- Thread starter
- #21
Hawa Hamas ni kiboko, hivi mmejiuliza mateka alikuwa amewaficha wapi na kula na kushiba na kulala baada ya makombora yote hayo
Bado mateka wanatoka wanafuraha
Bado najiuliza hayo ma banker ni zege la aina gani
Ila wenye chuki wanaweza kusema waliwapeleka Misri, hawashindwi
Hakuna anayepinga na kwa hakika wanastahili pongezi. Ndivyo maana kusema wakimaliza kuachia mateka watakuwa wamebakiza karata gani?
Ilikuwa kheri kubaki na mateka na kufa na mvamizi kuliko kumpa mateka alutokee akisha wachukua wote.