Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,353
Hili limeshakuwa tatizo la kudumu kila siku.
Imeshawahi tokea saa 10 alfajiri nimekutana na hii foleni.
Jana nimetoka kibaha nikakuta foleni imeshafika kimbamba njia panda ya shule, ikabidi nipite service road mpya nilivyopita pale kibamba darajani.
Nimekuja nayo mpaka mbezi mwisho round about.
Kumbe tatizo ni lile daraja pale mbezi. Limekuwa dogo kiasi cha kutoweza mudu magari mengi kwa wakati mmoja.
Limeshakuwa tatizo sugu sasa.
Leo nimepita tena hiyo njia, foleni toka mbezi mpaka ubungo tena.
Hata kama serikali imesitisha ujenzi wa hii barabara, ihakikishe madaraja yote yamewekwa sawa.
Imeshawahi tokea saa 10 alfajiri nimekutana na hii foleni.
Jana nimetoka kibaha nikakuta foleni imeshafika kimbamba njia panda ya shule, ikabidi nipite service road mpya nilivyopita pale kibamba darajani.
Nimekuja nayo mpaka mbezi mwisho round about.
Kumbe tatizo ni lile daraja pale mbezi. Limekuwa dogo kiasi cha kutoweza mudu magari mengi kwa wakati mmoja.
Limeshakuwa tatizo sugu sasa.
Leo nimepita tena hiyo njia, foleni toka mbezi mpaka ubungo tena.
Hata kama serikali imesitisha ujenzi wa hii barabara, ihakikishe madaraja yote yamewekwa sawa.