Mbaya sana,afu kwa sasa tumechukulia kama ni jibu jepesi
Kuna mkuu hapo juu kacomment kuwa huenda uulizaji wako pia unakuwa haupo katika namna nzuriMwanamke au mwanamme ana haki ya kukuuliza umetoka wapi kama umerudi nje ya utaratibu ,sasa mtu anauliza for the good na wewe unatoa jibu la kashfa lazima kinuke tu....Mimi nina imani mme hawezi tu kufikiri niuue mke hapana ni kuna vitu hapa kati vinatokea ndiyo vinaibua kipigo.
Inakuaje mnaulizana umetoka kugongwa?
Midomo midomo midomo inaongea uchafu uchafu tuKwa namna hii na kauli kama hizi, mauaji hayawezi kuisha.
View attachment 3272881
Kuna mkuu hapo juu kacomment kuwa huenda uulizaji wako pia unakuwa haupo katika namna nzuri
Punguzeni Midomo mnaongea sana ndio chanzo cha Maugomvi mengi ni Midomo midomo ya WanawakeUjumbe umenyooka sana,🙏
2&4 ndiyo imekuwa kisingizio Cha kwenda 🙌1. Watoto
Wanandoa wanakosa majibu ikiwa tutaachana malezi ya watoto yatakuwaje. Watalelewa na mama wa kambo? Baba anaona mzigo kulazimika kuhudumia watoto huku mama yao akiliwa na mtu mwingine
2. Kugawana mali
Hapa mwanaume ndio muathirika
3. Unafiki wa ndugu na viongozi wa dini
Ndugu tumekuwa wanafiki "aaah mimi sitaki kuwashauri waachane, wakirudiana nitaweka wapi uso wangu". Viongozi wa dini nao hawataki watu waachane, wanatengeneza zaidi kuliko kubomoa
4. Nitaonekanaje
Wanaume wanashindwa kulijibu hili swali
Binafsi sihofii kuachana. Kama usenge umeingia kati yetu piga chini
AMENLife is too short wakuu
Hasira zikisha panda akili ya kumwambia rudi kwenu haipo.🤣🤣🤣 Mwambie arudi kwao,usimuue
Inaogopesha sana aiseeHasira zikisha panda akili ya kumwambia rudi kwenu haipo.
Hata wanaofanya mauaji, unafikiri wanakuwa kwenye akili yenye utulivu wa kufikiri?
Yani hapo akili inakuwa provoked vibaya sana, Kiwango cha hasira kinakuwa kwenye maximum.
Baada ya kipigo au mauaji ndio akili inashtuka sasa kwamba ushaua.
Ndoa tamu ww ..Nimegundua sababu ya wanandoa kutokuachana hata kama Wana ugomvi ndani,....ni mazoea.
Ule muda wa amani kidogo tu,mkacheka pamoja na kujadili maendeleo ya familia pamoja....huo muda ni kumbukumbu tosha pale mwenzio anapokuwa mbali nawe....
Kuogopa kuachana sababu ya watoto huenda ikawa ni sababu kuu....lakini mazoea na kuogopa kuingiza kitu kigeni at mpaka umtambue vyema,umzoee inachukua kipindi kirefu.
Nilitaka kusema nini.... Long-distance marriage mjishikilie...hajazoea kuishi nawe,hajazoea kulala nawe,hajazoea kukuona ana kwa ana Kila siku au baada ya muda Fulani mfupi...mkikosana haoni kama amepunguka kitu.
Nimechukulia mfano kwa wanangu,wakisafiri kidogo tu Mimi ndani nahisi nimepungukiwa kilakitu...wakirudi nitafurahi lakini baada ya muda kidogo tunaanza kupigishana kelele na tunakaa sawa tena....bas maisha yanaendelea.
NB: Mkifika stage mnataka kuuana,tafadhali kama ni mazoea bas utazoeana hata na jirani yako ukiwa umekimbia hiyo nguchiro ya kike au kiume.Waoneeni huruma wanaobaki nyuma baada ya nyie kuchinjana,wanabaki katika wakati gani.TUJIFUNZE KUJIPENDA KWANZA KABLA YA KITU CHOCHOTE.Life is too short wakuu.