Mkuu ameasi ndoa gani ebu fafanua...hivi unafahamu sheria ya upadri? USICHOKIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA...!slaa ni janga kama ameweza kuasi ndoa,familia na upadri atashindwa kuasi nn .
Mkuu ameasi ndoa gani ebu fafanua...hivi unafahamu sheria ya upadri? USICHOKIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA...!slaa ni janga kama ameweza kuasi ndoa,familia na upadri atashindwa kuasi nn .
Digrii uipate wapi wewe! We kilanza tu!mambo ya digrii yangu hayakuhusu. jibu makala yangu kwa hoja dogo
jifunze kusoma kitu na kukielewa. slaa hajasema nchimbi azomewe. alitumia maneno ambayo yangepelekea nchimbi kuzomewa na kutosikilizwa
Heri ya mende..nadhani ni f.u.n.zaHuyu mleta mada upeo wake ni sawa na wa mende
.......Ni wewe umehisi au nini..?jifunze kusoma kitu na kukielewa. slaa hajasema nchimbi azomewe. alitumia maneno ambayo yangepelekea nchimbi kuzomewa na kutosikilizwa
Ina maana kumgeukia mtu ndo alikuwa anawaambia watu wamzomee?hii ni akili kuwa ndogo! WAPI ALIWAAMBIA WAMZOMEE? Tumia kichwa kufikiri!
Nyie ndio mnaosababisha wanawake waseme wanaume wa siku hizi wamekuwa wambea,sasa tamaa ya pesa aliyonayojosephine wewe umeijuaje ni shoga yako? Au unamuonea wivu josephine?Dr. Slaa tamaa ya pesa ya Josephine ndiyo inayompeleka peleka lakini alikuwa mtu mzuri kabla hajaanza kujihusisha na Josephine.
jifunze kusoma kitu na kukielewa. slaa hajasema nchimbi azomewe. alitumia maneno ambayo yangepelekea nchimbi kuzomewa na kutosikilizwa
scramble, kama kongamano lisingerushwa LIVE, ungefanikiwa kupotosha watu sana. Kila mtu ana tafsiri yake kwa kauli fulani lakini tafsiri yako kwa alichosema Dr. Slaa si sawa. Labda ungeweka video clip ili watu ambao hawakutazama live wakaona ili nao watoe tafsiri zao, badala ya kuwasomesha translated reported speech ya kwako.
Nyie ndio mnaosababisha wanawake waseme wanaume wa siku hizi wamekuwa wambea,sasa tamaa ya pesa aliyonayojosephine wewe umeijuaje ni shoga yako? Au unamuonea wivu josephine?
Very interesting,mbona mnamtafutia dr kashfa jamani mwaname mzima unapiga kelele dr amuache josephine unataka akufanye wewe?amuache mme wa roz kamil atafute wake
Bila maneno ya chuki na uchochezi dr slaa na cdm hawawezi kuwa na ushawishi ki siasa.
Ina maana kumgeukia mtu ndo alikuwa anawaambia watu wamzomee?hii ni akili kuwa ndogo! WAPI ALIWAAMBIA WAMZOMEE? Tumia kichwa kufikiri!