chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.
Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.
Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.
Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".
Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.
Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.
Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".