Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
28,051
36,039
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

IMG_20231128_130338.jpg


Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Wanahitaji mazungumzo ya amani hili suala la vita litulie na liishe ni ngumu kuifuta hamas na pia ni rahisi kuitumbukiza dunia ktk vita ya tatu na pia wanahatarisha uchumi wa dunia kupata mkwamo kama vita itaendelea na kusambaa basi ile strait ya hormuz na strait ya bab al mandeb zitakuwa shida kupitika na kusababisha uhaba wa mafuta na nchi zinazoendelea tutapata shida zaidi na uchumi kuyumba. walichoshindwa kukipata ndani ya siku 50 hawataweza kukipata tena kwenye vita ya ukraine imekuwa ngumu kuisha kwa kuwa usa super power anasupport ukraine na hivyo hivyo kwa kuwa hamas anapata support ya Iran na Russia hii ni ngumu kwa hamas kumalizwa kwa kuwa iran ni regional power na russia ni super power mfano mzuri ni syria assad regime ipo hadi leo kwa kuwa kunasupport ya russia na iran la angekuwa historia kama gaddafi.
 
Mimi na wewe tumpongeze Kwa kweli Hamas,siku zaidi ya 46 waisrael wamekosa Mateka wao.

Hivi angesaidiwa ingekuaje.(Kwa maelezo yako)

1. Nakubaliana nawe lakini alipofikia katelekezwa na wote aliowapigania.

2. Hapa uchaguzi wake sahihi unabakia kufa na adui zake tu.

3. Wakijitolea angalau 10,000 kufa naye kwa siku moja tu hata Tanzania itapiga kelele za maana.
 
Wanahitaji mazungumzo ya amani hili suala la vita litulie na liishe ni ngumu kuifuta hamas na pia ni rahisi kuitumbukiza dunia ktk vita ya tatu na pia wanahatarisha uchumi wa dunia kupata mkwamo kama vita itaendelea na kusambaa basi ile strait ya hormuz na strait ya bab al mandeb zitakuwa shida kupitika na kusababisha uhaba wa mafuta na nchi zinazoendelea tutapata shida zaidi na uchumi kuyumba. walichoshindwa kukipata ndani ya siku 50 hawataweza kukipata tena kwenye vita ya ukraine imekuwa ngumu kuisha kwa kuwa usa super power anasupport ukraine na hivyo hivyo kwa kuwa hamas anapata support ya Iran na Russia hii ni ngumu kwa hamas kumalizwa kwa kuwa iran ni regional power na russia ni super power mfano mzuri ni syria assad regime ipo hadi leo kwa kuwa kunasupport ya russia na iran la angekuwa historia kama gaddafi.

Sidhani kama Russia au Iran wanamwunga mkono HAMAS kama wanavyofanya Kwa Assad.

HAMAS hana supply yoyote ya silaha. Hana ndege ya vita wala kifaru. Hana kambi ya jeshi mahali. Hawa ni wanamgambo wazalendo tu.

Walipo sasa wameitwa magaidi na wakubwa. Wao wamepewa hukumu ya kifo popote walipo.

Inasikitisha.
 
Inawezekana Hamas akawa na sababu za msingi za kufanya shambulizi kwa
Israel.. ila nachowalaumu aidha hawakuwa na strategy au walifanya attack kwa kimihemuko..

Kwangu mimi kama mko chini ya watesi wenu na kila siku mnajipanga na kushambuliana nae toka... enzi na enzi.. mnashindwa

Ilitakiwa wawe wamejipanga kwa pigo takatifu ambalo linge level the play ground..

Yaan walitakiwa wawe wamehakikisha kuwa Isrel awe offguard kwa maana anajua palestina mwembe wa uan anajichumia
Akitaka.. na kweli Israel akawa offguard so walipaswa kuwa ikiwa wameivamia Israel kijeshi basi Kipigo chake kiweze kudhoofisha nguvu walau 60% kama Sio 80% ya nguvu ya kijeshi ya israel

Hii ingepelekea hata washirika wakubwa wa Israel ambao ni western kujua kuwa sasa hii ni vita kamili na wangegwaya kwanza.. na maana yake nguvu ya msaada ambao wamgetoa ingekuwa easly matched na kina iran na kina korea/ urusi.. yaan kama madogo wapigane ma bro waambiwe wasiingilie

Lakini kuivamia israel na pickups na pikipiki.. matokea yake Mji/Nchi yenu inakuwja kuwa bombed na kugeuzwa magofu huku 50% ya nguvu kazi na kizaz kijacho imepukutika au haina future huu sio ushindi.. vita sio swala
Ya kurusha maroket bila mpango tu

Nachokiona Kwa upande wa Hamas washirika zake wamewatumia kwa Maslah yao.. coz Hamas they had one oporturnity ya kumkuta Israel amerelax na yuko off guards na wakashindwa kutumia kudeliver a killer punch.. belive me that will never ever ever happen.

Rejea vita ya siku sita ya Israel na Waarab waliomzunguka.. Myahud alijua there is no way angeshinda kwa maana Waraab walikuwa wamejipanga kushambulia na walikuwa wako
Very equiped from all angle na so alijua kuwa anatakiwa atafute nguvu ya adui iko wapi na ahakikishe adui yuko offguard.. na sio awasubiri waanze wao maana hakuwa na uwezo wa kudefend and attack na waarab walikuwa wanagain ground mdogo mdogo.. so akaja na war plan ya kudeliver pigo moja takatifu ambalo lingewa criple maadui zake na kumpa Nafasi ya kujipanga zaid.. na walijua wana nafasi moja tu so yeye na masponsor wake wa Western wakafanya hilo kwa kulipua Ndege karibu zote za kivita maana walijua nguvu ya adui iko hapo.. na sio kulipua kwa maroket waliingiza mamluki wakasabotage the airforce.. maana yake israel akawa ndo mwenye uwezo wa kupigana kutoka juu.. ..and the rest is history..

Sasa hamas kapata chance moja anakwenda na bodaboda na pick up..
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa

Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada 😄

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.
 
Inawezekana Hamas akawa na sababu za msingi za kufanya shambulizi kwa
Israel.. ila nachowalaumu aidha hawakuwa na strategy au walifanya attack kwa kimihemuko..

Kwangu mimi kama mko chini ya watesi wenu na kila siku mnajipanga na kushambuliana nae toka... enzi na enzi.. mnashindwa

Ilitakiwa wawe wamejipanga kwa pigo takatifu ambalo linge level the play ground..

Yaan walitakiwa wawe wamehakikisha kuwa Isrel awe offguard kwa maana anajua palestina mwembe wa uan anajichumia
Akitaka.. na kweli Israel akawa offguard so walipaswa kuwa ikiwa wameivamia Israel kijeshi basi Kipigo chake kiweze kudhoofisha nguvu walau 60% kama Sio 80% ya nguvu ya kijeshi ya israel

Hii ingepelekea hata washirika wakubwa wa Israel ambao ni western kujua kuwa sasa hii ni vita kamili na wangegwaya kwanza.. na maana yake nguvu ya msaada ambao wamgetoa ingekuwa easly matched na kina iran na kina korea/ urusi.. yaan kama madogo wapigane ma bro waambiwe wasiingilie

Lakini kuivamia israel na pickups na pikipiki.. matokea yake Mji/Nchi yenu inakuwja kuwa bombed na kugeuzwa magofu huku 50% ya nguvu kazi na kizaz kijacho imepukutika au haina future huu sio ushindi.. vita sio swala
Ya kurusha maroket bila mpango tu

Nachokiona Kwa upande wa Hamas washirika zake wamewatumia kwa Maslah yao.. coz Hamas they had one oporturnity ya kumkuta Israel amerelax na yuko off guards na wakashindwa kutumia kudeliver a killer punch.. belive me that will never ever ever happen.

Rejea vita ya siku sita ya Israel na Waarab waliomzunguka.. Myahud alijua there is no way angeshinda kwa maana Waraab walikuwa wamejipanga kushambulia na walikuwa wako
Very equiped from all angle na so alijua kuwa anatakiwa atafute nguvu ya adui iko wapi na ahakikishe adui yuko offguard.. na sio awasubiri waanze wao maana hakuwa na uwezo wa kudefend and attack na waarab walikuwa wanagain ground mdogo mdogo.. so akaja na war plan ya kudeliver pigo moja takatifu ambalo lingewa criple maadui zake na kumpa Nafasi ya kujipanga zaid.. na walijua wana nafasi moja tu so yeye na masponsor wake wa Western wakafanya hilo kwa kulipua Ndege karibu zote za kivita maana walijua nguvu ya adui iko hapo.. na sio kulipua kwa maroket waliingiza mamluki wakasabotage the airforce.. maana yake israel akawa ndo mwenye uwezo wa kupigana kutoka juu.. ..and the rest is history..

Sasa hamas kapata chance moja anakwenda na bodaboda na pick up..

Mkuu HAMAS hana kifaru Wala ndege 1. Anapata chakula, maji, umeme hadi internet thanks to Israel.

Kusema kweli hadi hapo alikuwa kajitahidi mno na hakuna anayeweza kuamini aliyaweza hayo.

HAMAS alipigana na bodaboda na pick ups Kwa sababu ndizo alizo nazo.

Fimbo ya mbali tangu lini iuwe nyoka?

HAMAS alijaribu kuliko wote bahati mbaya ni kuwa katelekezewa mtiti na waliopaswa kumwunga mkono.
 
Hizi pumba zingine afu anakuja anzisha mada 😄

We wambie basi Israel wawamalize Hamasi kama wao wanaume, we ka unasikiliza kelele za Natanyahu wakati jeshi Lake wengine wameisha kimbia Gaza

Israel anaomba vita visiendele we unakuja leta ujinga wa Paulo hapa.

Umeeilewa mada au kukuruka kukuruka tu ndugui?

Bure kabisa!
 
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa

Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana

Ni kweli kuwa Israel kachapika kuliko wakati wowote katika historia yake. Lakini hata hivyo hali ni hivyo hivyo kwa Gaza in terms of everything.
 
Hawa Hamas ni kiboko, hivi mmejiuliza mateka alikuwa amewaficha wapi na kula na kushiba na kulala baada ya makombora yote hayo
Bado mateka wanatoka wanafuraha
Bado najiuliza hayo ma banker ni zege la aina gani
Ila wenye chuki wanaweza kusema waliwapeleka Misri, hawashindwi
 
Back
Top Bottom