Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,784
Kwenye foleni muda wa kwenda ofisini ukiona mwanamke yuko na mwanaume
halafu wana nyuso za furaha, wanaongea kwa kucheka na kwa upendo, ujue
hao ni ma boy friend na ma girl friend, au mtu na nyumba yake ndogo au
ni wachumba.
Lakini ukiona mtu na mwenzake wamenuna, sura zimekunjamana utadhani
wamepita karibu na choo cha soko ujue hao n i mtu na mkewe.
Je kwanini hali iko hivyo?
halafu wana nyuso za furaha, wanaongea kwa kucheka na kwa upendo, ujue
hao ni ma boy friend na ma girl friend, au mtu na nyumba yake ndogo au
ni wachumba.
Lakini ukiona mtu na mwenzake wamenuna, sura zimekunjamana utadhani
wamepita karibu na choo cha soko ujue hao n i mtu na mkewe.
Je kwanini hali iko hivyo?