Maoni yangu binafsi kuhusu dini

Nov 14, 2015
9
19
Nimelelewa nikiaminishwa kwamba mimi ni bora kuliko kundi lingine la kidini (Nikiwa Mkirsto) nikaaminishwa kuwa jamii yetu ni jamii bora na nikaaminishwa kuwa hakuna la muhimu kwa wengine ila kwetu tu. Lakini nikawa ninajiuliza ni vipi Dini inafundisha utengano mkubwa kiasi hiki.

Niliishi na Mtazamo huu kwa mda wa miaka 24, nikimaanisha tangu nikiwa mdogo hadi nilipofika miaka 24.

Siku moja katika maongezi yangu na baba yangu tukazungumzia kidogo kuhusu dini, baba akaniambia tumeshakuwa na sasa tuna uhuru wa kuchagua njia yetu kama tubaki kuwa Wakristo ama waislam ama kuhasi dini, mimi sikusita kumjibu kuwa Kuanzia sasa sitaki dini yeyote, ila nitakuwa nikisali kwakua ninaamini Kuhusu Mungu Muumbaji, ninaamini katika Mungu wetu wa upatanifu na wa upendo..

Baba aliniambia niko sahihi kwa hilo kwakua ni maamuzi yangu, hakuniuliza kwanini nimeamua kuachana na dini, lakini siku moja baada ya kuja Marekani kusoma nilifanya tafiti za kidini zaidi, nilipata majibu mengi na hapo nilimtumia Baba email kumjulisha kwanini niliamua kuachana na dini.. Kwenye Email nikaandika sababu kuu ilikuwa ni kwamba Dini imekuja kuwa Ukuta mkubwa zaidi wa kutenganisha watu na siyo daraja la kuwaunganisha tena, haya niliyaona kupitia marafiki zangu wa hapa Marekani na wa Ulaya wanavyojiona wao (Wakristo) ni bora kuliko Waislam, nilichukia mtazamo wao na niliwasihi kuacha mitazamo yao ya utenganifu..

Nikaja nikatafiti kuhusu mauaji yaliyosababishwa na Dini tangu dini ya Paul, mnamo Karne ya kwanza kuna mauaji makubwa sana yalitokea Huko Korintho, Thesalonika, Roma (Ulaya) Galatia, Efeso na kwingine kwingi, hii ilikuwa ni kutetea dini, mauaji haya yalichukua miaka 235, mnamo karne ya tatu Wapagani walioanza vita na Paul walikuja na lengo la kuanzisha kanisa lao na kuondoa kanisa la Paul, wapagani hawa ni Catholic Church, hawa ni wapagani waliostaarabika, walipigana vita kubwa sana, watu walikufa wengi sana.

Vita kuhusu dini imeendelea kwa Karne na Karne, tumekuja miaka ya karibuni tumeona vita jinsi watu wanaojiita wa Itikadi kali wanavyouwa watu uko Afrika Mashariki Somalia huko, mashariki ya kati IS wanavyouwa watu, tutarudi kipindi cha Conspiracy ya September 11, 2001 jinsi Marekani ilivyotumia upenyo huo na kwenda kuharibu Mashariki ya Kati yote haya yamejificha katika Mwavuli wa Dini.

Kwa yale niliyojitafutia usahihi ni kwamba tangu kuumbwa kwa dunia watu waliokufa katika dini ndio wengi kuliko wale waliokufa katika magonjwa ya mlipuko, majanga ya asili, vita vya kikabila na kisiasa, watu waliokufa katika dini ni wengi na idadi yao haitakuja kuwa sawa hata kidogo na hao wengine niliotaja na wanaendelea kufa.

Sasa tujiulize hapa dini inaunganisha watu ama kuwatenga? inakuwa daraja ama ukuta?

Kibnafsi sipendi na sitashawishiwa kuunga dini mkono ila Kufanya yale ambayo Mungu wetu anatamani kuona sisi tunafanya..

Tuje katika mzozo wa sasa Papa Francis Kutetea suala la ushoga, tujiulize maoni ya Askofu mkuu wa Canterbury Justin Welby na Askofu mkuu wa Kanisa la Scotland Iain Greenshields juu ya ushoga, sasa hapa dini itakua inafundisha nini? Kibinafsi nimetokea kuichukia dini maana inataka kutumbukiza Dunia sehemu mbaya sana.
 
Suala la vita za kidini kuua watu wengi kuliko vita zozote au majanga ya kiasili inabidi uweke rekodi zako sawa kabisa

Rudi anza tena kupitia vita zote zilizorekodiwa, kisha njoo mwaka 1 alipokuja yesu, mwaka 700s alipokuja Muhammad

Njoo kwenye ukoloni, WWI&II, vita za utaifa na ukombozi, za wenyewe kwa wenyewe halafu njoo na hitimisho
 
tungepata mtu aliyekufa na kurudi hai kutueleza huko tunaposimuliwa ni nani bora kwenye dini tunazotambiana mijadala kama hii ingekufa kama kitabu kushushwa,mwana wa mungu,nabii,mabikra 72,mtume na majini.
 
We ulilelewa kwenye ukristo gani huo uliofundishwa kuwa we ni bora kuliko wengine? Hakuna mafundisho ya kikristo yanayosadifu uliyoandika.

Wakristo wamekuwa wakihubiri injili ya upendo tangu karne nyingi. Lini ukristo ulihubiri kubagua wengine? Hata waovu na wenye dhambi ukristo unawahubiria habari njema kuacha uovu wao kwa upendo na amani.
 
Ungetuwekea na sisi huo utafiti uliofanya tuuone hapa. Je kwenye vita unazoziita za kidini walikufa wangapi Vs Vita visivyo vya dini ili tutoe maoni
 
Nimelelewa nikiaminishwa kwamba mimi ni bora kuliko kundi lingine la kidini (Nikiwa Mkirsto) nikaaminishwa kuwa jamii yetu ni jamii bora na nikaaminishwa kuwa hakuna la muhimu kwa wengine ila kwetu tu. Lakini nikawa ninajiuliza ni vipi Dini inafundisha utengano mkubwa kiasi hiki.

Niliishi na Mtazamo huu kwa mda wa miaka 24, nikimaanisha tangu nikiwa mdogo hadi nilipofika miaka 24.

Siku moja katika maongezi yangu na baba yangu tukazungumzia kidogo kuhusu dini, baba akaniambia tumeshakuwa na sasa tuna uhuru wa kuchagua njia yetu kama tubaki kuwa Wakristo ama waislam ama kuhasi dini, mimi sikusita kumjibu kuwa Kuanzia sasa sitaki dini yeyote, ila nitakuwa nikisali kwakua ninaamini Kuhusu Mungu Muumbaji, ninaamini katika Mungu wetu wa upatanifu na wa upendo..

Baba aliniambia niko sahihi kwa hilo kwakua ni maamuzi yangu, hakuniuliza kwanini nimeamua kuachana na dini, lakini siku moja baada ya kuja Marekani kusoma nilifanya tafiti za kidini zaidi, nilipata majibu mengi na hapo nilimtumia Baba email kumjulisha kwanini niliamua kuachana na dini.. Kwenye Email nikaandika sababu kuu ilikuwa ni kwamba Dini imekuja kuwa Ukuta mkubwa zaidi wa kutenganisha watu na siyo daraja la kuwaunganisha tena, haya niliyaona kupitia marafiki zangu wa hapa Marekani na wa Ulaya wanavyojiona wao (Wakristo) ni bora kuliko Waislam, nilichukia mtazamo wao na niliwasihi kuacha mitazamo yao ya utenganifu..

Nikaja nikatafiti kuhusu mauaji yaliyosababishwa na Dini tangu dini ya Paul, mnamo Karne ya kwanza kuna mauaji makubwa sana yalitokea Huko Korintho, Thesalonika, Roma (Ulaya) Galatia, Efeso na kwingine kwingi, hii ilikuwa ni kutetea dini, mauaji haya yalichukua miaka 235, mnamo karne ya tatu Wapagani walioanza vita na Paul walikuja na lengo la kuanzisha kanisa lao na kuondoa kanisa la Paul, wapagani hawa ni Catholic Church, hawa ni wapagani waliostaarabika, walipigana vita kubwa sana, watu walikufa wengi sana.

Vita kuhusu dini imeendelea kwa Karne na Karne, tumekuja miaka ya karibuni tumeona vita jinsi watu wanaojiita wa Itikadi kali wanavyouwa watu uko Afrika Mashariki Somalia huko, mashariki ya kati IS wanavyouwa watu, tutarudi kipindi cha Conspiracy ya September 11, 2001 jinsi Marekani ilivyotumia upenyo huo na kwenda kuharibu Mashariki ya Kati yote haya yamejificha katika Mwavuli wa Dini.

Kwa yale niliyojitafutia usahihi ni kwamba tangu kuumbwa kwa dunia watu waliokufa katika dini ndio wengi kuliko wale waliokufa katika magonjwa ya mlipuko, majanga ya asili, vita vya kikabila na kisiasa, watu waliokufa katika dini ni wengi na idadi yao haitakuja kuwa sawa hata kidogo na hao wengine niliotaja na wanaendelea kufa.

Sasa tujiulize hapa dini inaunganisha watu ama kuwatenga? inakuwa daraja ama ukuta?

Kibnafsi sipendi na sitashawishiwa kuunga dini mkono ila Kufanya yale ambayo Mungu wetu anatamani kuona sisi tunafanya..

Tuje katika mzozo wa sasa Papa Francis Kutetea suala la ushoga, tujiulize maoni ya Askofu mkuu wa Canterbury Justin Welby na Askofu mkuu wa Kanisa la Scotland Iain Greenshields juu ya ushoga, sasa hapa dini itakua inafundisha nini? Kibinafsi nimetokea kuichukia dini maana inataka kutumbukiza Dunia sehemu mbaya sana.

Msumali wa moto,dini ni utapeli mtupu,hasa hawa siasa kali wanaoua wengine kisa dini.
 
Ungeandika hivi ukiwa muislam ungeeleweka, maana kule ndio wana misimamo hiyo. Ukristo daima unahubiri upendo, umoja na amani.
umekometi bila kufahamu kilicho andikwa,ningekuona wamaana kama unge mpinga kwa hoja hili kumpinga kwa hoja usiwe mfuasi wa miujiza tena uwe umesoma mwanzo wa ukiristo kuanzia kwa paulo
 
We ulilelewa kwenye ukristo gani huo uliofundishwa kuwa we ni bora kuliko wengine? Hakuna mafundisho ya kikristo yanayosadifu uliyoandika.

Wakristo wamekuwa wakihubiri injili ya upendo tangu karne nyingi. Lini ukristo ulihubiri kubagua wengine? Hata waovu na wenye dhambi ukristo unawahubiria habari njema kuacha uovu wao kwa upendo na amani.
1 YOHANA 4:20

Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.

Andiko la Wakristo hilo


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huu Uzi Bila kuhusishwa Uislamu na kusemwa vibaya hautakamilika kabisa

Nipo sehemu nawazoom
 
Nimelelewa nikiaminishwa kwamba mimi ni bora kuliko kundi lingine la kidini (Nikiwa Mkirsto) nikaaminishwa kuwa jamii yetu ni jamii bora na nikaaminishwa kuwa hakuna la muhimu kwa wengine ila kwetu tu. Lakini nikawa ninajiuliza ni vipi Dini inafundisha utengano mkubwa kiasi hiki.

Niliishi na Mtazamo huu kwa mda wa miaka 24, nikimaanisha tangu nikiwa mdogo hadi nilipofika miaka 24.

Siku moja katika maongezi yangu na baba yangu tukazungumzia kidogo kuhusu dini, baba akaniambia tumeshakuwa na sasa tuna uhuru wa kuchagua njia yetu kama tubaki kuwa Wakristo ama waislam ama kuhasi dini, mimi sikusita kumjibu kuwa Kuanzia sasa sitaki dini yeyote, ila nitakuwa nikisali kwakua ninaamini Kuhusu Mungu Muumbaji, ninaamini katika Mungu wetu wa upatanifu na wa upendo..

Baba aliniambia niko sahihi kwa hilo kwakua ni maamuzi yangu, hakuniuliza kwanini nimeamua kuachana na dini, lakini siku moja baada ya kuja Marekani kusoma nilifanya tafiti za kidini zaidi, nilipata majibu mengi na hapo nilimtumia Baba email kumjulisha kwanini niliamua kuachana na dini.. Kwenye Email nikaandika sababu kuu ilikuwa ni kwamba Dini imekuja kuwa Ukuta mkubwa zaidi wa kutenganisha watu na siyo daraja la kuwaunganisha tena, haya niliyaona kupitia marafiki zangu wa hapa Marekani na wa Ulaya wanavyojiona wao (Wakristo) ni bora kuliko Waislam, nilichukia mtazamo wao na niliwasihi kuacha mitazamo yao ya utenganifu..

Nikaja nikatafiti kuhusu mauaji yaliyosababishwa na Dini tangu dini ya Paul, mnamo Karne ya kwanza kuna mauaji makubwa sana yalitokea Huko Korintho, Thesalonika, Roma (Ulaya) Galatia, Efeso na kwingine kwingi, hii ilikuwa ni kutetea dini, mauaji haya yalichukua miaka 235, mnamo karne ya tatu Wapagani walioanza vita na Paul walikuja na lengo la kuanzisha kanisa lao na kuondoa kanisa la Paul, wapagani hawa ni Catholic Church, hawa ni wapagani waliostaarabika, walipigana vita kubwa sana, watu walikufa wengi sana.

Vita kuhusu dini imeendelea kwa Karne na Karne, tumekuja miaka ya karibuni tumeona vita jinsi watu wanaojiita wa Itikadi kali wanavyouwa watu uko Afrika Mashariki Somalia huko, mashariki ya kati IS wanavyouwa watu, tutarudi kipindi cha Conspiracy ya September 11, 2001 jinsi Marekani ilivyotumia upenyo huo na kwenda kuharibu Mashariki ya Kati yote haya yamejificha katika Mwavuli wa Dini.

Kwa yale niliyojitafutia usahihi ni kwamba tangu kuumbwa kwa dunia watu waliokufa katika dini ndio wengi kuliko wale waliokufa katika magonjwa ya mlipuko, majanga ya asili, vita vya kikabila na kisiasa, watu waliokufa katika dini ni wengi na idadi yao haitakuja kuwa sawa hata kidogo na hao wengine niliotaja na wanaendelea kufa.

Sasa tujiulize hapa dini inaunganisha watu ama kuwatenga? inakuwa daraja ama ukuta?

Kibnafsi sipendi na sitashawishiwa kuunga dini mkono ila Kufanya yale ambayo Mungu wetu anatamani kuona sisi tunafanya..

Tuje katika mzozo wa sasa Papa Francis Kutetea suala la ushoga, tujiulize maoni ya Askofu mkuu wa Canterbury Justin Welby na Askofu mkuu wa Kanisa la Scotland Iain Greenshields juu ya ushoga, sasa hapa dini itakua inafundisha nini? Kibinafsi nimetokea kuichukia dini maana inataka kutumbukiza Dunia sehemu mbaya sana.
tangu nejiunga jf sijaoa unjume kama huu hii ni chemsha bongo
 
Ninakubaliana na wewe, ili kuimarisha mawazo yako soma zaidi kuhusu Karl Marx. Ila wewe sio atheist kwani unaamini Mungu yupo ila sio kwa kutumia hizi dini za kuuwana.
 
Mimi niliamini sana katika ukristu ila nikapata maono usiku wa manane kuwa "Mungu wa kweli hawazi kumtoa mwanae kafara". Tangu siku hiyo nikahama ukristu. Kuingia Uislamu nikagundua Kuna Suni na Shia, kama ni kweli Mungu mmoja hapangekuwa na huo mgawanyiko. Naamini Mungu yupo ila matendo yangu yatanifikisha kwake.
 
Habari za dini, kuwapo kwa Mungu na vitabu vitakatifu, ni tungo za watu tu katika kupambana na hali zao.

Hakuna huyo Mungu na dini ni siasa za kale zilizovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyeweza kuthibitishika.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT

Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Habari za dini, kuwapo kwa Mungu na vitabu vitakatifu, ni tungo za watu tu katika kupambana na hali zao.

Hakuna huyo Mungu na dini ni siasa za kale zilizovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyeweza kuthibitishika.


How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT

Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
Kama Wamisri walikufa kutokana na mawimbi ya bahari (kama tutakubaliana na hili kama ulivyosema), utuambie, Wana wa Israel walivuka vipi bahari ya Sham?! Je, mawimbi yaliyowaua Wamisri, ndio yaliyotenganisha bahari na kisha wana wa Israel kuvuka? Utuambie kinagaubaga, hayo mawimbi (storm) yalitokea immediately wana wa Israel walipowasili bahari ya Sham, na kutenganisha bahari, wana wa Israel wakapita, walipomaliza kupita tu, Wamisri wakaja na mawimbi kufunga bahari na wao kuangamia? Kama utajibu ilikuwa hivyo, je, kwanini iwe hivyo? Nani alisababisha hayo yote? Na je, kama ni natural power, hiyo natural power inabagua; kwamba hawa ni wangu na hawa sio wangu? Na kama utaamini hivyo, hiyo natural power ni nini? Je, ni kitu ambacho hakina uhai! Kitu gani chenye uhai kinachofanya maamuzi bila reasoning? Bila shaka, nguvu zote hizo zinatoka katika chanzo cha kutambulika; sasa ni nini hicho? Mimi sisemi chanzo hicho ni nini, Kiranga utuambie, chanzo hicho ni nini? (NB: hakuna kitu kinachoweza kufikiria zaidi ya kitu chenye uhai)
 
Kama Wamisri walikufa kutokana na mawimbi ya bahari (kama tutakubaliana na hili kama ulivyosema), utuambie, Wana wa Israel walivuka vipi bahari ya Sham?! Je, mawimbi yaliyowaua Wamisri, ndio yaliyotenganisha bahari na kisha wana wa Israel kuvuka? Utuambie kinagaubaga, hayo mawimbi (storm) yalitokea immediately wana wa Israel walipowasili bahari ya Sham, na kutenganisha bahari, wana wa Israel wakapita, walipomaliza kupita tu, Wamisri wakaja na mawimbi kufunga bahari na wao kuangamia? Kama utajibu ilikuwa hivyo, je, kwanini iwe hivyo? Nani alisababisha hayo yote? Na je, kama ni natural power, hiyo natural power inabagua; kwamba hawa ni wangu na hawa sio wangu? Na kama utaamini hivyo, hiyo natural power ni nini? Je, ni kitu ambacho hakina uhai! Kitu gani chenye uhai kinachofanya maamuzi bila reasoning? Bila shaka, nguvu zote hizo zinatoka katika chanzo cha kutambulika; sasa ni nini hicho? Mimi sisemi chanzo hicho ni nini, Kiranga utuambie, chanzo hicho ni nini? (NB: hakuna kitu kinachoweza kufikiria zaidi ya kitu chenye uhai)
Mkuu kwanza kabisa unaelewa kwamba mpaka mwaka 1869, kabla ya mfereji wa Suez kuchimbwa, hapo kipande cha Egypt na hii inayoitwa Israel leo hapakuwa pametenganishwa na maji? Unaelewa kwamba watu waliweza kupita kwa mguu tu hapo mpaka mwaka 1869 watu walipochimba mfereji wa Suez ili meli zipite?
 
Back
Top Bottom