agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
- Thread starter
- #21
mzima kabisa dada.Poa kabisa mdogo wangu.
Ila kuna baadhi ya waajiri huwa hatujuagi hata pa kuwaweka ujue.
Mzima lakini?
mzima kabisa dada.Poa kabisa mdogo wangu.
Ila kuna baadhi ya waajiri huwa hatujuagi hata pa kuwaweka ujue.
Mzima lakini?
Mie mzima kabisa my dear. Nafurahi kusikia uzima wako.mzima kabisa dada.
nawe pia mamaMie mzima kabisa my dear. Nafurahi kusikia uzima wako.
Uwe na siku njema mwaya.
Walikuwa wanakufulia nguo na kukupikia ehh?Mbona sisi kwetu wawili walishaolewa... tena kiroho safi na mama alifurahi
EeeWalikuwa wanakufulia nguo na kukupikia ehh?
Aiseee!!.......hongera sana,i wish you won't pay a price of it!!.....mke wangu niliemuoa ametokea kwenye familia kama hiyo ya kwako,kuna siku nilimuomba anipikie chapati akapika chapati yenye pembe tisa,ninavyokuandika hapa am single again!!
Same to me yule house girl alikuwa mzuri mno mno mtaani alisumbua mno kiukweliNilishawahi kumuona house girl mzuri kuliko mabinti wa mwenye nyumba
We ulikuwa unataka chapati yenye pembe ngapi?Aiseee!!.......hongera sana,i wish you won't pay a price of it!!.....mke wangu niliemuoa ametokea kwenye familia kama hiyo ya kwako,kuna siku nilimuomba anipikie chapati akapika chapati yenye pembe tisa,ninavyokuandika hapa am single again!!
We ulikuwa unataka chapati yenye pembe ngapi?Aiseee!!.......hongera sana,i wish you won't pay a price of it!!.....mke wangu niliemuoa ametokea kwenye familia kama hiyo ya kwako,kuna siku nilimuomba anipikie chapati akapika chapati yenye pembe tisa,ninavyokuandika hapa am single again!!
Mtu uliekuwa unapikiwa,kufuliwa nguo,kufanyiwa usafi wewe kazi yako ni kuchat na kunyoosha miguu kuangalia movie kwenye tv mambo ya kupika utayajulia wapi!!We ulikuwa unataka chapati yenye pembe ngapi?
Alafu bebe rafiki mi najua kupika,usinione hivi
Nitakupikia siku uone..Mtu uliekuwa unapikiwa,kufuliwa nguo,kufanyiwa usafi wewe kazi yako ni kuchat na kunyoosha miguu kuangalia movie kwenye tv mambo ya kupika utayajulia wapi!!
Nataka unipikie ugali kwa kitimoto!!!Nitakupikia siku uone..
Kitimoto=ngurue?Nataka unipikie ugali kwa kitimoto!!!
Mkuu huenda una hadithi nzuri juu ya hili hebu tuelezeDaaahhh kweli mkuuu....yaaaan wenye nyumba wengi Mara nyingi hawataki housemaids wao wawe ma familia...sasa usiombe km ni housegirl achumbiwe na jamaa mtanashati ,HB ,,anamawe ..mamaaaaaaaaaaweeeee ...mama wanyumba yupo tayar aliwe yeye lkn Mdada wawatu asipate.
Kitimoto mimi naipenda kuliko hata papuchi!!Kitimoto=ngurue?
Sipendi hata kusikia hivo vitu
Hebu mfuate getoni kwake ukamwoneshe unavyojua kupikaWe ulikuwa unataka chapati yenye pembe ngapi?
Alafu bebe rafiki mi najua kupika,usinione hivi
Mi siipendi kabisaKitimoto mimi naipenda kuliko hata papuchi!!