Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

Nenda kawasimamie daladala na bajaji wanaosimama na kupakia abiria hovyo bararani vituo vya Kimara, Korogwe, Bucha na Baruti uone Kama kutakuwa na foleni hapo kipande Cha Kibo hadi Kimara.

Kawaambie Askari usalama barabarani waliojazana Bucha kwa Thomas Lymo waache kusimamisha magari ovyo na kusababisha foleni. Waambie tunawaona wanavyopokea Ile ya kung'arisha viatu Toka kwa konda na madereva.

Foleni zingine ni ujinga wa madereva wetu.
Hicho kipande unachokizungumzia mkuu hakina vituo maalum na ndio chanzo Cha foleni kwenye hayo maeneo
 
Na leo ndio imefunguliwa majira ya saa 4 asubuhi wqcha boda boda wazagae mlee darajan ... Binafsi naona ile sio fly over bali ni daraja tu
Hahahaha kwa hiyo bodaboda wasingezagaa ingekuwa flyover?

Mkuu wewe ni taahira ila bado hujajijua tu, halafu wala ile sio flyover ni interchange (daraja la mapishano)
 
The bridge is constructed to connect the two different points. They are generally constructed for road vehicles.

Flyovers are built over man-made structures such as roads, intersection, etc. to prevent congestion, and provide a more convenient way to navigate over the traffic.

Kwa maneno mengine kama flyover haitatui tatizo la congestion/traffic jam, tafuta jina lingine la kuiita haiwezi kuitwa flyover kwa tafsiri hiyo hapo juu.
Flyover ni Daraja linalojengwa juu ya barabara nyingine kuvusha magari kitoka nukta a kwenda nukta ba.

Hivi unavyoviona ni Fly over.. cha kujiuliza je pale zinapojengwa hizi structure kuna foleni ? Kama haipo basi zimetimiza lengo lake.

Sasa Flyover ijengwe ubungo halafu upime mafanikio yake au kushindwa kwake kwa foleni ya shekilango na mwenge!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha kwa hiyo bodaboda wasingezagaa ingekuwa flyover?

Mkuu wewe ni taahira ila bado hujajijua tu, halafu wala ile sio flyover ni interchange (daraja la mapishano)
You got it all mixed up!

Interchange inatengenezwa na Flyover nyingi.

Flyover kama jina lake ni kuruka tu juu ya kingine. Magari ya Buguruni mwenge Yanaruka tu juu ya yale ya Morogoro road.

Ili iwe interchange kungekuwa na connections juu kwa juu za kwenda kimara , Kutoka mwenge, Kwenda Mjini kutoka Buguruni, kwenda Buguruni kutoka kimara, kwenda mwenge kutoka Mjini.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
You got it all mixed up!

Interchange inatengenezwa na Flyover nyingi.

Flyover kama jina lake ni kuruka tu juu ya kingine. Magari ya Buguruni mwenge Yanaruka tu juu ya yale ya Morogoro road.

Ili iwe interchange kungekuwa na connections juu kwa juu za kwenda kimara , Kutoka mwenge, Kwenda Mjini kutoka Buguruni, kwenda Buguruni kutoka kimara, kwenda mwenge kutoka Mjini.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ile sio interchange? Calling it flyover calling it a bridge ni sawa lakini lengo kuu na kazi ya msingi inayofanyika pale ni interchanging traffic directions in a simplified way.
 
Kwahiyo ile sio interchange? Calling it flyover calling it a bridge ni sawa lakini lengo kuu na kazi ya msingi inayofanyika pale ni interchanging traffic directions in a simplified way.
So what's changing!? Ikiwa magari ya kutoka mjini kwenda kimara yanaendelea kwenda kimara na yale ya mwenge-buguruni yanaendelea kwenda Buguruni!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Thats an Overpass also known as Flyover
 
Uongo
Foleni za Tanzania haziletwi na wingi wa magari bali uzembe wa madereva, kwa hali ya kawaida wala hakuna magari ya kuhitaji flyover Dar, kama Serikali ingedhibiti uzembe tu wa daladala, malori, bodaboda tatizo lingeisha mara moja.

Siku zote penye kituo cha daladala ndiyo kuna foleni, ...
 
Foleni za Tanzania haziletwi na wingi wa magari bali uzembe wa madereva, kwa hali ya kawaida wala hakuna magari ya kuhitaji flyover Dar, kama Serikali ingedhibiti uzembe tu wa daladala, malori, bodaboda tatizo lingeisha mara moja.

Siku zote penye kituo cha daladala ndiyo kuna foleni, ...
Na kutokuwa na Mipango miji ya kueleweka. Watu kujiamulia tu bila kufuata utaratibu..

Bottom line ni kukosekana ustaarabu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Naona wanafanya kuhamisha tatizo mbele. Issue ya kupunguza congestion na foleni ni kujenga satellite cities na kusogeza huduma pembezoni ya jiji kama kuweka malls,maofisi na huduma nyinginezo huko maana si kila mtu anapenda kuja mjini ila basi tu kutokana na ulazima wa jambo fulani hususani kufuata huduma au bidhaa
 
So what's changing!? Ikiwa magari ya kutoka mjini kwenda kimara yanaendelea kwenda kimara na yale ya mwenge-buguruni yanaendelea kwenda Buguruni!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Thats an Overpass also known as Flyover
Hahahaha kwa hiyo Hakuna yanayotoka kimara kuelekea mwenge na CBD kuelekea buguruni? Au kisa hayapiti juu basi hayawi facilitated na hiyo structure? Bado kuna sehemu ya mchepuko mwenge to CBD na buruguni inaendelea.
 
Hahahaha kwa hiyo Hakuna yanayotoka kimara kuelekea mwenge na CBD kuelekea buguruni? Au kisa hayapiti juu basi hayawi facilitated na hiyo structure? Bado kuna sehemu ya mchepuko mwenge to CBD na buruguni inaendelea.
Flyover is a bridge! Kilichoko pale chini is it a bridge!?

Ili useme imekuwa facilitated then haitakiwi.kuwa obstructed... Magari ya pale chini yanayoelekea uelekeo unaousema yana designated road way!? Au yanasubiriana kwenye round about!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Flyover is a bridge! Kilichoko pale chini is it a bridge!?

Ili useme imekuwa facilitated then haitakiwi.kuwa obstructed... Magari ya pale chini yanayoelekea uelekeo unaousema yana designated road way!? Au yanasubiriana kwenye round about!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mzee ile inaitwa 3 level interchange, the first level is ground level, levels zote zinachukuliwa kwa uwiano sawa kwenye structure nzima ndio maana kila level ikawa designated kwa uelekeo maalum kuease trafficking

Sasa kisa wengi wenu mnaona interchange level 1 au lower level ni part of the structure ambayo ipo toka zamani hivyo haina haja ya functionality yake kuhusishwa na level 2 and 3, na hapo ndipo mnafeli.

Anyway define it mnavyoweza
 
Kwa mji mkubwa kama Dar foleni haiwezi kukosekana,pia changamoto huwa zinatatuliwa taratibu na kwa mipango.
Mbezi mwisho na Shekilango pakitatuliwa pia tatizo litaamia pengine napo patarekebishwa.
hivyohivyo mdogomdogo mpaka tutafika.
 
Mzee ile inaitwa 3 level interchange, the first level is ground level, levels zote zinachukuliwa kwa uwiano sawa kwenye structure nzima ndio maana kila level ikawa designated kwa uelekeo maalum kuease trafficking

Sasa kisa wengi wenu mnaona interchange level 1 au lower level ni part of the structure ambayo ipo toka zamani hivyo haina haja ya functionality yake kuhusishwa na level 2 and 3, na hapo ndipo mnafeli.

Anyway define it mnavyoweza
Unajua am not an Engeneer!

So let's just say you are right!

But based on the information available.. kama hakuna controlled access ya magari ya kutoka barabara moja kwenda nyingine hiyo inaitwa Overpass / Flyover.

Interchange (road) - Wikipedia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom