Foleni Ubungo - Mbezi - Kibamba ilivyo kero.

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,102
53,353
Hili limeshakuwa tatizo la kudumu kila siku.

Imeshawahi tokea saa 10 alfajiri nimekutana na hii foleni.

Jana nimetoka kibaha nikakuta foleni imeshafika kimbamba njia panda ya shule, ikabidi nipite service road mpya nilivyopita pale kibamba darajani.

Nimekuja nayo mpaka mbezi mwisho round about.

Kumbe tatizo ni lile daraja pale mbezi. Limekuwa dogo kiasi cha kutoweza mudu magari mengi kwa wakati mmoja.

Limeshakuwa tatizo sugu sasa.

Leo nimepita tena hiyo njia, foleni toka mbezi mpaka ubungo tena.

Hata kama serikali imesitisha ujenzi wa hii barabara, ihakikishe madaraja yote yamewekwa sawa.
 
Ujenzi Wa Hii Barabara Ya Kimara - Kibaha HAUJASITISHWA

WAMESITISHA Ujenzi Wa Dar - Chalinze Ambayo Design Yake Ilikuwa Express Highway!!

NAOMBA WENYE VICHWA VIGUMU KUELEWA MUELEWE

Narudia Tena, Cyo Kimara- Kibaha, Ni Express Highway Ya Dar - Chalinze!!

Nimeeleza Vizur Hpa Ila Watakuja "Failure " au wale Walioshia "Diploma" Kuanza Kuhoji Upuuzi

MTAONA
 
Ujenzi Wa Hii Barabara Ya Kimara - Kibaha HAUJASITISHWA

WAMESITISHA Ujenzi Wa Dar - Chalinze Ambayo Design Yake Ilikuwa Express Highway!!

NAOMBA WENYE VICHWA VIGUMU KUELEWA MUELEWE

Narudia Tena, Cyo Kimara- Kibaha, Ni Express Highway Ya Dar - Chalinze!!

Nimeeleza Vizur Hpa Ila Watakuja "Failure " au wale Walioshia "Diploma" Kuanza Kuhoji Upuuzi

MTAONA
Huu ni uongo.

Alietoa ile kauli hakutia specifications.
 
IMG_5065.JPG
IMG_5065.JPG
 
Ujenzi Wa Hii Barabara Ya Kimara - Kibaha HAUJASITISHWA
WAMESITISHA Ujenzi Wa Dar - Chalinze Ambayo Design Yake Ilikuwa Express Highway!!
NAOMBA WENYE VICHWA VIGUMU KUELEWA MUELEWE
Narudia Tena, Cyo Kimara- Kibaha, Ni Express Highway Ya Dar - Chalinze!!
Nimeeleza Vizur Hpa Ila Watakuja "Failure " au wale Walioshia "Diploma" Kuanza Kuhoji Upuuzi
MTAONA
Dingi mbona unadharau sana wewe?
 
Ujenzi Wa Hii Barabara Ya Kimara - Kibaha HAUJASITISHWA

WAMESITISHA Ujenzi Wa Dar - Chalinze Ambayo Design Yake Ilikuwa Express Highway!!

NAOMBA WENYE VICHWA VIGUMU KUELEWA MUELEWE

Narudia Tena, Cyo Kimara- Kibaha, Ni Express Highway Ya Dar - Chalinze!!

Nimeeleza Vizur Hpa Ila Watakuja "Failure " au wale Walioshia "Diploma" Kuanza Kuhoji Upuuzi

MTAONA

Hivi ukitoka Dar kwenda Chalinze hupiti Kimara wala kibaha, Acha ubwege basi
 
Back
Top Bottom