Kwanini engine za Toyota zenye herufi zinazoishia FE zinadumu sana (roho ya paka)

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
1662308629043.png


Magari ni kama rav 4 old model yenye engine 3S-fe na magari yenye engine za G Kavu pia engine zinaishia na FE, siri ni nini ??
 
Engine nyingi za Toyota ni ngumu sana. Hata kama zina matunzo kidogo. Sema hizo zenye FE na ulizotaja ndio common huku kwetu.
Kwenye ugumu sina shaka ila tungeingia ndani zaidi kwenye uchambuzi juu ya hizi engine za FE kudumu zaidi, Binafsi nadhani mojawapo ya sababu ni kwamba zimezoeleka sana na mafundi
 
Kwenye ugumu sina shaka ila tungeingia ndani zaidi kwenye uchambuzi juu ya hizi engine za FE kudumu zaidi,,,, Binafsi nadhani mojawapo ya sababu ni kwamba zimezoeleka sana na mafundi
Hizo ni herufi za engine code baada ya uzao wa engine.
FE- F ni zile engine zenye Double Camshaft au valve 4 Kwa Kila cylinder gari ya 4cylinder utakuta imeandikwa 16valves.

E ni Electric Fuel Injection

Herufi T ni Turbocharger na Z ni Supercharged.

SE ni gari za D-4 baada ya FE
 
View attachment 2345699

Magari ni kama rav 4 old model yenye engine 3S-fe na magari yenye engine za G Kavu pia engine zinaishia na FE ,,,siri ni nini ??
Siri ni moja : SIMPLICITY. ni engine flani hivi very simple, cast iron block n.k lakini hazina mambo mengi.. gari imegoma kuwaja unajua kabisa angalia pump kama nzima angalia plugs kama zinatoa spark kama ziko poa basi gari haina mafuta hio umemaliza
 
Code F ni reliable sababu ya design yake..zimekuwa designed kupata economy na sio nguvu zaidi..kwahiyo power itakuwa generated kwenye lower rpms kuliko engines zenye G..wear n tear inakuwa ndogo kwenye hizi engines..heads zake ndio tofauti...
Hiyo Rav4 uliyoiweka hapo inaengine 3SFE na 3SGE..zinapishana kwenye head..ukiziendesha utaona zilivyotofauti kabisa..3SFE inaishiwa puff mapema around 5000rpms, ila 3SGE inahitaji upush pedal kweli kweli6000rpms ili iweAlive..ukiona Toyota engine incode G, hiyo ni perfomance engine.
 
Code F ni reliable sababu ya design yake..zimekuwa designed kupata economy na sio nguvu zaidi..kwahiyo power itakuwa generated kwenye lower rpms kuliko engines zenye G..wear n tear inakuwa ndogo kwenye hizi engines..heads zake ndio tofauti...
Hiyo Rav4 uliyoiweka hapo inaengine 3SFE na 3SGE..zinapishana kwenye head..ukiziendesha utaona zilivyotofauti kabisa..3SFE inaishiwa puff mapema around 5000rpms, ila 3SGE inahitaji upush pedal kweli kweli6000rpms ili iweAlive..ukiona Toyota engine incode G, hiyo ni perfomance engine.
"Toyota engine incode G, hiyo ni perfomance engine."


Mkuu ina maana yangu ni G,kwahiyo makini sana
 
Code F ni reliable sababu ya design yake..zimekuwa designed kupata economy na sio nguvu zaidi..kwahiyo power itakuwa generated kwenye lower rpms kuliko engines zenye G..wear n tear inakuwa ndogo kwenye hizi engines..heads zake ndio tofauti...
Hiyo Rav4 uliyoiweka hapo inaengine 3SFE na 3SGE..zinapishana kwenye head..ukiziendesha utaona zilivyotofauti kabisa..3SFE inaishiwa puff mapema around 5000rpms, ila 3SGE inahitaji upush pedal kweli kweli6000rpms ili iweAlive..ukiona Toyota engine incode G, hiyo ni perfomance engine.

E-SXA11G
 
Hizo ni herufi za engine code baada ya uzao wa engine.
FE- F ni zile engine zenye Double Camshaft au valve 4 Kwa Kila cylinder gari ya 4cylinder utakuta imeandikwa 16valves.

E ni Electric Fuel Injection

Herufi T ni Turbocharger na Z ni Supercharged.

SE ni gari za D-4 baada ya FE
SE - Direct Injection
FE - Electronic Fuel Injection (EFI)
 
GTE ni performance engines za Toyota. Kuna 1JZ-GTE, 2JZ-GTE, 3S-GTE.
Watu wenye magari madogo mfano corrola ambazo engine zake zinatumia diesel, huwa wanafanyaje wasichanganyiwe mafuta pasipo kuweka label kwendana na mazoea?

*Hili swali nimekuwa nikijiuliza sana, manake mtu ukifika shell pasipo kuongea kwa gari ndogo, wahudumu wanachapa tu petrol bila hata kuuliza.

Marekani kidogo afadhali manake nozzle ya diesel inakuwa pana.
 
Siri ni moja : SIMPLICITY. ni engine flani hivi very simple, cast iron block n.k lakini hazina mambo mengi.. gari imegoma kuwaja unajua kabisa angalia pump kama nzima angalia plugs kama zinatoa spark kama ziko poa basi gari haina mafuta hio umemaliza
Sasa njoo kwenye gari za Mjerumani,sijui Audi au VW, zikigoma kuwaka hizo lazima utafute diagnosis machine ili kujua tatizo liko wapi, na bado inaweza ikasoma matatizo hata matano kwa wakati mmoja,lazima uchanganyikiwe!!
 
Back
Top Bottom