Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
mkuu walidanganywa na kuingizwa mkenge na putin, bada ya putin kuona mambo hayaendi kama alivyodhania akaona alianzishe kule mashariki halafu israel wakijibu nchi nyingine za kiarabu ziingie vitani iwe songomingo ndio maana muda huo huo nae akazidisha vita ukraine akitegemea us watabanwa kule israel hawatatoa misaada ukrain. hivyo kiulaini atashinda vita. waarabu wana mkataba na israel unaitwa ABRAHAM pamoja na kipigo gaza hawajavunja mkataba. Waarabu wao ZILONGWA MBALI ZITENDWA MBALI.
 
Unashangaza wewe
Hivi unajua anachokifanya Israel kwa Palestina kimewafanya wasiwe na namna???
NI JELA YA ISRAEL PEKEE DUNIANI YENYE WAFUNGWA WATOTO CHINI YA MIAKA 10 NDANI YA JELA ZA WATU WAZIMA.
FIKIRIA KABLA HUJAONGEA BRO.
HUKO JENIN WAYAHUDI WANACHOMA MOTO MPAKA VITOTO VICHANGA VYA KIPALESTINA.
HUJUI WANAYOFANYIWA WAPALESTINA KIASI WANAKOSA NAMNA

Huwezi kuvamia raia kuua na kuteka halafu wakakuita shujaa sbb hauna tofauti na majambazi.
Hamas wangeonekana mashujaa wangetangaza vita kwa Israel kutangaza vita mbona jambo rahisPalestina
 
Sidhani kama upo sahihi katika mambo mengi uliyosema.
1)Hamas hawakutelekezwa Hizbollah upande wa shebah wamekua wakimtwanga Israel,Houthi Yemeni wameteka meli ya mizigo ya Israel,Iraq kikundi Cha Islamic Resistance kimelipua baadhi ya Kambi za USA,Jordan na Turkiye zimechukua hatua za kidiplomasia za kufunga balozi za Israel nchini mwao kiasi ilitetemesha wizara ya nje ya Israel na kukimbia kwa Erdogan haraka kufanya mazungumzo na Occupied west bank raia walifanya supportive rally kwa Hamas.
2)Israel Hali mbaya kwa mwezi mmoja kapoteza wanajeshi 340+ na toka afanye ground invasion kapoteza vifaru zaidi ya 50 na askari 72.
Kuifuta Hamas ni kitu hakiwezekani maana super power wa Middle east (Iran na Jordan) pamoja na Turkiye wanawatambua Hamas na kuwaunga mkono pia kwa yanayoendelea Gaza IDF wanapigika sana wakiishia kuua raia hospitali.

Hivyo Hamas hawapo kinyonge na kama Israel ataendelea kunang'ana Gaza patamtia aibu.

Tatizo liko hapa Mkuu:

Israel arrests almost as many Palestinians as it has released during truce

Nini tija ya mabadilishano Haya na hasa kama lengo la Israel ni kuifuta HAMAS?
 
mkuu walidanganywa na kuingizwa mkenge na putin, bada ya putin kuona mambo hayaendi kama alivyodhania akaona alianzishe kule mashariki halafu israel wakijibu nchi nyingine za kiarabu ziingie vitani iwe songomingo ndio maana muda huo huo nae akazidisha vita ukraine akitegemea us watabanwa kule israel hawatatoa misaada ukrain. hivyo kiulaini atashinda vita. waarabu wana mkataba na israel unaitwa ABRAHAM pamoja na kipigo gaza hawajavunja mkataba. Waarabu wao ZILONGWA MBALI ZITENDWA MBALI.

HAMAS wana mgogoro na Israel wa muda mrefu. Sidhani wao kupambana na Israel wanaamrishwa au hata kuhamasishwa. Huo ni wajibu wao #1.
 
Kwa mbinyo alio nao HAMAS hata yeye mwenyewe hawezi kusema hayo.
IDF wamekamuliwa kamasi vibaya mno wewe unadhani mchezo kukubali kukaa meza moja na Hamas .mwanzo si walisema hakuna kuongea na hamas walichokutana nacho ni balaaa tupu. Waombe jumuia za kimataifa ziendelee kusimamisha hii vita mtiti ukiendelea watachinjwa wote hao kama njiwa.
 
Kwenye hii vita Israel kachapika sana kuliko vita yoyote ile aliyopigana na Hamas.
Wanajeshi wake wengi wameuwawa na vifaru vyake mwenywewe ndio alikuwa anaona funga kazi, vimeonekana si lolote si chochote yaani vinabondwa kama vile vimetengenezwa kwa kutumia udongo na ndio baada ya kuona mtanange unamtoa jasho amaamua kupiga/kuuwa ovyo ovyo watoto, wamama na wagonjwa

Hii kusema mtanange bado unaendelea ni kama vile kujitoa kimasomaso kwa aibu kibwa aliyoipata na kwasababu anakiburi, basi ktk hii vita Israel inakwenda kuumbuka vibaya sana
Upuuzi
 
Swali: Huyo Israel anaua wamama na watoto waume zao na baba watoto wakiwa wapi hadi wawatelekeze wamama na watoto? Si hao wanaume wameshapukutishwa wote? Na kama Israel imepata hasara kubwa mbona mtanange unaungurumia kwenye ardhi ya wapalestina badala ya ardhi ya Israel?
Wanaume wametoka majumbani wamekwenda kupambana front, Israel army wako busy kupiga makazi ya raia na mahosipitali na kambi za wakimbizi wakijua kabisa huko wamebaki wamama na watoto na wagonjwa
 
Wanaume wametoka majumbani wamekwenda kupambana front, Israel army wako busy kupiga makazi ya raia na mahosipitali na kambi za wakimbizi wakijua kabisa huko wamebaki wamama na watoto na wagonjwa
Nao wanafanya lile tukio la octoba 7
 
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.

2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia mtiti wote peke yake!

3. Mafanikio yake kwenye vita hivi yalikuwa:

a) Kumpata Israel kukubali kuongea.
b) Kumpata Israel kukubali kubadilishana wafungwa.
c) Kumfanya Israel na Marekani kuitambua sura ya HAMAS. Kumbe nani anaongea na gaidi?

4. Lakini alipo HAMAS sasa, ni heri angeamua kujitoa mhanga; yeye na jamii yake yote.

5. Kwamba wakati wa kubadilishana wafungwa, Israel anaendelea kukamata na kuuwa wapalestina wengine.

6. Kwamba walioachiwa wanaweza kuuwawa na hata kukamatwa tena wakati wowote.

7. Kwamba Israel kasema lengo lake ni kumfuta HAMAS duniani.

8. Kwamba lengo ni kumsubiri amalize kuachilia mateka tu, halafu akione cha mtema kuni!

View attachment 2827378

Kulikoni HAMAS kuendelea kukenua kinyonge hivi?
Mwarab hana ubavu kwa Myahudi hata siku moja, wanatunguliwa tu kama mapopo na kuwaishwa motoni kupewa mabikra 72 waliodanganywa na shetani
 
Israel hakuwa na moango was kufanya mazungumzo ndiyo maana kufanyishwa mazungumzo ni mafanikio Kwa HAMAS.

Au wewe huoni hivyo ndugu?
Kama alikua hana mpango c angekataa tu au unadhani kuna mtu angemlazmisha???
 
Unashangaza wewe
Hivi unajua anachokifanya Israel kwa Palestina kimewafanya wasiwe na namna???
NI JELA YA ISRAEL PEKEE DUNIANI YENYE WAFUNGWA WATOTO CHINI YA MIAKA 10 NDANI YA JELA ZA WATU WAZIMA.
FIKIRIA KABLA HUJAONGEA BRO.
HUKO JENIN WAYAHUDI WANACHOMA MOTO MPAKA VITOTO VICHANGA VYA KIPALESTINA.
HUJUI WANAYOFANYIWA WAPALESTINA KIASI WANAKOSA NAMNA
Kwa kutukio walilofanya octoba 7. Ni halali Israel ifanye hivyo kujilinda. Hao wapalestina hawajaanza jana. Hao watoto wa miaka 10 hata Hamas aliwateka
Hao Hamas kwanini waliwateka Wamerekani, Waithailand hadi kumuua mtanzania mwenzetu? Wangewateka waisrael tu
Ili uishi na mwaarabu unatakiwa uwe katili zaidi yake. Ukicheka naye
Utaundiwa vikundi vya kigaidi vya kiislamu vinavyovamia na kuua watu ovyo
  • Ghana, kuna padri alitekwa na kikundi cha kigaidi cha kiislamu zaidi ya mwaka 1 ndiyo ameachiwa juzi.
  • Msumbiji kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Islamic State (IS)
  • Nigeria, kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Boko Haram
  • Sudan, kuna kundi la kigaidi la kiislamu la Janjaweed
  • Somalia kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Al Shabab
  • Libya waislamu wameuana km kuku, nilitegemea hawa ndugu wataishi vizuri
  • Pakistan, kuna kund la kigaidi la kiislamu
Ili uishi na muarabu (muislamu) unatakiwa uwe mkatili zaidi yake ndiyo utaweza kuishi naye. Israel ndiyo inajua kudeal na makundi ya kigaidi ya kiislamu
 
Iran Reginal power gan uliona wap maskin akawa Reginal power,angejib kipindi kile trump alikuwa madarakan alipouwawa suleman ,reginal power ukisema saud arabia ntakuambia Sawa na yeye akishajiunga na Israel Iran ameisha
Alokwambia IRAN ☫ maskini nani wewe kijana
Ulitaka ajibu vipi wakat alizitwanga kambi za Us pale IRAQ au ulitaka arushe bomu nyuu yoki
 
Kwa kutukio walilofanya octoba 7. Ni halali Israel ifanye hivyo kujilinda. Hao wapalestina hawajaanza jana. Hao watoto wa miaka 10 hata Hamas aliwateka
Hao Hamas kwanini waliwateka Wamerekani, Waithailand hadi kumuua mtanzania mwenzetu? Wangewateka waisrael tu
Ili uishi na mwaarabu unatakiwa uwe katili zaidi yake. Ukicheka naye
Utaundiwa vikundi vya kigaidi vya kiislamu vinavyovamia na kuua watu ovyo
  • Ghana, kuna padri alitekwa na kikundi cha kigaidi cha kiislamu zaidi ya mwaka 1 ndiyo ameachiwa juzi.
  • Msumbiji kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Islamic State (IS)
  • Nigeria, kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Boko Haram
  • Sudan, kuna kundi la kigaidi la kiislamu la Janjaweed
  • Somalia kuna kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Al Shabab
  • Libya waislamu wameuana km kuku, nilitegemea hawa ndugu wataishi vizuri
  • Pakistan, kuna kund la kigaidi la kiislamu
Ili uishi na muarabu (muislamu) unatakiwa uwe mkatili zaidi yake ndiyo utaweza kuishi naye. Israel ndiyo inajua kudeal na makundi ya kigaidi ya kiislamu
Yaani kusema ukweli sehemu yenye Waislam hakunaga amani.

Sio kuwakwaza waislam kwa kauli hii lakini ndio uhalisia unaonekana hivyo.
 
Back
Top Bottom