suranne
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 120
- 246
Nafikiri tusiendelee kutumia pesa na muda mwingi kutafuta Vazi la Taifa wakati kuna vazi ambalo naliona lipo tofauti sana na vazi lolote ktk nchi za Kiafrica ambalo ni Gwanda. Linafaa sana kwasababu hakutakua na haja ya kushona suti zenye gharama kubwa. Naomba kuwasilisha...