Kwanini Gwanda lisiwe Vazi la Taifa

Ngoja wachukue nchi halafu ndio ulete hiyo hoja ya gwanda kuwa vazi la Taifa, yaani ni bora likawa kama ovaloli.
 
Kwa sababu utaifa hauna chama. Gwanda lina wakilisha chama fulani wakati vazi la taifa lina takiwa liwakilishe makundi yote au mengi ya jamii. Kwa hiyo gwanda haliwezi kuwa vazi la taifa kama vile ambavyo shati la njano na kijani haliwezi kuwa vazi la kitaifa.

Vipi watanzania wakikubalina na hilo?????? Kumbuka kauli ya Mwalimu "......Kitendo chochote kilichoamuliwa na wengi, ni kitendo cha kimaendeleo, hata kama hakiongezi shibe wala afya......"
 
wakati mwingine mbowe akivaa gwanda anaonekana kama mgambo




....ujinga huu,sio anaonekana kama mgambo ni mgambo tu,akili finyu ya wanasiasa chwala ya kulinganisha vazi la taifa na vazi la vikundi halamu vya alkaeida..kweli mkipewa nchi mtaweza kama mnatoa maoni kama haya ya kijinga?
 
....ujinga huu,sio anaonekana kama mgambo ni mgambo tu,akili finyu ya wanasiasa chwala ya kulinganisha vazi la taifa na vazi la vikundi halamu vya alkaeida..kweli mkipewa nchi mtaweza kama mnatoa maoni kama haya ya kijinga?

Nilitaka nikujibu vikali lkn kuangalia ID yako nimekusamehe. Nikiwa na akili timamu, sitarajii Muha awe na akili za kuona vitu kwa uhalisia wake. Maoni ya kijinga ni kama haya yako uliyeshindwa kuona kuwa watu hapa wamefanya utani tu. Mishipa ya koo imekutoka mwenyewe ukaona unagawa dozi, haya labda nikuulize; nani alikwambia kuwa muanzisha mada ni sehemu ya uongozi wa nchi?

Mimi kwa maoni yangu, serikali ya CCM iache hii dhambi ya kuusahau mkoa wa Kigoma. Ni funza waliotafuna miguu ndio wameathiri mpk ubongo. Cha pili itabidi niwaletee BANGI kutoka Tarime kwa babu yangu muamshe vichwa hivyo. Asubuhi chai na chikichi na mwilini mnajipaka hayo hayo mawese, tutemegee nini?

Halafu mtani, kesho sema HARAMU sio HALAMU, sawa?

Salam kwa Maha, Muhehe, Bonabucha, Chobanga na Zehe, ah na Luyagaza pia.
 
Nilitaka nikujibu vikali lkn kuangalia ID yako nimekusamehe. Nikiwa na akili timamu, sitarajii Muha awe na akili za kuona vitu kwa uhalisia wake. Maoni ya kijinga ni kama haya yako uliyeshindwa kuona kuwa watu hapa wamefanya utani tu. Mishipa ya koo imekutoka mwenyewe ukaona unagawa dozi, haya labda nikuulize; nani alikwambia kuwa muanzisha mada ni sehemu ya uongozi wa nchi?

Mimi kwa maoni yangu, serikali ya CCM iache hii dhambi ya kuusahau mkoa wa Kigoma. Ni funza waliotafuna miguu ndio wameathiri mpk ubongo. Cha pili itabidi niwaletee BANGI kutoka Tarime kwa babu yangu muamshe vichwa hivyo. Asubuhi chai na chikichi na mwilini mnajipaka hayo hayo mawese, tutemegee nini?

Halafu mtani, kesho sema HARAMU sio HALAMU, sawa?

Salam kwa Maha, Muhehe, Bonabucha, Chobanga na Zehe, ah na Luyagaza pia.

Mwana mtoka pabaya, Punguza hasira!! Mbona hivyo?
 
Huku Dsm na ukanda wote wa pwani Gwanda halifai kwakuwa kuna joto sana, fukuto lake ni balaa hapo hujavaa gwanda.

Nadhani Gwanda liwe vazi la Arusha na Moshi kule kuna kijibaridi labda na Mbeya kidogo, hii inaonesha wazi Chadema hawaku consider watu wa pwani kwenye hizi Gwandaz no wonder support ndogo pande zile!
 
Vipi watanzania wakikubalina na hilo?????? Kumbuka kauli ya Mwalimu "......Kitendo chochote kilichoamuliwa na wengi, ni kitendo cha kimaendeleo, hata kama hakiongezi shibe wala afya......"

Unafikiri watanzania wote wanafikiria kwa kutumia Masaburi kama mtoa mada?
 
Haya mamie mwali, weye ungependa tuvae nini eti?

Sijui Mamie Mwali angependa kuvaa nini lkn mimi ningewakubali zaidi katika mavazi yao hayo ya ki'mgambo kama wangekuwa wanapiga full yaani sox gwanda,boxer/chupi gwanda na vest gwanda...siyo wanapiga gwanda nje ndani wana boxer/chupi za kijani na yellow
 
Nafikiri tusiendelee kutumia pesa na muda mwingi kutafuta Vazi la Taifa wakati kuna vazi ambalo naliona lipo tofauti sana na vazi lolote ktk nchi za Kiafrica ambalo ni Gwanda. Linafaa sana kwasababu hakutakua na haja ya kushona suti zenye gharama kubwa. Naomba kuwasilisha...

Haliwezi kuwa kwani hata askari wa wanyama pori wanalitumia, tutaonekana sote tuna kazi moja tu ya kulinda mbuga zetu. Ashakhum c matusi! Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom