewa bwana mdogo?



Nitake radhi bwana , umetumia kigezo gan kuniita DOGO? Rejea maana academic career choice, kwa mfano wako, na aliyesoma BBA/ Accounts atasemaje? OK toa ushauri au msaada wa huyo ndugu, tumsaidieje?
 
Career choice = proper selection of academic program based on your job exposure

Professional = what obtained or pasuided ( including meeting it's criteria) , ni kwa uelewa wangu mfupi, waweza nipa darasa pia

Kwa mfano Dr.Izack Maro wa kipindi cha njia panda Clauds redio.Udaktari ni professional yake lakini utangazaji ni career kwake au Tundu Lissu Law ni professional kwake, lakini siasa ni career(political career) Vice versa Prof Mwesiga Baregu siasa(Political science) ni professional kwake
 
Kwa mfano Dr.Izack Maro wa kipindi cha njia panda Clauds redio.Udaktari ni professional yake lakini utangazaji ni career kwake au Tundu Lissu Law ni professional kwake, lakini siasa ni career(political career) Vice versa Prof Mwesiga Baregu siasa(Political science) ni professional kwake


Acha kujadili usichokijua, na mifano irrelevant .

Nimekuleza kwa lugha rahisi ila huelewi,
Career choice ni kile mwanafunzi anaenda kukisomea , kwa kushirikiana either na mwalimu / mzazi kwa kufuata mtaala humsaidia mwanafunzi kupata ujuz, uelewa unaohitajika kufanikisha kufikisha lengo mbeleni.

Professional inaweza kuwa ni MTU / watu waliofikia elimu hitajika ambayo inawandaa hao watu wenye ujuzi na uelewa unaowasaidia kufanya wajibu wa ile taaluma, wakioongozwa na miiko yao.
 
Nimekuuliza umesoma nini? Nijibu na kama uko mwanza nitakutafuta
 
Nimekuuliza umesoma nini? Nijibu na kama uko mwanza nitakutafuta


Samahani sana sina haja ya kujibishana na wanafunzi,toka mwanzo nilijua tu itakuwa ngumu sana kunielewa.We endelea kukariri hizo definition zako.
 
Samahani sana sina haja ya kujibishana na wanafunzi,toka mwanzo nilijua tu itakuwa ngumu sana kunielewa.We endelea kukariri hizo definition zako.

Mimi ni mwanafunzi sawa, sasa turudi kwenye mada husika, unamsaidiaje huyu ndgu?

Note, hii sio Facebook ni jamii forum, usioneshe udhaifu wako wa kitaaluma, wengine tumeelimika na tunahitaji kusaidia wahitaji, ndio maana tunauliza amesoma nini ili kama sio kumsaidia direct basi tumpe ushauri
 
Mimi ni mwanafunzi sawa, sasa turudi kwenye mada husika, unamsaidiaje huyu ndgu?

Note, hii sio Facebook ni jamii forum, usioneshe udhaifu wako wa kitaaluma, wengine tumeelimika na tunahitaji kusaidia wahitaji, ndio maana tunauliza amesoma nini ili kama sio kumsaidia direct basi tumpe ushauri

Sasa wewe mwanafunzi haujui hata changamoto za ajira unaweza kumsaidiaje huyo jamaa.Alafu usipende kujipima na watu ambao ni senior kwako kuna vitu utavikosa kwa kujifanya mjuaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom