Kwanini Hayati Magufuli hapoi?

Kwanini Hayati Magufuli hapoi?

Huna haja ya kutumia miguvu kupambana na marehemu sababu hayupo.

Miaka mi 5 tu imetosha kumuwekea magu kuwa kiongozi Bora wa mfano katika kupambana na umaskini, angalia miradi yote ya kimkakati akili zitakurudia.
Ila wewe ndiyo una RUKSA ya kutumia miguvu kumpamba marehemu ambaye hayupo?? Wewe Liwagu una akili ya pwagu kabisa. Wewe unatumia nguvu kumsifia miradi halafu unasema Mimi nisitumie nguvu kusema maovu yake? NONSENSE

Nasema kila mtu ashinde MECHI zake, wasomaji wataaamua siyo wewe
 
Ila wewe ndiyo una RUKSA ya kutumia miguvu kumpamba marehemu ambaye hayupo?? Wewe Liwagu una akili ya pwagu kabisa. Wewe unatumia nguvu kumsifia miradi halafu unasema Mimi nisitumie nguvu kusema maovu yake? NONSENSE

Nasema kila mtu ashinde MECHI zake, wasomaji wataaamua siyo wewe
Muwe mnaona aibu kidogo na mjaribu kuwa wazalendo.

Marehemu atawanyima usingizi kwa miaka mingi sana ijayo kwasababu alikuwa mzalendo na mkweli.

Haku pepesa macho Wala hakutafuna maneno kwenye mambo yanayo husu taifa.
Kama ulikuwa cheti feki umejionea mwenyewe kilicho tokea.

Alikuwa mkweli na ukweli unatabia ya kudumu milele.

Tegemeeni kumuona akiwajia usiku kwenye ndoto maisha yenu yote.
Ilimradi mnaogopa kuwajibishana kwasababu ya urafiki na kuogopa kusemwa vibaya, basi mtaweweseka popote mtakapo sikia jinalake.
 
Na Magufuli alikuwa Rais katili kuliko woote!
Kwa mujibu wako wewe, ila watanzania tunaoipenda nchi Magufuli was the best President of this Era. Hata baba mkali huchukiwa na watoto wakiwa wadogo ila humshukuru sana uzeeni sababu nafasi anazowatengenezea kimaisha huwa ni za muhimu kuliko starehe za kitoto.
 
Wewe mafisadi waliojazana wizarani na serikalini wa chapa ya Msowger wamekunufaisha nini hadi sasa. Au maskini kuteseka ndio furaha yako? Magufuli nafasi yake haina spea tutakitangaza kifo chake na kutukuza kazi yake nchini mpaka siku tutapokufa.
kwasababu aliua na kutesa wapinzani wake.
alipora korosho za wakulima huko kusini akitumia JWTZ
Alijenga uwanja wa ndege kijijini kwao bila kufuata sheria za manunuzi wala kupitishwa na bunge (kinyume kabisa na katiba na sheria)
Alinunua ndege bila kufuata hayo nliyosema hapo juu
aLIKAA Ikulu miaka 5 bila kupandisha madaraja wala mishahara kwa watumishi wa umma
Yupo wapi ben sanane? Anzory Gwanda na Alphonso mawazo? waliwafanya nini watu hawa?
Nani alimminia TUNDU LISU Marisasi yale pale Dodoma mchana ule wa jua kali ? upo wapi upelelezi wa sjauri lile la kinyama kabisa?
 
Wataalam wa siasa mnisaidie kunielewesha. Kwanini kila kona ya nchi mtu anayeongelewa sana kwenye mijadala ni Magufuli?

Mwanzoni nilijua ni ishu temporary kutokana amekufa akiwa madarakani, ila kila kukicha ni kama moto unaotambaa kwenye nyasi kavu zilizotandazwa.

Of course kuna upande unamsifu sana na kuna upande unamsema vibaya sana.

Swali langu kwa nini yeye na kuna wastaafu wengi tu na walifanya mambo mengi (mabaya na mazuri)?

Maana nnaona dalili ya kizazi cha sasa awa waliozaliwa kuanzia 1997 hapo kuendelea wanaanza kumtumia kama reference as tulivyofanya sisi watu wazima kwa Nyerere.
ACHA utani, Mkuu nina deni naye HUKO aliko, siku ikifika tutazichapa haswa
 
Muwe mnaona aibu kidogo na mjaribu kuwa wazalendo.

Marehemu atawanyima usingizi kwa miaka mingi sana ijayo kwasababu alikuwa mzalendo na mkweli.

Haku pepesa macho Wala hakutafuna maneno kwenye mambo yanayo husu taifa.
Kama ulikuwa cheti feki umejionea mwenyewe kilicho tokea.

Alikuwa mkweli na ukweli unatabia ya kudumu milele.

Tegemeeni kumuona akiwajia usiku kwenye ndoto maisha yenu yote.
Ilimradi mnaogopa kuwajibishana kwasababu ya urafiki na kuogopa kusemwa vibaya, basi mtaweweseka popote mtakapo sikia jinalake.
Kwa hiyo Sukuma Gang inayarajia Magufuli atakujia ndotoni akupe teuzi? Ndiyo maana unaogopa kumkosoa kwenye UHAYAWANI aliofanya?

Pumbavu mkubwa wewe, yule ni chakula cha minyoo tu sasa hivi, unapoteza muda kumsubiri, HAWEZI kufufuka
 
Pia zipo familia za mamilioni ya watanzania wakiwepo wajomba zako na nduguzako vijijini kwenu huko wanamuombea heri na raha ya milele huko mbinguni astarehe kwa amani.

Despite miga threats.
Anayemuombea heri ni muuaji mwenzie.
 
Magufuli alifanya kazi ambayo watanzania wengi aliwagusa ndiyo maana ataongelewa sana.pamoja na lile kundi la msoga gang kulipwa pesa kumchafua lakini hachafuki.
Ni kweli aliwagusa kwa kuwatesa, kuwafunga, kuwaua, kuwateka nk
 
Back
Top Bottom