Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,580
C# na Java nilitokea kuzipenda sana, alafu php ikaja kuniweka sawaMtuache tutumie hiyo nyie komaeni na css, c++.c,cobol na java
Mtoa mada usilolijua hata hii JF unayotumia ni PHP
C# na Java nilitokea kuzipenda sana, alafu php ikaja kuniweka sawaMtuache tutumie hiyo nyie komaeni na css, c++.c,cobol na java
PHP haina complication nyingi pia ni secure kwa namna fulani kuitumia kuna mitego unaweza ukafunga kuifanya iwe secure kwa watumiaji kwenye zile if and if else na OOP ukijua kucheza nayo mchezo umeisha connect database push mzigo, ingawa pia Ina mapungufu yakephp labda ni kwasababu soko la Tz linataka hivyo...
Nimeona hata kwenye mitihani ya programming ya recruitment secretariat, maswali ya php ni mengi, kuliko maswali ya programming languages zingine... Ikifuatiwa na javaPHP haina complication nyingi pia ni secure kwa namna fulani kuitumia kuna mitego unaweza ukafunga kuifanya iwe secure kwa watumiaji kwenye zile if and if else na OOP ukijua kucheza nayo mchezo umeisha connect database push mzigo, ingawa pia Ina mapungufu yake
Shida inakuja wa hadhiri wengi program languages wanazozijua ni za kizamani, nakumba jamaa Angu mmoja, alifanya system project yake kwa python language, walimu wote walimuogopa kumuuliza maswali ya semantic, wakabaki TU wanampigia jamaa makofiKwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?
Habari wana JF!
Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...
Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM
Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla
Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg
Na nyingine nyingi tu!!
JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.
Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!
Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
Recruitment secretariet ni mtihani gani hiyo mkuuu 🤔Nimeona hata kwenye mitihani ya programming ya recruitment secretariat, maswali ya php ni mengi, kuliko maswali ya programming languages zingine... Ikifuatiwa na java
Daaaah nimecheka kama fala 😂😂😂😂😂Shida inakuja wa hadhiri wengi program languages wanazozijua ni za kizamani, nakumba jamaa Angu mmoja, alifanya system project yake kwa python language, walimu wote walimuogopa kumuuliza maswali ya semantic, wakabaki TU wanampigia jamaa makofi
Mitihani ya kazi za serikali za ma programmer inayoratibiwa na secretarieti ya ajira ya Tanzania... Umeelewa mkuu?Recruitment secretariet ni mtihani gani hiyo mkuuu 🤔
Yes sawsawa inafanyika kwenye taasisi kama zipi mfanoMitihani ya kazi za serikali za ma programmer inayoratibiwa na secretarieti ya ajira ya Tanzania... Umeelewa mkuu?
Ega, Tra, na nyingi tu za serikali mkuuYes sawsawa inafanyika kwenye taasisi kama zipi mfano
We ni mwanafunzi au msakatonge mkuu, na ni mtu wa IT?Yes sawsawa inafanyika kwenye taasisi kama zipi mfano
Nasoma information security hapo unique academyWe ni mwanafunzi au msakatonge mkuu, na ni mtu wa IT?
Ok sawasawaEga, Tra, na nyingi tu za serikali mkuu
Ahaaa sawa sawa... Mitihani ya security inakuwaga na LINUX....Nasoma information security hapo unique academy
Nlisikia kuna sponsorship yakusoma certification za security ni kweli?Nasoma information security hapo unique academy
Hiyo ni practical au theory mkuuuAhaaa sawa sawa... Mitihani ya security inakuwaga na LINUX....
Theory na practical...Hiyo ni practical au theory mkuuu
Yes ni kweli kama ww ni kichwa wahindi wanakupeperusha mambele chapu after 3rd year watu wanatoka kishenzi ni ukomavu wako tuNlisikia kuna sponsorship yakusoma certification za security ni kweli?
Mbona python ndo rahisi zaidi kujifunza Sasa kuliko phpShida inakuja wa hadhiri wengi program languages wanazozijua ni za kizamani, nakumba jamaa Angu mmoja, alifanya system project yake kwa python language, walimu wote walimuogopa kumuuliza maswali ya semantic, wakabaki TU wanampigia jamaa makofi
Kwa hapo sijui ila itakuwa nayo tu maana wame divide kwenye level 3Theory na practical...