Kwanini hawaachani mpaka wanauana?

Kwanini hawaachani mpaka wanauana?

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
37,365
Reaction score
91,919
Nimegundua sababu ya wanandoa kutokuachana hata kama Wana ugomvi ndani,....ni mazoea.
Ule muda wa amani kidogo tu,mkacheka pamoja na kujadili maendeleo ya familia pamoja....huo muda ni kumbukumbu tosha pale mwenzio anapokuwa mbali nawe....

Kuogopa kuachana sababu ya watoto huenda ikawa ni sababu kuu....lakini mazoea na kuogopa kuingiza kitu kigeni at mpaka umtambue vyema,umzoee inachukua kipindi kirefu.

Nilitaka kusema nini.... Long-distance marriage mjishikilie...hajazoea kuishi nawe,hajazoea kulala nawe,hajazoea kukuona ana kwa ana Kila siku au baada ya muda Fulani mfupi...mkikosana haoni kama amepunguka kitu.

Nimechukulia mfano kwa wanangu,wakisafiri kidogo tu Mimi ndani nahisi nimepungukiwa kilakitu...wakirudi nitafurahi lakini baada ya muda kidogo tunaanza kupigishana kelele na tunakaa sawa tena....bas maisha yanaendelea.

NB: Mkifika stage mnataka kuuana,tafadhali kama ni mazoea bas utazoeana hata na jirani yako ukiwa umekimbia hiyo nguchiro ya kike au kiume.Waoneeni huruma wanaobaki nyuma baada ya nyie kuchinjana,wanabaki katika wakati gani.TUJIFUNZE KUJIPENDA KWANZA KABLA YA KITU CHOCHOTE.Life is too short wakuu.
 
Hawaachani hadi wauane kwasababu biblia imewaambia hakuna kuacha hadi kifo kiwatenganishe kwahiyo wanafata maandiko
🤣🤣🤣Sasa hiyo siyo akili bali ni matope....
Wafuate hilo tu,wakati biblia imeandika makatazo mengi sana lakini yote yanafanyika...tazama amri kumi za Mungu,sijui ni amri gani inayofuatwa pale,hakuna...waache unafki
 
Nimegundua sababu ya wanandoa kutokuachana hata kama Wana ugomvi ndani,....ni mazoea.
Ule muda wa amani kidogo tu,mkacheka pamoja na kujadili maendeleo ya familia pamoja....huo muda ni kumbukumbu tosha pale mwenzio anapokuwa mbali nawe....

Kuogopa kuachana sababu ya watoto huenda ikawa ni sababu kuu....lakini mazoea na kuogopa kuingiza kitu kigeni at mpaka umtambue vyema,umzoee inachukua kipindi kirefu.

Nilitaka kusema nini.... Long-distance marriage mjishikilie...hajazoea kuishi nawe,hajazoea kulala nawe,hajazoea kukuona ana kwa ana Kila siku au baada ya muda Fulani mfupi...mkikosana haoni kama amepunguka kitu.

Nimechukulia mfano kwa wanangu,wakisafiri kidogo tu Mimi ndani nahisi nimepungukiwa kilakitu...wakirudi nitafurahi lakini baada ya muda kidogo tunaanza kupigishana kelele na tunakaa sawa tena....bas maisha yanaendelea.

NB: Mkifika stage mnataka kuuana,tafadhali kama ni mazoea bas utazoeana hata na jirani yako ukiwa umekimbia hiyo nguchiro ya kike au kiume.Waoneeni huruma wanaobaki nyuma baada ya nyie kuchinjana,wanabaki katika wakati gani.TUJIFUNZE KUJIPENDA KWANZA KABLA YA KITU CHOCHOTE.Life is too short wakuu.

Haya mambo hayapangwi, hutokea tu unaamua bila kufikiri baada ya kichwa na akili kusheheni kero zisizo na solutions. Ila kuna mambo nimejaribu kuangalia;

Chunguza hili;
Wanandoa wanaogombana mara kwa mara hawafikii level ya kuuana wakigombana wanashusha levels za hasira. Halikadhalika, ndoa yao haivunjiki kirahisi.

Wanaouana ni wale tunawaona wanaishi kizungu, maigizo mengi!! Mabusu hadharani na hawana muda wa kuongelea matatizo yao, wao wakikutana wanapretend love ila ukweli ni mioyoni wanaungua kwa mateso kweli kweli!!

Ndoa za hivi, ndiyo wanazouana coz mmojawapo anakuwa na lundo la maumivu na hana pa kusemea kiasi anachooamua moyoni ndiyo solution!!

Ushauri: kila mwisho wa mwaka, kaeni jadilini mapungufu yenu, kero, na solutions; kwa upendo kabisa tena ikiwezekana nendeni vakesheni kabisa wakati watoto wanaruka ruka nyie mnaongea yenu na kuyajenga!!
 
Nimegundua sababu ya wanandoa kutokuachana hata kama Wana ugomvi ndani,....ni mazoea.
Ule muda wa amani kidogo tu,mkacheka pamoja na kujadili maendeleo ya familia pamoja....huo muda ni kumbukumbu tosha pale mwenzio anapokuwa mbali nawe....

Kuogopa kuachana sababu ya watoto huenda ikawa ni sababu kuu....lakini mazoea na kuogopa kuingiza kitu kigeni at mpaka umtambue vyema,umzoee inachukua kipindi kirefu.

Nilitaka kusema nini.... Long-distance marriage mjishikilie...hajazoea kuishi nawe,hajazoea kulala nawe,hajazoea kukuona ana kwa ana Kila siku au baada ya muda Fulani mfupi...mkikosana haoni kama amepunguka kitu.

Nimechukulia mfano kwa wanangu,wakisafiri kidogo tu Mimi ndani nahisi nimepungukiwa kilakitu...wakirudi nitafurahi lakini baada ya muda kidogo tunaanza kupigishana kelele na tunakaa sawa tena....bas maisha yanaendelea.

NB: Mkifika stage mnataka kuuana,tafadhali kama ni mazoea bas utazoeana hata na jirani yako ukiwa umekimbia hiyo nguchiro ya kike au kiume.Waoneeni huruma wanaobaki nyuma baada ya nyie kuchinjana,wanabaki katika wakati gani.TUJIFUNZE KUJIPENDA KWANZA KABLA YA KITU CHOCHOTE.Life is too short wakuu.
Una hoja nzito...ingawa wakati huo huo unang'ata na kupuliza!!
 
Kuna majibu yenu mengine yanatia hasira ,sasa mtu unarudi saa 11 alfajiri unaulizwa umetoka kugongwa nawe unamjibu na wewe nenda KAGONGWE 😳😳😳.

Mme hafikiri akimpa kichapo anaweza kuua kumbe katikati ya kipigo anampiga vibaya na kuua ,uaminifu uaminifu ndiyo chanzo cha mauaji.

Kasongo yeyo mobali na ngai kasongo mbona wewo!! nakoma na Pedegheee(P.D.G).
 
NB: Mkifika stage mnataka kuuana,tafadhali kama ni mazoea bas utazoeana hata na jirani yako ukiwa umekimbia hiyo nguchiro ya kike au kiume.Waoneeni huruma wanaobaki nyuma baada ya nyie kuchinjana,wanabaki katika wakati gani
Wanawake punguzeni midomo midomo midomo inatema Shombo punguzeni, mwanamke anaongea km kameza Cassette
 
Nyota na mwezi wakichokana na kama maloveee hamna wanaachana Kila mtu anaendelea na life lake,taabu ipo Kwa wale wanaoambiwa nyie mwili mmoja wakati Kila mtu ana mwili wake na wanaoambiwa kifo ndiyo kiwatenganishe.
Huwezi sikia star and moon wameuana ,wakizinguana tu Kila mtu anakula hamsini zake.
 
Nyota na mwezi wakichokana na kama maloveee hamna wanaachana Kila mtu anaendelea na life lake,taabu ipo Kwa wale wanaoambiwa nyie mwili mmoja wakati Kila mtu ana mwili wake na wanaoambiwa kifo ndiyo kiwatenganishe.
Huwezi sikia star and moon wameuana ,wakizinguana tu Kila mtu anakula hamsini zake.
Inabidi watambue kuwa za kuambiwa changanya na zako
 
Kwa namna hii na kauli kama hizi, mauaji hayawezi kuisha.
FB_IMG_1733487324828.jpg
 
Kuna majibu yenu mengine yanatia hasira ,sasa mtu unarudi saa 11 alfajiri unaulizwa umetoka kugongwa nawe unamjibu na wewe nenda KAGONGWE 😳😳😳.

Mme hafikiri akimpa kichapo anaweza kuua kumbe katikati ya kipigo anampiga vibaya na kuua ,uaminifu uaminifu ndiyo chanzo cha mauaji.

Kasongo yeyo mobali na ngai kasongo mbona wewo!! nakoma na Pedegheee(P.D.G).
Inakuaje mnaulizana umetoka kugongwa?
 
Haya mambo hayapangwi, hutokea tu unaamua bila kufikiri baada ya kichwa na akili kusheheni kero zisizo na solutions. Ila kuna mambo nimejaribu kuangalia;

Chunguza hili;
Wanandoa wanaogombana mara kwa mara hawafikii level ya kuuana wakigombana wanashusha levels za hasira. Halikadhalika, ndoa yao haivunjiki kirahisi.

Wanaouana ni wale tunawaona wanaishi kizungu, maigizo mengi!! Mabusu hadharani na hawana muda wa kuongelea matatizo yao, wao wakikutana wanapretend love ila ukweli ni mioyoni wanaungua kwa mateso kweli kweli!!

Ndoa za hivi, ndiyo wanazouana coz mmojawapo anakuwa na lundo la maumivu na hana pa kusemea kiasi anachooamua moyoni ndiyo solution!!

Ushauri: kila mwisho wa mwaka, kaeni jadilini mapungufu yenu, kero, na solutions; kwa upendo kabisa tena ikiwezekana nendeni vakesheni kabisa wakati watoto wanaruka ruka nyie mnaongea yenu na kuyajenga!!
Ujumbe umenyooka sana,🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom