Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
jaribu tena kusoma,Wala sielewi
kama bado vua gamba vaa gwanda
jaribu tena kusoma,Wala sielewi
Heading imetulia, maelezo sijaelewa kabisa!, weka japo kwa kirefu inaonekana unachotaka kueleza is logical!
Ukisemwa katika jamii kama kiongozi ni vizuri ujiangalie, kwani jamii ndiyo kioo chako.
Huree nimetoka kwenye ban niliyosababishiwa na ritz juzi mods hawanipendi kweli!! Ngoja nikimbie thread hatarishi Kama hii hamnipati tena!!!!! CDM kwa kwenda mbele