Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Nimeona hata kwenye mitihani ya programming ya recruitment secretariat, maswali ya php ni mengi, kuliko maswali ya programming languages zingine... Ikifuatiwa na java
PHP ndio lugha pendwa alafu ukiweza kuimaster ni tamu sana, Java pia ni tamu sababu PHP & Java OOP inahusika language nyingine ambayo ni tamu ni C#, ukiacha Python ambayo ni lugha rahisi maana Python ni km unaandika kingereza tu sio kwamba ni codes ngumu kiivyo
 
Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Habari wana JF!

Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...

Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM

Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla

Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg

Na nyingine nyingi tu!!

JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.

Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!

Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
Ni rahisi zaidi
 
Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Habari wana JF!

Ukiangalia websites nyingi hasa za hapa kwetu utaona zimetengezwa kwa kutumia php kwenye server side! Je kwanini developers wengi Tanzania wanapendelea kutumia PHP wakati kuna languages nyingine nyingi tu ambazo wangeweza kutumia kama...

Python(django, flask) inatumika na makampuni makubwa kama Quora, instagram, linkedln, Mozilla, Google(Youtube), IBM

Javascript (Node Js) inatumika na Microsoft, Mozilla

Ruby (RoR) inatumika na Twitter, bloomberg

Na nyingine nyingi tu!!

JF imetengenezwa kwa php, websites zote za serikali zote zimetengenezwa kwa php n.k.

Mgunduzi wa Quora (ambaye pia alikua anafanya kazi facebook) katika moja ya interview zake alisema, kama Facebook ingekua inaanza miaka hii basi wasingetumia PHP!!

Kwanini basi developers wengi Tanzania wanapenda kutumia php na sio python(django, flask, tornado) au ruby (RoR)??
Cheap
 
Po



Hiyo POS ni nn kwani mkuuu sijaelewa bado

Na naomba unipe tofauti yake na C au C++
POS

Point of Sale Systems for Retail, Restaurants, Bar & Salons

C haina tofauti na C++ yaan ni the same utofauti ni kwamba C++ is a superset of C najua umesoma hesabu
 
POS

Point of Sale Systems for Retail, Restaurants, Bar & Salons

C haina tofauti na C++ yaan ni the same utofauti ni kwamba C++ is a superset of C najua umesoma hesabu
Ok hapo sawa kwaiyo c# ni tofauti kabisa na c++ sio
 
Ila hata c++ napiga sana tu na python nipo nipo

Ila kwenye web design mi ni kinda bado stow away
 

Attachments

  • IMG-20230327-WA0017.jpeg
    IMG-20230327-WA0017.jpeg
    194.2 KB · Views: 14
Ndo naanza hapa html mkuu nimetengeneza tu heading 😂😂😂 na first page ☺️☺️ daaah nipo kindergarten kwenye haya mambo
Haya sawa mkuu mwanzo mgumu Ila mwisho utaelewa tu sio kazi kubwa sana kikubwa upende unachofanya,
 
Back
Top Bottom