Kwanini haileti shida wanawake wazungu kuvaa nguo fupi mtaani bongo tofauti na wanawake weusi wabongo

Wazungu wengi hawana matako makubwa mazuri au umbo la kubana bukta au chupi au mahips kama waafrika, hivyo hata akivaa unamuona kama mwanaume tu, ila wako wazungu wachache sana wamejaliwa makalio au matako makubwa mashallaah mashallaah, hao hawawezi vaa vibukta hadharani, waafrika wana shape wengi are very attractive..!!

Suala la pili ni mila, kwa mila za kizungu ni kawaida kuvaa hivyo, ila mila zetu hasa Tanzania ni aibu sana mwanamke kuvaa bukta mtaani anatembea, ataonekana mhuni au yuko uchi..!!
Naweza kuelewa hilo suala la pili. Kuna dada zenu wana maumbile kama wazungu hawana tako wala nini ila wakivaa inakuwa tafrani
 
Kwanini wanawake wa kizungu wanaweza kuvaa vikaptula au nguo fupi sana zinazoacha sehemu kubwa ya maungo yao wazi na wakatembea mitaa kama ya Kariakoo bila shida yoyote au kusumbuliwa na Wanaume wa kibongo tofauti na Wanawake weusi wa kibongo ambao wakivaa hivyo wanapata kila aina ya usumbufu kutoka kwa Wabongo wenzao weusi.

Yani Mwanamke wa kizungu anaweza kupita hata amavaa boxer Kariakoo na hakuna atakayempigia miluzi, kelele, kumsonga au kumvuta tofauti kabisa na mwanamke wa kibongo ambaye akipita hivyo lazima mtaa mzima uvurugike kama wehu, wendawazimu au watu wenye mapepo na clips za huyo mwanamke zitapandishwa mitandaoni kujadiliwa!
Ha ha ha hawana maajabu, Ila, paja la kiafrika ni hatari lina tuvitu vitu haha
 
1.Sio tamaduni zetu kuwaona mama zetu, dada zetu, watoto wetu wa kike wakitembea mapaja na ma.t..k..nje. ( Hatujazoea)....
2.Maumbile ya wanawake wa kiafrika na wazungu tofauti sana..huku kuna..weusi wanavutia sana...

3.Hata huko kwao...wanawake weusi na baadhi ya wazungu wanamaumbo ya kuvutia...Sema wameweka sheria kali sana...watu wanaona wakae tu kimya..kwa nini kujitafutia kesi wakati mapaja na ma..t..ko ni ya kwake..

Mpaka miaka ya 1960' Marekani baadhi ya majimbo kutembea uchi au hivo vichupu ilikua marufuku...miaka ya late 70' 80' 90' ndo kutembea uchi publically kumeshamiru

Mwisho hata huko Ulaya kama si maeneo ya starehe mfano beaches n.k..still utakuta asilimia kubwa wanavaa vizuri tu..vichaa sio wote
 
Na huyu mzungu hana traako?
 

Attachments

  • FB_IMG_1704648521378.jpg
    FB_IMG_1704648521378.jpg
    40.9 KB · Views: 3
1.Sio tamaduni zetu kuwaona mama zetu, dada zetu, watoto wetu wa kike wakitembea mapaja na ma.t..k..nje. ( Hatujazoea)....
2.Maumbile ya wanawake wa kiafrika na wazungu tofauti sana..huku kuna..weusi wanavutia sana...

3.Hata huko kwao...wanawake weusi na baadhi ya wazungu wanamaumbo ya kuvutia...Sema wameweka sheria kali sana...watu wanaona wakae tu kimya..kwa nini kujitafutia kesi wakati mapaja na ma..t..ko ni ya kwake..

Mpaka miaka ya 1960' Marekani baadhi ya majimbo kutembea uchi au hivo vichupu ilikua marufuku...miaka ya late 70' 80' 90' ndo kutembea uchi publically kumeshamiru

Mwisho hata huko Ulaya kama si maeneo ya starehe mfano beaches n.k..still utakuta asilimia kubwa wanavaa vizuri tu..vichaa sio wote
Labda uzungumzie utamaduni wa Kitanzania, lakini sio wa Ki-Africa au wa Kibantu.
 
Huo utamaduni wa kuvaa nguo mlitoa wapi kama sio kwa wageni??🙄
zamani walikuwa wanapata raha sana hakuna kuvaa nguo mkikutana na mikasi tu bila kucheleweshana.na hakuna sheria mambo ya ubakaji ni wewe na nguvu zako tu unakula mzigo.
 
Wee Dr Lizzy weee acha mambo yako bhana 😄 unataka watu watembee uchi
🤣🤣🤣
Majani si yapo lakini? 😁😁

On a serious note...Kama tumechukua utamaduni wao wakujisitiri huku tukiuita wetu, tukubali wanaotaka wachukue huo mwingine maana zote ni tamaduni za mtu mweupe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom