Framework gani ya backend inafanya uwe productive zaidi? Laravel / Django

African Geek

JF-Expert Member
Jul 29, 2022
779
1,355
Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django?

Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend lakini pia nimefanikiwa kutumia serverless backends (Firebase &, Supabase).
Changamoto kubwa ya node js ni muda unaotumika kwenye kufanya setup na kutengeneza API's na complexity ya code.

Kwa tafiti nilizofanya mtandaoni, nimegundua watu wengi wanapendekeza Framework ya Laravel, Django, Go & Rails kutokana na urahisi wake na muda unaohitajika kwenye kutengeneza API's.

Ila nimetokea kuvutiwa na Django sababu nina background ya Python, na Laravel sababu ni inatumika na watu wengi hapa Tanzania na nimesikia ni rahisi kujifunza.

Je, mnashauri nijifunze Django au Laravel?
 
Backend kwasasa Laravel naona inakimbiza sana kuna mwamba yupo humu anagonga lara product zake ziko vizuri sana itabidi tuhamishie nguvu huko
 
Ruby on rails. Hii kwangu ni primary

monolithic zangu za side hustle na run kwa rails
Vipi ina speed ya kufanya development?.. let's say unafanya user authentication (registration, signing in & out) Inaweza chukua muda gani ukianza from the scratch
 
Vipi ina speed ya kufanya development?.. let's say unafanya user authentication (registration, signing in & out) Inaweza chukua muda gani ukianza from the scratch
40 sec. ( registration, login, logout, change password, Forget password). Baada ya ku login user anakua enabled globally
 
Noma sana, naiweka kwenye list yangu
Laravel na Django zinakuja zikiwa na authentication tayari, nikuzi enable/kuzi install tu
It depends kama unataka kufanya Monolithic au API na hizo frameworks.
Django ni best framework kwa perfectionist developers with Deadlines, though watu wanasema Django imekua bloated na codebase kubwa na ndo maana competitors za minimalist frameworks kama Flask zilikuja.
ila Code yake iko Very short handy.

Laravel inabebwa na community kubwa sana, easy access ya materials e.g Laracasts, LaravelDaily e.t.c
Kuna unyama mwingi kwenye Laravel kama TALL Stack(Tailiwnd, Alpinejs, Laravel and Livewire)
unfortunately hii community ya Laravel imekaa kupiga pesa zaidi maana Echo system yao imejaa vitu ambavyo vitakushawishi kuvilipia hela ila viko worthy of your money.

hapa cjhini nakuonesha mfano wa Controller ya Django vs Controller ya Laravel(hii picha imewza ku capture controller methods 2 ina ndani ya CategoryController class zipo methods tano tu) jumla ya lines of code ndani ya hili file ni around 80 lines of code. Ponea ya Laravel ni kwamba nusu ya hizi lines of codes zitakua auto generated na

php artisan make:controller CategoryController --api --requests --model=Category

Compare na Django ambako mistari mitatu tu inakupa API endpoints zote tano

though lines of code watu wengi wana argue sio good metrics ila zinaweza kuwa good metrics kama unatengeneza simple API endpoint ya resource kama api/categories maana CRUD operations zake hazina complex logic

Na kwa beginner upande wa Django hiyo mistary miwili inaweza kuwa confusing maana kuna bonge la abstraction ila wanakupa option ya kuandika endpoints kulingana na zile common CRUD operations na unaweza override default implementation

Lravel ina unyama mwingine wa Dependcy Injection kwenye controllers ambazo wewe ulotoka NodeJS utaziona ni unyama maana zinafanya Controller method iwe fupi kuhsinda ilivo Node JS

Mind you, Python inaendelea kuwa unyama na inaku ukwepable ulimwengu wa leo wa AI

Kwa Bongo watu wengi naona Laravel ndo fire ila kwa remote works itabidi ufanye research uone maana ukitaja tu Python huko duniani kazi nyingi zitahusu Data analysis na AI.

Kuna mambo mengi mazuri ndani ya hizi frameworks, its worthy trying them out.
 

Attachments

  • Screenshot at Sep 19 16-14-54.png
    Screenshot at Sep 19 16-14-54.png
    7 KB · Views: 12
  • Screenshot at Sep 19 16-14-38.png
    Screenshot at Sep 19 16-14-38.png
    59.4 KB · Views: 15
Laravel na Django zinakuja zikiwa na authentication tayari, nikuzi enable/kuzi install tu
It depends kama unataka kufanya Monolithic au API na hizo frameworks.
Django ni best framework kwa perfectionist developers with Deadlines, though watu wanasema Django imekua bloated na codebase kubwa na ndo maana competitors za minimalist frameworks kama Flask zilikuja.
ila Code yake iko Very short handy.

Laravel inabebwa na community kubwa sana, easy access ya materials e.g Laracasts, LaravelDaily e.t.c
Kuna unyama mwingi kwenye Laravel kama TALL Stack(Tailiwnd, Alpinejs, Laravel and Livewire)
unfortunately hii community ya Laravel imekaa kupiga pesa zaidi maana Echo system yao imejaa vitu ambavyo vitakushawishi kuvilipia hela ila viko worthy of your money.

hapa cjhini nakuonesha mfano wa Controller ya Django vs Controller ya Laravel(hii picha imewza ku capture controller methods 2 ina ndani ya CategoryController class zipo methods tano tu) jumla ya lines of code ndani ya hili file ni around 80 lines of code. Ponea ya Laravel ni kwamba nusu ya hizi lines of codes zitakua auto generated na



Compare na Django ambako mistari mitatu tu inakupa API endpoints zote tano

though lines of code watu wengi wana argue sio good metrics ila zinaweza kuwa good metrics kama unatengeneza simple API endpoint ya resource kama api/categories maana CRUD operations zake hazina complex logic

Na kwa beginner upande wa Django hiyo mistary miwili inaweza kuwa confusing maana kuna bonge la abstraction ila wanakupa option ya kuandika endpoints kulingana na zile common CRUD operations na unaweza override default implementation

Lravel ina unyama mwingine wa Dependcy Injection kwenye controllers ambazo wewe ulotoka NodeJS utaziona ni unyama maana zinafanya Controller method iwe fupi kuhsinda ilivo Node JS

Mind you, Python inaendelea kuwa unyama na inaku ukwepable ulimwengu wa leo wa AI

Kwa Bongo watu wengi naona Laravel ndo fire ila kwa remote works itabidi ufanye research uone maana ukitaja tu Python huko duniani kazi nyingi zitahusu Data analysis na AI.

Kuna mambo mengi mazuri ndani ya hizi frameworks, its worthy trying them out.
Ni madini matupuu..!! Wewe una prefer Django au Laravel.. Interms of performance & ease of use
 
Kama upo comfortable na Modern PHP (>= v7) nakushauri u invest mda wako kwenye Laravel

Kimsingi Laravel ina ecosystem nzuri ya packages, libraries na tools zote utakazohitaji kwa ajiri ya Enterprise Application yoyote ile.

Ina support UI framework utakayoamua kuitumia iwe React or Vue etc....

Tools nyingine kama Livewire na Inertiajs zina simplify kwa kiasi kikubwa Dev process, hizi zote zipo ndani ya Laravel ecosystem

Kwenye ku design na ku implement API ni rahisi mno kwenye Laravel

Plus Laravel ni rahisi kujifunza kuliko Django
 
Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django?

Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend lakini pia nimefanikiwa kutumia serverless backends (Firebase &, Supabase).
Changamoto kubwa ya node js ni muda unaotumika kwenye kufanya setup na kutengeneza API's na complexity ya code.

Kwa tafiti nilizofanya mtandaoni, nimegundua watu wengi wanapendekeza Framework ya Laravel, Django, Go & Rails kutokana na urahisi wake na muda unaohitajika kwenye kutengeneza API's.

Ila nimetokea kuvutiwa na Django sababu nina background ya Python, na Laravel sababu ni inatumika na watu wengi hapa Tanzania na nimesikia ni rahisi kujifunza.

Je, mnashauri nijifunze Django au Laravel?
Kwa kuwa productive zaidi Kila frameworks inaweza ina hitaji wewe uandike code ku allow re-usability language amabazo Zina support OOP ni nzuri zaid since zitakuruhusu kutengeneza code zenye abstraction ya juu bila repetition.
so hata kama ukienda kwa django au Laravel ni nazani ni vizuri ku structure your code in way kuruhusu re-usability. ( mfano for CRUD operation sio lazima uandae Kila endpoint husika handler function yake create a class or function to do all CRUD operation and re-use the functions except pale ambapo Kuna specific things unataka ufanye for given task)

Nazani ivyo mkuu
 
Back
Top Bottom