Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,481
- 5,063
Nilikuwa na jamaa ila Sasa ni marehemu,alikiwa jangiri kubwa tu na kwenda porini kuuwa wanyama.
Wanasema Kuna siku walikutana na nyati porini Kwa bahati mbaya akiwa peke yake,ile kashkash ya pale porini iliwafanya Kila mtu arudi peke yake nyumbani.
Kiumbe hatari sana kama utajaa kwenye 18 zake
Wanasema Kuna siku walikutana na nyati porini Kwa bahati mbaya akiwa peke yake,ile kashkash ya pale porini iliwafanya Kila mtu arudi peke yake nyumbani.
Kiumbe hatari sana kama utajaa kwenye 18 zake




