Kwanini Dr. Benson Bana anausifu waraka wa akina Dr. Kitila

mageuzi1992

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
2,503
252
Katika habari yenye kichwa ''' CHADEMA YAASWA'' iliyotoka katika gazeti la habari leo. Dr Bana ameonekana kuishangaa CDM kwa maamuzi iliyofikia. Kwanza ameusifu waraka huo kwamba eti ni mzuri sana na unaonyesha demokrasia. Pili anadai eti kitendo cha wanachama kuaandaa waraka huo ni cha kawaida hata katika vyama vingi. Ajabu ni kuwa anatolea mfano wa baba wa taaifa alipoandika kitabu cha '' hatima ya nchi yetu''' hii ni ajabu sana!!! hivi kweli waraka huu wa kina kitila unaweza ufananisha na kitabu cha mwali chenye ujumbe wa hatima ya nchi yetu??? kweli Napata mashaka na ma dokta wa namna hii. Pia katika maoni yake Dr, Bana amedai CDM kimekuwa kikilaumiwa kwa ukabila na ubinafsi na ukanda kwa sababu hizo anaunga mkono waraka. Nina mashaka sana na huyu DR. kwa nini azungumze sana wakati huu? Na kwa nini aipone chadema? Mbona katika chama chake kuna migogoro mikubwa na makundi yanayohasimiana lakini hatumsikii akitoa maoni ya ama kuponda kundi moja au jingine? Wadau nisaidieni katika hili je DR Ni kweli anaipenda Chadema hata aseme hayo au nini kipo hapa?
 
Ifikie mahali CDM mkubali kuwa sikila mtu anawaunga mkono. Kwanini mnalazimisha watu wote wakubali mambo mnayoyataka nyinyi? PhD holder akiisifia CDM mnamuona huyo ndiyo msomi wa kweli, but PhD holder atakayekuwa na mawazo tofauti na nyinyi mnamuona Mburula. Kubalini kuto kukubaliana, na mkumbuke sisi Watanzania kila mtu anamuono wa kwake, usilazimishe jambo lako tu liwe linakubaliwa. Kama mtu hakuelewi mfundishe kwa hoja zenye mashiko atakuelewa tu. Jazba, hasira matusi kamwe hayajengi.
 
Huyo DR Kanjanja. Ni kopo na mfuniko wake! Alikua mwalimu wa shule ya msingi ndo kajiendeleza gumbaru hadi kafikia hapo! Wala asikusumbue kabisa!
 
Katika habari yenye kichwa ''' CHADEMA YAASWA'' iliyotoka katika gazeti la habari leo. Dr Bana ameonekana kuishangaa CDM kwa maamuzi iliyofikia. Kwanza ameusifu waraka huo kwamba eti ni mzuri sana na unaonyesha demokrasia. Pili anadai eti kitendo cha wanachama kuaandaa waraka huo ni cha kawaida hata katika vyama vingi. Ajabu ni kuwa anatolea mfano wa baba wa taaifa alipoandika kitabu cha '' hatima ya nchi yetu''' hii ni ajabu sana!!! hivi kweli waraka huu wa kina kitila unaweza ufananisha na kitabu cha mwali chenye ujumbe wa hatima ya nchi yetu??? kweli Napata mashaka na ma dokta wa namna hii. Pia katika maoni yake Dr, Bana amedai CDM kimekuwa kikilaumiwa kwa ukabila na ubinafsi na ukanda kwa sababu hizo anaunga mkono waraka. Nina mashaka sana na huyu DR. kwa nini azungumze sana wakati huu? Na kwa nini aipone chadema? Mbona katika chama chake kuna migogoro mikubwa na makundi yanayohasimiana lakini hatumsikii akitoa maoni ya ama kuponda kundi moja au jingine? Wadau nisaidieni katika hili je DR Ni kweli anaipenda Chadema hata aseme hayo au nini kipo hapa?

Hivi demokrasia maana yake ni nini?
Inakuaje mtu anapotoa mtazamo tofauti na Chama aonekane hana mapenzi na chama?jamani tubadilike vinginevyo tutakua tunakichimbia hiki chama kaburi wenyewe!
Hawezi kupata chama imara kama hakuna tofauti ya mitazamo.
 
Wote si ndiyo wale wale tu? Hawa ni wa kupuuzwa tu, ije mvua liwake jua lazima msaliti afukuzwe kwenye chama, kama wanamuona jembe kwanini wasimchukue awatumikie huko huko magambani?
 
Katika habari yenye kichwa ''' CHADEMA YAASWA'' iliyotoka katika gazeti la habari leo. Dr Bana ameonekana kuishangaa CDM kwa maamuzi iliyofikia. Kwanza ameusifu waraka huo kwamba eti ni mzuri sana na unaonyesha demokrasia. Pili anadai eti kitendo cha wanachama kuaandaa waraka huo ni cha kawaida hata katika vyama vingi. Ajabu ni kuwa anatolea mfano wa baba wa taaifa alipoandika kitabu cha '' hatima ya nchi yetu''' hii ni ajabu sana!!! hivi kweli waraka huu wa kina kitila unaweza ufananisha na kitabu cha mwali chenye ujumbe wa hatima ya nchi yetu??? kweli Napata mashaka na ma dokta wa namna hii. Pia katika maoni yake Dr, Bana amedai CDM kimekuwa kikilaumiwa kwa ukabila na ubinafsi na ukanda kwa sababu hizo anaunga mkono waraka. Nina mashaka sana na huyu DR. kwa nini azungumze sana wakati huu? Na kwa nini aipone chadema? Mbona katika chama chake kuna migogoro mikubwa na makundi yanayohasimiana lakini hatumsikii akitoa maoni ya ama kuponda kundi moja au jingine? Wadau nisaidieni katika hili je DR Ni kweli anaipenda Chadema hata aseme hayo au nini kipo hapa?
Ana usifu huo waraka kwasababu umetokea CCM
 
  • Thanks
Reactions: M2.
Hivi demokrasia maana yake ni nini?
Inakuaje mtu anapotoa mtazamo tofauti na Chama aonekane hana mapenzi na chama?jamani tubadilike vinginevyo tutakua tunakichimbia hiki chama kaburi wenyewe!
Hawezi kupata chama imara kama hakuna tofauti ya mitazamo.
Ifike kipindi wapenzi wa chadema na wapenda mabadiliko inabidi wakubali kuwa na uvumilivu.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake vile anavyoona yeye.
Ni ajabu sana mtu anapotofautiana mawazo na wadau ni lazma atukanwe.
 
Ifikie mahali CDM mkubali kuwa sikila mtu anawaunga mkono. Kwanini mnalazimisha watu wote wakubali mambo mnayoyataka nyinyi? PhD holder akiisifia CDM mnamuona huyo ndiyo msomi wa kweli, but PhD holder atakayekuwa na mawazo tofauti na nyinyi mnamuona Mburula. Kubalini kuto kukubaliana, na mkumbuke sisi Watanzania kila mtu anamuono wa kwake, usilazimishe jambo lako tu liwe linakubaliwa. Kama mtu hakuelewi mfundishe kwa hoja zenye mashiko atakuelewa tu. Jazba, hasira matusi kamwe hayajengi.

Tatizo ni kuwa yapo makubwa ndani ya CCM lakini sio viongozi wao, wanachama wao na mashabiki wao wameyazungumuzia. Mfn juzi waziri mkuu aliyejiuzuru alisema nchi hii inaendeshwa kwa uswahili swahili. Kwa kuwa wanaoendesha nchi hii kwa ni CCM basi tusi hilo la uswahili ni kwa CCM na sana viongozi wake sana sana mkiti wake. Pia alitamba kuwa ni wavivu wa kuchukua maamuzi magumu. Sasa hawa wakina bana wanapoyaona maamuzi magumu inakuwa ajabu huko kwao ni ndoto. Tunawashangaa kwa kujiuliza ni wiv
 
  • Thanks
Reactions: M2.
Mimi nijuavyo, waraka waliotuhumiwa akina Kitila una tuhuma 11, na wala haujawekwa hadharani. Sasa Dr Bana ameuchambua waraka gani, ule uliopo kwenye mitandao na magazeti?
 
CDM imekula kwetu kama tunadhani tunakisafisha chama. Mimi bado KADI YA CCM aliyonayo DR. SLAA inanitesa, sio kwamba naye alikuwa anapata mgawo kutoka kwa zitto???????????????
 
By COARTEM Ifikie mahali CDM mkubali kuwa sikila mtu anawaunga mkono. Kwanini mnalazimisha watu wote wakubali mambo mnayoyataka nyinyi? PhD holder akiisifia CDM mnamuona huyo ndiyo msomi wa kweli, but PhD holder atakayekuwa na mawazo tofauti na nyinyi mnamuona Mburula. Kubalini kuto kukubaliana, na mkumbuke sisi Watanzania kila mtu anamuono wa kwake, usilazimishe jambo lako tu liwe linakubaliwa. Kama mtu hakuelewi mfundishe kwa hoja zenye mashiko atakuelewa tu. Jazba, hasira matusi kamwe hayajengi.
Tatizo ni kuwa yapo makubwa ndani ya CCM lakini sio viongozi wao, wanachama wao na mashabiki wao wameyazungumuzia. Mfn juzi waziri mkuu aliyejiuzuru alisema nchi hii inaendeshwa kwa uswahili swahili. Kwa kuwa wanaoendesha nchi hii kwa ni CCM basi tusi hilo la uswahili ni kwa CCM na sana viongozi wake sana sana mkiti wake. Pia alitamba kuwa ni wavivu wa kuchukua maamuzi magumu. Sasa hawa wakina bana wanapoyaona maamuzi magumu inakuwa ajabu huko kwao ni ndoto. Tunawashangaa kwa kujiuliza ni wiv

Asante sana, ila mimi natatizwa tu na kumkandia mtu kisa hajatoa comments zenye mlengo wa kwako. Maamuzi magumu ni muhimu kwa mustakabali wa nchi lakini busara itumike wakati wakuyatoa.
 
  • Thanks
Reactions: M2.
Nawasikitikia sana wanafunzi wanaofundishwa na madaktari hawa. mifano wanayoitoa ni completely irrelevant. Nyerere hakuandaa waraka wa siri, alichambua mambo kisomi akauanika waraka wake kwa umma na wanaCCM ili wautafakari. Waraka wa akina Mkumbo ni wa kimafya, umejaa kejeli nyingi kama si matusi kwa viongozi wake. kama walikuwa na hoja za maanna kwa nini hawakuzisema ndani ya vikao ama kwa wanachama tukazitafakari kwa pamoja. Lengo lao ni kuleta mvurugano tu ndani ya chama ili CCM iendelee kupeta. Kwa kweli wasipofukuzwa nitakishangaa sana chama changu.
 
  • Thanks
Reactions: M2.
Tatizo ni kuwa yapo makubwa ndani ya CCM lakini sio viongozi wao, wanachama wao na mashabiki wao wameyazungumuzia. Mfn juzi waziri mkuu aliyejiuzuru alisema nchi hii inaendeshwa kwa uswahili swahili. Kwa kuwa wanaoendesha nchi hii kwa ni CCM basi tusi hilo la uswahili ni kwa CCM na sana viongozi wake sana sana mkiti wake. Pia alitamba kuwa ni wavivu wa kuchukua maamuzi magumu. Sasa hawa wakina bana wanapoyaona maamuzi magumu inakuwa ajabu huko kwao ni ndoto. Tunawashangaa kwa kujiuliza ni wiv

Ndiyo Demokrasia hiyo, unaruhusu wanachama na watu wakukosoe ili ujisahihishe. kauli kama hiziundiwi mizengwe ya kufukuzana ati usaliti kumbe ni kuogopa kuachiana madaraka. CDM msidhani tishio la uongozi ni Zito pekee watajitokeza akina ZZK wengine mtafukuza wangapi?
 
Kitabu cha JK Nyerere kilitolewa kwa uwazi! CHADEMA wamesema walaka ulikuwa wa siri! hata hapo dr hakutofautisha?
 
Back
Top Bottom