Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Hawa Hamas ni kiboko, hivi mmejiuliza mateka alikuwa amewaficha wapi na kula na kushiba na kulala baada ya makombora yote hayo
Bado mateka wanatoka wanafuraha
Bado najiuliza hayo ma banker ni zege la aina gani
Ila wenye chuki wanaweza kusema waliwapeleka Misri, hawashindwi

Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?

Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
 
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?

Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.

Uislamu ni dini ya huruma, ukitekwa na hamas ujue utaishi kama upo nyumbani kwako. Je! Wale mashetani/mskafiri wa kiyahudi!!
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Wameufyata mazayuni waliojidai hakuna kuongea mpaka HAMAS WAISHE, HAKUNA KUBADILISHANA MATEKA MPPAKA hAMAS WAISHE. Kiko wapi?

Tazama kichapo hiki walichochezea Ghaza:



Mainstream media hutoyakuta hayo.
 
Uliwafuatilia ukajua hawapati maji n.k?
Angalia paragraph ya mwisho hapa kama Ina maana yoyote kwako:

IMG_20231128_201009.jpg


Usibwabwaje tu Kwa vile una bando ndugu.
 
Kwamba hamas kauwa askari wa IDF zaidi ya 3000 mpaka sasa, kwamba israeli kaangamiza vifaru na magari zaidi ya 350 mpaka sasa, kwamba Hamas karusha zaidi ya rocket 5000 ndani ya Israel on target na off target madhara yanafichwa na vyombo vya habari vya israeli.
 
Sidhani kama Russia au Iran wanamwunga mkono HAMAS kama wanavyofanya Kwa Assad.

HAMAS hana supply yoyote ya silaha. Hana ndege ya vita wala kifaru. Hana kambi ya jeshi mahali. Hawa ni wanamgambo wazalendo tu.

Walipo sasa wameitwa magaidi na wakubwa. Wao wamepewa hukumu ya kifo popote walipo.

Inasikitisha.

Cc: Zawadini, FaizaFoxy
Huwezi kuvamia raia kuua na kuteka halafu wakakuita shujaa sbb hauna tofauti na majambazi.
Hamas wangeonekana mashujaa wangetangaza vita kwa Israel kutangaza vita mbona jambo rahisi tu
 
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.

Baada ya kupata chakula cha misaada naona umepata nguvu tena.
Hayupo wa kumtoa Israel pale. Kasome Six days war

Hao ndugu zenu mbona mliwafukuza Zanzibar? Zanzibar revolution
Qur'an haisemi kitu chenye shaka.

Mwenyewe hapo umejisuta.
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
jambo wasiloelewa, kuna faida gani kumwachia mtu amaye nyumba yake imevunjwa na any time anaweza kuigwa risasi akiwa nje, si bora angebaki ndani tu? hao walioachiwa utasikia muda si mrefu wameuawa.
 
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?

Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.
Ni kweli kabisa ila wao ndio wanajua zaidi makubaliano yao, ndio maana pande zote hawajasema waliafikiana nini mpaka kuachia mateka
Mtu yeyote asingekubali kupatana na kuongea kuhusu mateka wakati watu wameteketea hivyo, wana uchungu sana lakini wamefikia muafaka
Yote kheri na sisi tunajiuliza Netanyahu anasema mpaka kieleweke sasa anawatisha nani wakati alishindwa kuwaokoa mpaka Qatar kaingia kati

Vita sio nzuri nimeiona kwa macho tena mara mbili
Tuwaombee tu
 
Qur'an haisemi kitu chenye shaka.

Mwenyewe hapo umejisuta.
Ni kweli mpk nimejisuta. Hata huko peponi wanaume watapewa mabikra 72. Wanaume wakiislsmu watakuwa wanafanya ngono muda wote yaani huko peponi itakuwa itakuwa inasikika milio ya watu wakifanya ngono. Hakika Quran ni kitabu kisicho nashaka ndani yake.
Nyie wanawake mtapewa nini au ndiyo utakuwa mojawapo wa mabikra 72?

Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
Mimi na wewe tumpongeze Kwa kweli Hamas,siku zaidi ya 46 waisrael wamekosa Mateka wao.

Hivi angesaidiwa ingekuaje.(Kwa maelezo yako)
Hizi ni story za kudanganyana, Israel alitumia muda mrefu kufanya mashambulizi ya angani kulenga ngome za Hamas. Vita ya ardhini ina wiki tatu na eneo la Hamas lishakatwa vipande viwili. Israel anatiwa presha kufanya mazungumzo na mataifa ambayo raia wake walitekwa na Hamas pamoja na maandamano ndani ya Israel. Israel hakuwa na mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Hamas.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa

Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana
Hamas ishapotea, kilichobakia ni kurusharusha miguu tu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Hahahaaa!
JamiiForums-433627901.jpg
 
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa

Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana

Swali: Huyo Israel anaua wamama na watoto waume zao na baba watoto wakiwa wapi hadi wawatelekeze wamama na watoto? Si hao wanaume wameshapukutishwa wote? Na kama Israel imepata hasara kubwa mbona mtanange unaungurumia kwenye ardhi ya wapalestina badala ya ardhi ya Israel?
 
Back
Top Bottom