Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
slaa ni janga kama ameweza kuasi ndoa,familia na upadri atashindwa kuasi nn .
.....Muuza sembe kesho anatema manyanga!!!
stay tuned.... JF no place to Hide..............
slaa ni janga kama ameweza kuasi ndoa,familia na upadri atashindwa kuasi nn .
good ,good chadema hawawezi kuwa na ushawishi wowote wa kupewa nchi
mambo ya digrii yangu hayakuhusu. jibu makala yangu kwa hoja dogo
kwanza napenda kuwapongeza UDASA kwa kuandaa kongamano leo katika ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam! Lengo kuu lilikua kujadili amani hapa nchini. Pili nawapongeza wote waliohudhuria ktk kongamano hilo. Miongoni mwa walio hudhuria ni katibu mkuu wa chadema Dkt. Slaa na Waziri wa Mambo ya ndani Muh. Emanuel Nchimbi. Miongoni mwa waliowasilisha mada ni Dkt. Ayoub Rioba na Prof. Killian. Dkt. Slaa alipopata wasaa wa kuchangia alionesha ukandamizaji wa vyombo vya dola kwa raia. Alimgeukia waziri Nchimbi na kumshambulia kuwa vile anasimamia polisi, hafai kuemo ukumbini. Ni heri akatoka nje. Slaa alifanya hivyo ili kuharibu amani iliyokua inaendelea. Alitaka kuishawishi hadhira ili ipoteze imani kwa Nchimbi. Slaa alilenga kuishawishi hadhira kumzomea Nchimbi pindi atakapo hutubia. Tofauti na matarajio ya Slaa, Nchimbi alishangiliwa kwa ushirikiano alioutoa kwa kuahidi kufanyia kazi changamoto na matatizo alio yasikia. Hivyo najiuliza: Je Slaa alichukizwa na uwepo wa Nchimbi? Je Slaa alitaka Ncchimbi azomewe ili apate nini? Je Slaa anapenda viongozi wa serikali wanavyo kwepa kuhudhuria midahalo na makongamano mbambali? hadhani kuwa Nchimbi anastahiki pongezi angalau kwa kuhudhuria? Namalizia kwa kuuliza: kwa kujaribu kuchafua hali ya hewa ukumbini, je Slaa kweli anapenda amani?
kwanza napenda kuwapongeza UDASA kwa kuandaa kongamano leo katika ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam! Lengo kuu lilikua kujadili amani hapa nchini. Pili nawapongeza wote waliohudhuria ktk kongamano hilo. Miongoni mwa walio hudhuria ni katibu mkuu wa chadema Dkt. Slaa na Waziri wa Mambo ya ndani Muh. Emanuel Nchimbi. Miongoni mwa waliowasilisha mada ni Dkt. Ayoub Rioba na Prof. Killian. Dkt. Slaa alipopata wasaa wa kuchangia alionesha ukandamizaji wa vyombo vya dola kwa raia. Alimgeukia waziri Nchimbi na kumshambulia kuwa vile anasimamia polisi, hafai kuemo ukumbini. Ni heri akatoka nje. Slaa alifanya hivyo ili kuharibu amani iliyokua inaendelea. Alitaka kuishawishi hadhira ili ipoteze imani kwa Nchimbi. Slaa alilenga kuishawishi hadhira kumzomea Nchimbi pindi atakapo hutubia. Tofauti na matarajio ya Slaa, Nchimbi alishangiliwa kwa ushirikiano alioutoa kwa kuahidi kufanyia kazi changamoto na matatizo alio yasikia. Hivyo najiuliza: Je Slaa alichukizwa na uwepo wa Nchimbi? Je Slaa alitaka Ncchimbi azomewe ili apate nini? Je Slaa anapenda viongozi wa serikali wanavyo kwepa kuhudhuria midahalo na makongamano mbambali? hadhani kuwa Nchimbi anastahiki pongezi angalau kwa kuhudhuria? Namalizia kwa kuuliza: kwa kujaribu kuchafua hali ya hewa ukumbini, je Slaa kweli anapenda amani?
nchimbi alianza kwa siasa ya kusema kuwa slaa ni rafiki yake kasha akatoa kisa cha mtego wa panya. kile kisa kiliwagusa watu sana. aliposema kuwa aliyoyasikia hata yeye yanamuumiza kama waziri wa mambo ya ndani alishangiliwa. Ben mimi ni mwalimu kitaaluma. katika kuhutubia kuna kitu kinaitwa AUDIENCE INSTIGATION. ndicho alicho kifanya slaa. Slaa alilenga mambo mawili: kwanza kumtisha na kumbabaisha nchimbi kabla hajaongea, na pili kuwashawishi watu wasiwe tayari kumsikiliza nchimbi kwa utulivu. kama inawezekana azomewe. hili ndiyo lilikua moyoni mwa slaa. lile lilkua kongamano la amani. mazungumzo yoyte yalikua yanalenga kueleza jinsi amani inavyovunjwa SIYO KUSEMA NCHIMBI HAFAI KUWA UKUMBINI. KAMA INAWEZEKANA AONDOKE. kama slaa anapenda amani, basi anipenda kinafiki.Ni wapi aliposhangiliwa mchimbi?Slaa hapendi amani ama serikali haipendi changamoto na ukosoaji kisiasa na kiharakati?
Aisee! Unaweza kukuta mleta mada ana digrii ya Chuo kikuu! Maskini Tanzania yangu
Very interesting,mbona mnamtafutia dr kashfa jamani mwaname mzima unapiga kelele dr amuache josephine unataka akufanye wewe?
kwanza napenda kuwapongeza UDASA kwa kuandaa kongamano leo katika ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam! Lengo kuu lilikua kujadili amani hapa nchini. Pili nawapongeza wote waliohudhuria ktk kongamano hilo. Miongoni mwa walio hudhuria ni katibu mkuu wa chadema Dkt. Slaa na Waziri wa Mambo ya ndani Muh. Emanuel Nchimbi. Miongoni mwa waliowasilisha mada ni Dkt. Ayoub Rioba na Prof. Killian. Dkt. Slaa alipopata wasaa wa kuchangia alionesha ukandamizaji wa vyombo vya dola kwa raia. Alimgeukia waziri Nchimbi na kumshambulia kuwa vile anasimamia polisi, hafai kuemo ukumbini. Ni heri akatoka nje. Slaa alifanya hivyo ili kuharibu amani iliyokua inaendelea. Alitaka kuishawishi hadhira ili ipoteze imani kwa Nchimbi. Slaa alilenga kuishawishi hadhira kumzomea Nchimbi pindi atakapo hutubia. Tofauti na matarajio ya Slaa, Nchimbi alishangiliwa kwa ushirikiano alioutoa kwa kuahidi kufanyia kazi changamoto na matatizo alio yasikia. Hivyo najiuliza: Je Slaa alichukizwa na uwepo wa Nchimbi? Je Slaa alitaka Ncchimbi azomewe ili apate nini? Je Slaa anapenda viongozi wa serikali wanavyo kwepa kuhudhuria midahalo na makongamano mbambali? hadhani kuwa Nchimbi anastahiki pongezi angalau kwa kuhudhuria? Namalizia kwa kuuliza: kwa kujaribu kuchafua hali ya hewa ukumbini, je Slaa kweli anapenda amani?
Aisee! Unaweza kukuta mleta mada ana digrii ya Chuo kikuu! Maskini Tanzania yangu
Ni wapi aliposhangiliwa mchimbi?Slaa hapendi amani ama serikali haipendi changamoto na ukosoaji kisiasa na kiharakati?
nchimbi alianza kwa siasa ya kusema kuwa slaa ni rafiki yake kasha akatoa kisa cha mtego wa panya. kile kisa kiliwagusa watu sana. aliposema kuwa aliyoyasikia hata yeye yanamuumiza kama waziri wa mambo ya ndani alishangiliwa. Ben mimi ni mwalimu kitaaluma. katika kuhutubia kuna kitu kinaitwa AUDIENCE INSTIGATION. ndicho alicho kifanya slaa. Slaa alilenga mambo mawili: kwanza kumtisha na kumbabaisha nchimbi kabla hajaongea, na pili kuwashawishi watu wasiwe tayari kumsikiliza nchimbi kwa utulivu. kama inawezekana azomewe. hili ndiyo lilikua moyoni mwa slaa. lile lilkua kongamano la amani. mazungumzo yoyte yalikua yanalenga kueleza jinsi amani inavyovunjwa SIYO KUSEMA NCHIMBI HAFAI KUWA UKUMBINI. KAMA INAWEZEKANA AONDOKE. kama slaa anapenda amani, basi anipenda kinafiki.
Akili ndogo hujadili watu na akili kubwa hujadili mada. Na hii ndio hatari ya chadema. Utasikia nchimbi jiuzulu, mwema achia ngazi, kawambwa toka nje, tendwa hatukutambua. Hizi ni akili ndogo nafinyu kabisa. Let's address issues
Slaa ndipo anapatia ulaji panapo kosekana amani, ni karata pekee anayoitumia kwenda kuombea pesa kwa Wakristo wa Ujerumani na Italia, kuwa wenzao wananyanyaswa na Rais Muislaam. Hiyo ndio turufu yake, ana kipi kingine?