Kwanini Clouds Media haijaripoti kabisa Mkutano wa CHADEMA?

DALALI MKUU

JF-Expert Member
May 7, 2022
1,487
2,739
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke.

Lakini Cha kusikitisha Clouds Media imeungana na tbc hawakuipa umuhimu habari hiyo.

Katika kurasa Rasmi za Clouds Media, ukianzia clouds radio hawajairipoti kabisa. Clouds tv wameripoti kipande kidogo sana wakati wa Mapokezi yaan kama Tetesi tu.

Je Kuna Nini kinaendelea kati ya Clouds na Chadema maana hata wakati wa MC wa Chadema alitoa shukran Kwa vyombo vya habari haikutaja Millard ayo.Com ambao pia Walifanya coverage ya Mkutano wao live.

Je Kuna mgogoro wa chini Kwa chini? Au CHADEMA Imejitenga na Clouds ama Clouds ndio Imejitenga na Chadema.

Au ni kuogopa kupaka pilipili kwenye kibuyu Cha asali
 
Tusiingilie Uhuru wa wahariri kuchagua habari, hiyo ndio demokrasia.

Mnataka katiba mpya itoe Uhuru wa Kila mtu au taasisi kujiamulia, halafu tena mnataka kuwapangia
 
Clouds ni chombo binafsi cha habari na bila shaka kina msimamo wake hasa kuhusiana na siasa,mimi nilitegemea watakua neutral ila huwezi kulazimisha kwenda nje ya malengo yao, labda soko lao lipo zaidi ccm au TLP ni uchaguzi wao, wana CHADEMA wakiona hawajafanyiwa haki ,Ile consumers power wanaweza kutumia, wanachama na wapenzi wa CDM wasisue chochote kinachoandamana na Clouds, hit them hard in their pockets (money),ila KWA TBC hawa jamaa ni lazima wawe impartial maana ni ya watanzania wote regardless tofauti za kiitikadi, na kodi ya wapenzi wa chadema wanapata, TBC wapo very biased na stupid
 
Unaangalia Clouds gani mkuu?

IMG_20230125_195140_585.jpg
 
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke.

Lakini Cha kusikitisha Clouds Media imeungana na tbc hawakuipa umuhimu habari hiyo.

Katika kurasa Rasmi za Clouds Media, ukianzia clouds radio hawajairipoti kabisa. Clouds tv wameripoti kipande kidogo sana wakati wa Mapokezi yaan kama Tetesi tu.

Je Kuna Nini kinaendelea kati ya Clouds na Chadema maana hata wakati wa MC wa Chadema alitoa shukran Kwa vyombo vya habari haikutaja Millard ayo.Com ambao pia Walifanya coverage ya Mkutano wao live.

Je Kuna mgogoro wa chini Kwa chini? Au CHADEMA Imejitenga na Clouds ama Clouds ndio Imejitenga na Chadema.

Au ni kuogopa kupaka pilipili kwenye kibuyu Cha asali
Kwani ni lazima!
 
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke.

Lakini Cha kusikitisha Clouds Media imeungana na tbc hawakuipa umuhimu habari hiyo.

Katika kurasa Rasmi za Clouds Media, ukianzia clouds radio hawajairipoti kabisa. Clouds tv wameripoti kipande kidogo sana wakati wa Mapokezi yaan kama Tetesi tu.

Je Kuna Nini kinaendelea kati ya Clouds na Chadema maana hata wakati wa MC wa Chadema alitoa shukran Kwa vyombo vya habari haikutaja Millard ayo.Com ambao pia Walifanya coverage ya Mkutano wao live.

Je Kuna mgogoro wa chini Kwa chini? Au CHADEMA Imejitenga na Clouds ama Clouds ndio Imejitenga na Chadema.

Au ni kuogopa kupaka pilipili kwenye kibuyu Cha asali

Yamo mle yale machawa ya mama
 
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke.

Lakini Cha kusikitisha Clouds Media imeungana na tbc hawakuipa umuhimu habari hiyo.

Katika kurasa Rasmi za Clouds Media, ukianzia clouds radio hawajairipoti kabisa. Clouds tv wameripoti kipande kidogo sana wakati wa Mapokezi yaan kama Tetesi tu.

Je Kuna Nini kinaendelea kati ya Clouds na Chadema maana hata wakati wa MC wa Chadema alitoa shukran Kwa vyombo vya habari haikutaja Millard ayo.Com ambao pia Walifanya coverage ya Mkutano wao live.

Je Kuna mgogoro wa chini Kwa chini? Au CHADEMA Imejitenga na Clouds ama Clouds ndio Imejitenga na Chadema.

Au ni kuogopa kupaka pilipili kwenye kibuyu Cha asali
Kunawatu waligombea adi unec mule mule
 
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke.

Lakini Cha kusikitisha Clouds Media imeungana na tbc hawakuipa umuhimu habari hiyo.

Katika kurasa Rasmi za Clouds Media, ukianzia clouds radio hawajairipoti kabisa. Clouds tv wameripoti kipande kidogo sana wakati wa Mapokezi yaan kama Tetesi tu.

Je Kuna Nini kinaendelea kati ya Clouds na Chadema maana hata wakati wa MC wa Chadema alitoa shukran Kwa vyombo vya habari haikutaja Millard ayo.Com ambao pia Walifanya coverage ya Mkutano wao live.

Je Kuna mgogoro wa chini Kwa chini? Au CHADEMA Imejitenga na Clouds ama Clouds ndio Imejitenga na Chadema.

Au ni kuogopa kupaka pilipili kwenye kibuyu Cha asali
Hiki kituo kimejaa wapayukaji tu,hakuna weledi kabisa,juzi kulikuwa na kipindi Cha mahojiano na Sugu,wakati wanasubili aingie,watangazaji Baby Kabae,na Babla,walikuwa wanafanya small talks,sasa walikuwa wanaongea kwa sauti kubwa kama vile wapo kwenye kitchen party,mazungumzo ya mtaani,hayana mpangilio,mvuto,ni uapyukaji tu,
Hizi tv zetu,zimejaa vilaza watupu,wasafi,clouds,
Kwanini hawaigi Kenya,waangslie Ntv,citizen,nk jinsi mahojiano yanavyofanyika,sio kupayuka tu,wanakuwa hawana ajenda,Wala script,kila mtu anatema lile linalokuja kichwani.
 
Weee Dalali muda mwingine uwe makini kufatilia.Millard alitajwa kwenye shukurani na ndiye alikuwa wa mwisho.
 
Back
Top Bottom