Kwanini Dkt. Slaa anaichukia amani?

Kwanini Dkt. Slaa anaichukia amani?

Nitaakikisha nchi haitawaliki tena, Dr.W.Slaa,
 
Last edited by a moderator:
Unataka watu wafuate unachotaka wewe coz umeanzisha uzi, who're U¿???? Huwezi kuforce. jisemee mwenyewe unyamaze mwenyewe. Wote tulikuwa tunaangalia

Ritz hebu tuambie alisema wapi huo usemi???
 
Nazani chama chenu kimezeeka sasa uwezo wa kufikili umefikia mwisho. Mnataka kutupeleka pabaya sasa!!!!, yaani kila kitu nyinyi mkifanya majungu tuuuuuu..!!!. Nyinyi, chama pinduzi vipiiiii!!!.
ONGERA CHADEMA, BADO SIKU CHACHE TU NAJA KUCHUKUWA KADI YA UWANACHAMA.
 
"There is no peace without justice". Kama hakuna haki usitegemee kuwa tuna amani. Kama ipo ni feki. Amani ya kweli inapatikana pale ambapo raia wanatendewa haki na serikali na vyombo vyake.

Haki iliyopo leo Tanzania haijawahi kuonekana kabla, ndo maana unaona watu mpaka JF tunajifaraguwa. Thubutu wakati wa Nyerere tungesema kama tunavyosema leo, ilikuwa "ndio babaaa".
 
Slaa ndipo anapatia ulaji panapo kosekana amani, ni karata pekee anayoitumia kwenda kuombea pesa kwa Wakristo wa Ujerumani na Italia, kuwa wenzao wananyanyaswa na Rais Muislaam. Hiyo ndio turufu yake, ana kipi kingine?

Wewe mbona mdini hivi? Huwezi kujadili suala bila kupenyeza harufu ya udini? Mbona unaweza ukiamua? Si uamue?
 
mambo ya digrii yangu hayakuhusu. jibu makala yangu kwa hoja dogo
makala ya kuijibu iko wapi? naona umeandika upuuzi wako na kujisifu nao! na kama kweli unadegree, basi elimu yetu imekwisha!
 
Wewe mbona mdini hivi? Huwezi kujadili suala bila kupenyeza harufu ya udini? Mbona unaweza ukiamua? Si uamue?

Sasa sema wewe chama kinachowasaidia chadema Ujerumani kinaitwaje? ukimaliza ukitaje na cha Italy.
 
Sasa sema wewe chama kinachowasaidia chadema Ujerumani kinaitwaje? ukimaliza ukitaje na cha Italy.

Wewe mama acha kuhamasisha hisia za udini bila sababu. Matokeo yake ni mabaya kuliko faida ya muda mfupi unayoipata hapo. Rekodi ya Baba Ritz inaeleweka tukitaka kutazama mambo kwa jicho unalotumia wewe. Acha huo mchezo hatari.
 
Wewe mama acha kuhamasisha hisia za udini bila sababu. Matokeo yake ni mabaya kuliko faida ya muda mfupi unayoipata hapo. Rekodi ya Baba Ritz inaeleweka tukitaka kutazama mambo kwa jicho unalotumia wewe. Acha huo mchezo hatari.

Nimekwambia sema wewe chama kinachoisaidia chadema cha Ujerumani kinaitwaje?
 
"Nothing in the world is more dangerous than sincere
ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King Jr
 
jifunze kusoma kitu na kukielewa. slaa hajasema nchimbi azomewe. alitumia maneno ambayo yangepelekea nchimbi kuzomewa na kutosikilizwa

Kwahiyo umetumia maneno ambayo yanapelekea Dr Slaa kuzomewa na kutosikilizwa??
 
Nimekwambia sema wewe chama kinachoisaidia chadema cha Ujerumani kinaitwaje?

chromium, kwa nini unapata kigugumizi kutaja hicho chama!? kama hukijui kinaitwa Christian Democratic Union (CDU). hicho chama ndiyo mfadhili mkuu wa chadema
 
huo ndo uwezo wa mwisho kufikiri kwa magamba,yanapenda kukop[i na kupest maneno ya magamba makukuu,kama vile tupo ktk mchakato,tupo mbioni,tunafanya uchunguzi nk. yatatoka madaraka bado uchunguzi hautakuwa umekamilika,wataua sana lakini nguvu ya umma ni NGUVU YA MUNGU kamwe hawatafanikiwa.
 
Unataka watu wafuate unachotaka wewe coz umeanzisha uzi, who're U¿???? Huwezi kuforce. jisemee mwenyewe unyamaze mwenyewe. Wote tulikuwa tunaangalia

Ritz hebu tuambie alisema wapi huo usemi???
kama ulikua unaangalia na hukusikia hayo maneno, basi unahitaji kuombewa!
 
Wewe ndo unajua leo? mbona huyo Mzee alishaharibikiwa kitamboo...
Misguided Missiles.
 
Back
Top Bottom