Kwanini Dini zote zimetokea au kuanzia Asia?

Sasa yesu ndiye muasisi wa ukristo? Acha ushamba bwana
ndo maana nikasema hayo mengine utajua mwenyewe .......kama Yesu Kristo alizaliwa Israel kwa wengine ndo muasisi wa Imani yetu ila kama wewe unasema ukristo umeanzia roma ni sawa pia uamuzi ni wako
 
Screenshot_20190310-105938.jpg
 
ndo maana nikasema hayo mengine utajua mwenyewe .......kama Yesu Kristo alizaliwa Israel kwa wengine ndo muasisi wa Imani yetu ila kama wewe unasema ukristo umeanzia roma ni sawa pia uamuzi ni wako
Mimi ni mlutheri naomba niweke wazi kwanza alafu soma hapa kidogo👇 na uniambie ni wapi biblia imeandika yesu alianzisha ukristo labda Nazareth au Jerusalem
.
Christianity emerged in the Roman Empire as an offshoot of Judaism during the 1st century CE. Major figures in early Christian history were the Twelve Apostles, disciples of Jesus who recorded and preached his teachings across the Middle East, Europe, Ethiopia, Transcaucasia, and some parts of Asia.

Until the 4th century, Christianity, along with many other religions, was the target of intense persecution by leaders of the Roman Empire. This continued until Constantine the Great converted to Christianity and decriminalized it via the Edict of Milan (313). The First Council of Nicaea followed in 325, a meeting of Christian bishops that established a uniform set of beliefs across the Roman Empire. By 380, the Roman Empire designated Christianity as the state religion.
 
Mimi ni mlutheri naomba niweke wazi kwanza alafu soma hapa kidogo👇 na uniambie ni wapi biblia imeandika yesu alianzisha ukristo labda Nazareth au Jerusalem
.
Christianity emerged in the Roman Empire as an offshoot of Judaism during the 1st century CE. Major figures in early Christian history were the Twelve Apostles, disciples of Jesus who recorded and preached his teachings across the Middle East, Europe, Ethiopia, Transcaucasia, and some parts of Asia.

Until the 4th century, Christianity, along with many other religions, was the target of intense persecution by leaders of the Roman Empire. This continued until Constantine the Great converted to Christianity and decriminalized it via the Edict of Milan (313). The First Council of Nicaea followed in 325, a meeting of Christian bishops that established a uniform set of beliefs across the Roman Empire. By 380, the Roman Empire designated Christianity as the state religion.
nimekuwekea inayoanzia mwanzoni kabisa maana wewe umekata
 
Mimi ni mlutheri naomba niweke wazi kwanza alafu soma hapa kidogo👇 na uniambie ni wapi biblia imeandika yesu alianzisha ukristo labda Nazareth au Jerusalem
.
Christianity emerged in the Roman Empire as an offshoot of Judaism during the 1st century CE. Major figures in early Christian history were the Twelve Apostles, disciples of Jesus who recorded and preached his teachings across the Middle East, Europe, Ethiopia, Transcaucasia, and some parts of Asia.

Until the 4th century, Christianity, along with many other religions, was the target of intense persecution by leaders of the Roman Empire. This continued until Constantine the Great converted to Christianity and decriminalized it via the Edict of Milan (313). The First Council of Nicaea followed in 325, a meeting of Christian bishops that established a uniform set of beliefs across the Roman Empire. By 380, the Roman Empire designated Christianity as the state religion.
unaongelea imani ya kikristo ama madhehebu ya kikristo?
 
Sasa bi faiza naomba nikuulize swali moja tu na usimung'uny'e maneno Nani ni muasisi wa Uisilamu?
.
Muasisi wa ukristo tunamjua ni Roma.

Ndg khali'.. suali lako zuri!! Nachukuwa nafasi hii kukufikishia somo la uhakika na maandiko ktk vitabu 105 vyote vya imani!!
FYI.. uislam ni KUSALIM Amri kuwa Mwenyezi Mungu(Allah) ambae NI pekee na Muumba wa vyote..,Sasa siye ktk dini hatusemi Nani muasisi siye tunafuata na kutii maAmrisho ya M/Mungu (Allah).. iliyotumwa kwetu kupitia mitume na manabii AS..

Nabii Ibrahim AS alituita WaIslaam Kama vile wa awali !! Na baada ya miaka kadha... ndipo akaja Mtume na Nabii Muhammad SAW kuongoza Umma Huu wa Sasa kwa mafundisho ya mitume waliyotangulia !! Hivo dini iliyoteremshwa ni ISLAM ktk mifumo yote iwe "musalimu Amri zenu kwa Muumba mmoja"

Wengine wanaitwa Ahlu Al Kitaab !! Hao NI waliyoteremshewa kitabu ktk umma wao na wakati wao maalum!! (Lakino lengo ni kumtii na kumuabudu Meenyezi Mungu mmoja)

Karibu Sana.. bila kinyongo au kukwazana..
 
Mkuu naona mada yako yenyewe inakupiga chenga.
.
Haujui Uikristu "Christianity" ni nini na ulianzia wapi embu Google tusichoshane ukishajua ulianzishwa na nani tafuta vitabu kumi tu ambavyo vilitolewa kwenye Bible uvipitie kwa wakati wako.
Kwanza neno Kristo maana yake ni mpakwa mafuta, kwa hio huyo mpakwa mafuta azaliwe Israeli na aanze mahubiri hapo halafu huo upakwa mafuta ukaanzie Roma ambako huyo mpakwa mafuta hajawahi kukanyaga kwa mujibu wa Biblia?
 
Kwanza neno Kristo maana yake ni mpakwa mafuta, kwa hio huyo mpakwa mafuta azaliwe Israeli na aanze mahubiri hapo halafu huo upakwa mafuta ukaanzie Roma ambako huyo mpakwa mafuta hajawahi kukanyaga kwa mujibu wa Biblia?
wanachanganya hawa ukristo na madhehebu ya kikristo kama ni madhehebu ya kikristo ni sawa yameanzia Roma ila imani ya kikristo imeanzia hapo mashariki ya kati
 
Kwanza neno Kristo maana yake ni mpakwa mafuta, kwa hio huyo mpakwa mafuta azaliwe Israeli na aanze mahubiri hapo halafu huo upakwa mafuta ukaanzie Roma ambako huyo mpakwa mafuta hajawahi kukanyaga kwa mujibu wa Biblia?
Kabisa wala hakuna ubishi katika hilo, leta ushahidi hapa kuwa ukristo ulianzia israel wangu huu hapa👇
.
Christianity emerged in the Roman Empire as an offshoot of Judaism during the 1st century CE. Major figures in early Christian history were the Twelve Apostles, disciples of Jesus who recorded and preached his teachings across the Middle East, Europe, Ethiopia, Transcaucasia, and some parts of Asia.

Until the 4th century, Christianity, along with many other religions, was the target of intense persecution by leaders of the Roman Empire. This continued until Constantine the Great converted to Christianity and decriminalized it via the Edict of Milan (313). The First Council of Nicaea followed in 325, a meeting of Christian bishops that established a uniform set of beliefs across the Roman Empire. By 380, the Roman Empire designated Christianity as the state religion.
 
Ndg khali'.. suali lako zuri!! Nachukuwa nafasi hii kukufikishia somo la uhakika na maandiko ktk vitabu 105 vyote vya imani!!
FYI.. uislam ni KUSALIM Amri kuwa Mwenyezi Mungu(Allah) ambae NI pekee na Muumba wa vyote..,Sasa siye ktk dini hatusemi Nani muasisi siye tunafuata na kutii maAmrisho ya M/Mungu (Allah).. iliyotumwa kwetu kupitia mitume na manabii AS..

Nabii Ibrahim AS alituita WaIslaam Kama vile wa awali !! Na baada ya miaka kadha... ndipo akaja Mtume na Nabii Muhammad SAW kuongoza Umma Huu wa Sasa kwa mafundisho ya mitume waliyotangulia !! Hivo dini iliyoteremshwa ni ISLAM ktk mifumo yote iwe "musalimu Amri zenu kwa Muumba mmoja"

Wengine wanaitwa Ahlu Al Kitaab !! Hao NI waliyoteremshewa kitabu ktk umma wao na wakati wao maalum!! (Lakino lengo ni kumtii na kumuabudu Meenyezi Mungu mmoja)

Karibu Sana.. bila kinyongo au kukwazana..
Navutiwa sana na watu waungwana kama wewe.
.
Kwa mujibu wa maelezo yako makini kabisa ni kwamba Nabii Ibrahim ama Abraham aliuita uislam kama wa awali.
Na baada ya miaka maelfu kwa maelfu akaja Nabii Muhammad kuuongoza umma wa kiislam ambao hapo kabla haukuwepo nazungumzia "Waumini"
.
Sasa mkuu naomba unipe darasa ambalo linaweza kukufunga ama kunifunga mimi, Tunatambua sote kwa wazi kabisa kwamba Baada ya ibrahim kupotea ulimwenguni wamekuja manabii wengi mnoooo! Akiwemo Yesu kristo sasa je hawa wote walikuwa hawafuati mafundisho ya baba wa imani Ama walikuwa hawalijui hilo?
.
Na ni kwanini mnapokuwa masjid mnamswalia Muhammad na kufuata alivyovisema ama kuvifanya yeye kuliko vya baba wa imani?
.
Kumbuka uislam umeanzishwa miaka ya 1500 mkuu na ukristo ulianza miaka mingi sana kabla yake.
 
Back
Top Bottom