agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Nimeshindwa kupata majibu kwanini watumishi wa majumbani wanapoamua kuanza maisha yao ya ndoa inakuwa ni vita na waajiri wao?
Huwa wanawapunguzia nini?
Huwa wanawapunguzia nini?
Wanawapa kazi ya kutafuta Watumishi wengine,nimeshindwa kupata Majibu kwanini watumishi wa majumbani wanapoamua kuanza Maisha Yao ya ndoa inakuwa i vita na waajili wao..? huwa wanawapunguzia Nini?.
wachache sana weNye moyo Huo.Mbona sisi kwetu wawili walishaolewa... tena kiroho safi na mama alifurahi
huu unaweza kuwa ukweli..Dah yan cku izi unakuta baba mwenye nyumba kamuoa kijakazi wake au mama mwenye nyumba kaolew ka kijakazi so inakuwa ngumu kumruhusu aende make huduma itakata kwa mwajili
kwahiyo wao hawana haki ya kuanzisha familia? nilishuhudia mama mmoja anamwambia kijakazi wake yeye ni wakutumwa tu asitegemee kuwa na kitu kingine maishani mwake.Wanawapa kazi ya kutafuta Watumishi wengine,
Lakini Pia Ma boss wao hua wanawaza kua pengine huyo anaeenda kua Mume wa huyo Mtumish wake kuna privileges alikua akipata kupitia hela ambazo wao walikua wakitoa nyumbani
Nakubaliana na hili.....mdada wangu tangu aolewe sijawahi kupata mbadala wake.Wanawapa kazi ya kutafuta Watumishi wengine,
mambo Dada.Nadhani ni kutokuwa na akili ya kujua kwamba yule ni mwanamke aliyekamilika na inatakiwa afikie hatua fulani ambayo na yeye anahitaji kuwa na familia yake.
Poa kabisa mdogo wangu.mambo Dada.