kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 8,625
- 12,172
Huyu mwamba ni mnoko sana, hasira wakati wote, macho mekundu kama mvuta bangi, nani amfuge?. Mfuge akurarue!
Ni mchoyo na anajua msosi ukikaa chini fisi au simba watampora tuchui ni hatari, huyu sio wa kumfanyia masihara kabisa kabisa.. ukitaka kujua kwamba hanaga muda wa mazoea
1. hawaishi kwa makundi, labda mama akiwa analea watoto
2. mating yao ni for the purpose ( yaani jike na dume wanakutana kwa ajili ya uzalishaji tu) so kunamfanya awe ni kiumbe ambacho muda wote awe mawindoni
3. hali chini ( hula juu ya mti, anapanda na kitoweo juu ya mti), ni nadra sana kumkuta anakula chini
hana mazoea ya hovyo
Kuna siku niliona ugomvi wa nyati na faru ni hatari, hebu fikiria lile pembe la faru lilivochongoka ila nyati ni chizi anaenda kujigongesha pale mwisho wa siku nyati alikimbizwa baada ya kuchotwa na lile la faru akangua chini faru akataka kwenda kummalizia chini pale nyati akasepaNyati ukimkuta kajitenga peke yake porini usimkaribie ni hatari zaidi ya hatari tofauti akiwa katika kundi pamoja na wenzake.
Wanayama wawili porini ambao muda wote wao wana hasira ni Kifaru (faru) na Nyati.
Hatari yao kubwa ni pembe zao zilizochongoka ila mbaya zaidi ni kifaru na wanakimbia balaa
Walihamishiwa Mabuki, baada ya mpwapwa kuto fit mazingira ya kule kama sijakoseaHao Nyati hata huku wapo nenda Mpwapwa na Tabora yule mjeshi Warden alikuwa nao ila sio hawa pure Nyati.
Umeshasema Tembo na Nyati wa India,sasa wadanganye waje wajichanganye kutaka kufuga hawa wa huku kwetu...India Nyati wanafugwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani na kukokota mikokoteni ya mizigo
Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni
India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako
Chui anachoka haraka. Niliona jana kwenye documentary, kuwa ana kasi ila inabidi awahi kukamata kwasababu anachoka harakaWatu wamekariri simba simba simba.
Kipori pori simba ni paka mkubwa tu,kula yake ni ya shida na shuruba nyingi,tofauti na anvyoonekana ni mnyama asiyejiamini kabisa,ndio maana unaweza mkimbiza na akakimbia,usijefanya hii kwa chui ama nyati usijaribu kabisa wala kuwaza.
Ujasiri wa chui angekuwa na umbo kubwa kama la simba,hakuna mnyama angemsumbua.
Acha kabisa, hujakuta kakojea mkia wake akauvuruga chini akakurushia tope lenye mkojoHuyu mungu alijua kumkomesha hizo pembe zingikuwa zimechongeka kuangalia mbele yaani simba wangekuwa wanakufa sana.


hata kama umekumbatia tawi utashuka tu
huyu hana adabu kabisani kisarani kwelikweli huo mkojo hamna cha baunsa wanamwelewa ndo maana.Acha kabisa, hujakuta kakojea mkia wake akauvuruga chini akakurushia tope lenye mkojohata kama umekumbatia tawi utashuka tu
huyu hana adabu kabisa
ni kisarani kwelikweli huo mkojo hamna cha baunsa wanamwelewa ndo maana.


sijui anakunywaga nini 


yule mwamba hata simba huwa wanajipanga haswa sio mmoja na wakija kundi simba anachezwa danadana kaa mpira.sijui anakunywaga nini
![]()
Ni kweli kabisaIndia Nyati wanafugwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani na kukokota mikokoteni ya mizigo
Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni
India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako
Yule hua hanogi mpaka wamuangushe chini, mmoja adande na koromeo, mwngine adande na uti wa mgongo, mwengine wadhibiti miguu ndio akaeyule mwamba hata simba huwa wanajipanga haswa sio mmoja na wakija kundi simba anachezwa danadana kaa mpira.





Tatizo lipo kwenye majani wanayo kulaIndia Nyati wanafugwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani na kukokota mikokoteni ya mizigo
Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni
India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako




nyati wa india wakila majani magumu saaaana ni ukoka
ila hawa wa Tz wanaotega mpaka bhangi zilizopandwa porini kinyemwelakabisa mkuu na wakiwa simba wawili nanaweza tembea nao haahaYule hua hanogi mpaka wamuangushe chini, mmoja adande na koromeo, mwngine adande na uti wa mgongo, mwengine wadhibiti miguu ndio akae![]()