Actually nmekua nikufutilia Sana kuhusu Hilo #zito junior
Nimekuja kugundua kua China n nchi ya kibabe zaidi ya Russian hasa kwene kudeal na ugaid au vuguvugu za kujitenga hawajamaa hawana salia mtume aisee
Miaka ya Nyuma miaka 2000s' China imesumbuliwa Sana na ugaidi na wanaotaka kujitenga hasa Xianjian regions waishio kabila la uighur ambao wanna asili ya uturuki (Turkish descent)
Wachina wakampeleka afisa mmoja wa serikali ambae aliweza kuituliza TIBETI ( ilikua inataka kujitenga ) ...
Huyu jamaa ndo ameweza kutuliza Sana Jimbo Hilo ambalo linapakana na Pakistan , Afghanistan, Kazakhstan ambako wanaamini vugu vugu la ugaidi ndo linaanzia huko kwa shinikizo la nchi hizo za kiislam...
So CHINA ikaanza mkakati kwa kutight control mipakani no one out no one in....inasadikika Zaid ya watu 2000 kwa kipindi waliuliwa huko wakat China ilitoa takwimu kama iliua magaidi 90 na kitu hivi....
Hiyo n mikakani
HAN CHINESE
Kwa kuhofia eneo Hilo kujitenga ilianza mkakati wakupeleka wananchi wake wengine ambao n wachina dominant (han Chinese) katka Jimbo Hilo la xianjian nakufanya hao HAN CHINESE kuwa wengi 38% zaidi ya wa- uighur ambao ndo wenye asili wa eneo Hilo.....Sasa Apo Kuna kujitenga hapo wakat mmpo outnumbered!
Wanajeshi na police
Kiasi kikubwa Cha wanajeshi wamepelekwa huko...Na wengine wanawekwa kufanya Kaz kama za raia kikinuka wanachukua mtutu....Polisi au wanajeshi Doria mtaan ni kama kawaida
TECHNOLOGIA OF utambuzi
Hapa ndyo majaribio yote ya technilogia tambuzi ,sura,DNA,Giand Data analysis,...na wamehakikisha Kuna camera Kila sehem supermarket,barabaran,kwene mabasi,misikitini ,na mitaani majumbani.....
Kila mkazi huko Yuko kwene database
Kiasi kwamba hao wachina wakiturkish wakienda hata kununua kisu kinaandikwa namba na kuambatanishwa kwenye taarifa za mtu huyo....
Kifupi technologia yote ya ulinzi ipo Jimbo Hilo...
MASPY, CHECKPOINT
Pamoja na yote bado wameweka zaidi ya 1million maspy ambao wanazunguka kwenye nyumba za wachina waturuki hao,na kutoa taarifa kwa wanaemuhisia na itikadi
Checkpoint mbalimbali wanakagua simu ,picha na video za itikadi Kali,na silaha yyte ile
KUUA MISIMAMO MIKALI YA KIDINI
kuvaa baibui,kufuga ndevu nyingi kwa kijana,KUFUNGA,au kuhubiri itikadi unashikwa....shehe lazma achaguliwe na serikal ya China..
DETENTION CENTERS
wamewadetein Zaid ya million 2 according to Western media kwa makosa tofauti au kushukiwa kuwa na silaha,itikadi,unapnga au kuwepo kwa ndugu nje ya nchi...
So kwa hali Hii huyo gaidi ataingilia wapi mipakani wanajeshi,na MASPY,macamera
Kuna jaribio moja lilifanywa kutest surveillance ya beijin....akaingia reporter mmoja wa BBC akapigwa picha alafu akaambiwa atawanyike mtaani aende anakokujua yy aone n muda gan watatumia kumkamata.....
N masaa matatu tu wakamnasa!! Sasa unaeza ona security zao zilivo na nguvu.....n makamera tu dk cfuri wanae