Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

😀😀😀Kumbe ndo weye wa enzi zile na nyuzi zile zile? Haya basi mimi sipendi ligi, hivyo nitafuta post yangu ktk uzi huu.
No wala sio mimi!! na wala siko hapa kwa ajili ya ligi niko kwa ajili ya kujifunza!
 
😀😀😀Mkuu umeni-intimidate ili nijione mnyonge badala kujibu hoja yangu. Na mimi nguvu za kubishana sina, hivyo nakuachia uwanja utiririke.
Nikutakie kila la heri ndugu, ila pia huko madarasani hata kama mnafundisha php pekee ila muwe mnawaambia duniani haiko php peke yake ziko nyingine sio wanatoka chuoni na kukomaa na php tu!!
 
No sijamaanisha hivyo! Huo ulikua ni mfano tu kiongozi!
Ok, cool!

Uko sahihi, lakini ni mmoja wa watu waliokua wanafanya kazi kama top technical leaders,
Swali ni je, kwanini baada ya kuondoka facebook hakuenda kutumia php aliyokua ameizoea kwenye kazi zake akiwa fb?
Nadhani kuna notion ambayo si sahihi kuwa mtu akifanya kazi katika Big Techies za SV basi anakuwa Techie Leader. I beg to differ on that. Kuwa Facebook au Google, et al inakupa upper hand ya kuwa na tools available kwenda mbali. Lakini haiufanyi automatically uwe Tech Leader. Pili unaweza kuwa leader wa Lugha moja na usiwe authority kwenye nyingine. Mfano, Guid VR akisema kitu kwenye Python au Matsumoto kwenye Ruby inabidi utege sikio vizuri. Its likely kuna kikubwa cha kusikiliza. Lakini hao hao wakija kwenye let say PHP ni watu wa kawaida sana maana sio authority huko.

Pili kutoa hukumu ya lugha fulani kuwa better kuliko nyingine kigezo sio kufanya kazi FB, Twitter, Quora, Google or anywhere. Fair criticism inakuja pale tu unapokuwa umetumia lugha husika na kuzijua nguvu na mapungufu yake. Nijitolee mfano (hoping Root hatauita arrogance), Nimefanya project kubwa na Java EE, ASP.Net (both C# and VB.Net), PHP na NodeJs kwa Web na C++, Python, JavaScript, C kwa zilizobakia na kuna Project soon nitaifanya kwa Elixir/Phoenix.

Kwa sababu hiyo nina uga mpana wa kujua mapungufu na nguvu za lugha husika, pengine kuliko huyo jamaa wa Quora.

Na kwa maoni yangu PHP na Python/Ruby ni kama Mallet Hammer zilizotengenezwa na makampuni tofauti zikiwa na flavor tofauti za kufanya kitu kilekile. Ni suala la uchaguzi tu!
 
Nikutakie kila la heri ndugu, ila pia huko madarasani hata kama mnafundisha php pekee ila muwe mnawaambia duniani haiko php peke yake ziko nyingine sio wanatoka chuoni na kukomaa na php tu!!
Asante mkuu kwa kuendelea kunitisha, by the way, sipo tena chuoni. Nipo Msanga nalima matikiti maji na mananasi, huenda ndo maana sijajua kama kuna scripting language mpya zimegunduliwa hivi karibuni.😛😛. Karibu kwenye kilimo, kinalipa kuliko kukesha na code huku mtoto wa watu kalala peke yake kitandani😉.
 
Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Habari wana JF!

Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...

Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM

Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla

Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg

Na nyingine nyingi tu!!

JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.

Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!

Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
What's wrong with using PHP..?
 
Asante mkuu kwa kuendelea kunitisha, by the way, sipo tena chuoni. Nipo Msanga nalima matikiti maji na mananasi, huenda ndo maana sijajua kama kuna scripting language mpya zimegunduliwa hivi karibuni.😛😛. Karibu kwenye kilimo, kinalipa kuliko kukesha na code huku mtoto wa watu kalala peke yake kitandani😉.
Hahahhaa!

Ngoja atakuja huko...
 
Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Habari wana JF!

Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...

Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM

Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla

Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg

Na nyingine nyingi tu!!

JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.

Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!

Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
swala la uchaguzi wa language ni developer choice kama inameet requirement zake sion tatizo hapo halafu kingine php ni very powerful language ambayo popular hivyo mazingira ya kulearn ni rahisi kwa developer wengi
Hakuna wabunifu hapa Tanzania ndiyo sababu kuu kila mtu anataka kutengeneza apps kwa mfumo ule ule hakuna wa kubuni tofauti.
 
Stefano Mtangoo ivi java EE inaweza kutumika badala ya php..node js... Django...kwenye simple au complex website??

Soma hapa:

The Java EE platform is built on top of the Java SE platform. The Java EE platform provides an API and runtime environment for developing and running large-scale, multi-tiered, scalable, reliable, and secure network applications.[1]

Kifupi ni kuwa inatoa platform kwa ajili ya application za Enterprise (sijui kiswahili chake). Unaweza kui abuse na kutengeneza website kwa kuitumia lakini ni kama kuua nzi kwa risasi. Hapa naongelea simple website. Complex website (web apps actually) kama company sites ambazo zina Intranet na some internal apps integrated, Java EE iliundwa kuzilenga hizo!

So while Java EE inaweza kufanya yale ya PHP, Django na NodeJs, haikuwa designed kuzi replace (zingine hazikuwa zimezaliwa kabisa)

Sina hakika kama nimekuelewa vyema ila nimejitahidi kuelewa na kujibu!

1. Differences between Java EE and Java SE - Your First Cup: An Introduction to the Java EE Platform
 
swala la uchaguzi wa language ni developer choice kama inameet requirement zake sion tatizo hapo halafu kingine php ni very powerful language ambayo popular hivyo mazingira ya kulearn ni rahisi kwa developer wengi
Una maana php ni powerful kuliko python? Au una maanisha nin unaposema powerful??
 
Soma hapa:



Kifupi ni kuwa inatoa platform kwa ajili ya application za Enterprise (sijui kiswahili chake). Unaweza kui abuse na kutengeneza website kwa kuitumia lakini ni kama kuua nzi kwa risasi. Hapa naongelea simple website. Complex website (web apps actually) kama company sites ambazo zina Intranet na some internal apps integrated, Java EE iliundwa kuzilenga hizo!

So while Java EE inaweza kufanya yale ya PHP, Django na NodeJs, haikuwa designed kuzi replace (zingine hazikuwa zimezaliwa kabisa)

Sina hakika kama nimekuelewa vyema ila nimejitahidi kuelewa na kujibu!

1. Differences between Java EE and Java SE - Your First Cup: An Introduction to the Java EE Platform
Shukran kwa jibu lako murua kabisa. Nimekupata mkuu wangu!!
 
Kwanini umeuliza? Kwanini wasitumie php? Kwanini watumie hizo nyingine?

When we engineer software, being fancy is the least of our concerns. Ngoja nijaribu kulist some of the reasons why PHP might be the best choice kwa mazingira yetu.

1. Urahisi na uharaka wa kuship product husika
2. Urahisi wa kupata developers now and in the future.
3. Urahisi wa deployment
4. Documentation na developer community, hivyo urahisi wa kupata msaada.

Programmers are lazy by nature. It is a job requirement. Nitajie lugha inayoizidi PHP kwenye areas hizo muhimu kwa mazingira yetu.

La hasha, nitajie weaknesses za PHP zinazoifanya isifae kutumika.
 
kingine python haina private keyword
By design. Check this out especially hii nukuu:

Q: Why doesn't Python have interfaces, abstract classes and private variables?
Guido: I see two reasons:
1) Truth is, you don't really need them.
2) They are quite hard to implement because there is no type checking during compilation. Furthermore, I wasn't a huge fan of OOP. I just wanted to get a simple language and it became object-oriented only because things went that way.

Na hii
There are private members in Python. Prepending a double underscore to the method in question makes it private.

Try this:
PHP:
    class A:
        def __m():
            print("__m")
    a = A()
    a.__m()

This will result in
PHP:
    Traceback (most recent call last):
      File "test.py", line 5, in <module>
        a.__m()
    AttributeError: 'A' object has no attribute '__m'

kingine php ni rahisi kulearn host yake ni cheap
Hii ni subjective.
 
Back
Top Bottom