Kwanini Chadema wanasafiria nyota ya Mwangosi?

Mkuu fuatilia vizuri. CDM walikataliw kuleta siasa msibani na waliambiwa kila mtu aje kama mwananchi tu. Dr. Slaa mishipa ya shingo ilimtoka hakukubali hilo na washabiki wa CDM wakavamia basi la waandishi liliokuwa linaenda msibani. Mpaka mwisho ili kuondoa mvutano Slaa akapewa mike asalimie wafiwa. Baada ya hapo CDM haijaombwa chochote na familia.
Kule Tanga waliudhuria viongozi wa ngazi ya wilaya. See the difference!!! Kwa vile kisiasa haikuwa na umuhimu, familia ilipokataa kuingiza siasa kwenye mazishi CDM nao wakapotezea. Huku Iringa ina maslahi kisiasa ndio maana waitisha mkutano wa dharura wa kamati kuu.

Hata kama watu kusoma hawajui lakini picha wanaona...

Unawajua Wanyakyusa unasimuliwa wewe , kama asingeruhusiwa angenyang'anywa mic wale hawana cha kumwogopa mtu,hizo hadithi tuu
CCM,Polisi,na serikali ni kweli wangefurahi kama chadema wasingekuwepo lakini katika mchezo wa siasa nadhani safari hii CCM na Polisi na serikali walichemka kabisa
 
Wa Ukumbi.

Kwanza kabisa napenda kutoa Pole zangu kwa Familia ya Mwangsi kwa kumpoteza mpendwa wao wakti akitekeleza majukumu ya kazi yake.

Pili natoa pole kwa wanahabari wote wa Tanzania hususan Upande wa Bara kwa kumpoteza mwanachama wenu mahiri katika mazingira ya kusikitisha akiwa akitekeleza wajibu wake kisharia wa kupasha habari.

lakin pia WaTanzania wote kwa kumpoteza mwananchi mwenzenu makini sana .

Baada ya salam hizo za Pole napenda pia kutoa mshangao wangu kwa baadhi ya vyama vya Siasa huko Tanzania kwa kulivalia njuga suala ma kifo hichi na kuvisahau vifo vingine. Hapa nimeshangazwa sana na Chama Cha Chadema ambachi kimekuwa mstari wa mbele sana kulishadidia hili.

Ikumbukwe kuwa wenye haki kamili ya kulishadidia hili ni waandishi wa Habari ambao ndio sio tu kwa kupewa pole lakin wanajitetea na kudai haki zao za msingi pindi wanapokuwa katika utendaji wa shughuli zao. Ikimbukwe kuwa Wanahabari kwa nchi zinazofuata Rules of Law wao wanakuwa ni muhimili mkuu wa nne lakin usio rasmi katika uongozi wa nchi. Mihimili iliyo rasmi kwa mujibu wa Rules of Law ni mahakama, Bunge na Serikali.

Mimi nilitaraji chama cha Chadema walitakiwa kujua kuwa Mwangosi aliuawa katika tukio hilo akiwa kazini kama Mwandishi wa habari na si kama mshabiki au mwanachama wa Chadema. Chadema walitakiwa wayashadidie mauaji ya wanachama wao ambao wamekuja kushiriki katika tukio la kichama kama yale ya Arusha au hata yaliyotokea hivi karibuni huko Morogoro. Lakin hili si muswiba wao ni muswiba wa wanahabari japo tukio lilitokea katika hadhwara yao.

Kwa lugha ya Pwani tunasema Chadema wanasafiria Nyota ya Mwangoso katika kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Kwani hata katika baraza kuu lao Jana walishikiria kifo hicho na kuonyesha mpaka video yake lakin hawakuonyesha video ya mauaji ya Mwanachama wao Morogoro. Hivyo kuzidisha thamani kwa Mwangosi ambaye ni mwanahabari na kumsahau mwanachama wao wa Pale morogoro. Sote tunaamini watu wote ni sawa lakin familia ni sawa zaidi. Na kila muswiba una wenyewe wengine wote mnakuwa wasindikizaji. Ni vizuri Chadema wajue kuwa katika Muswiba wa Mwangosi wao ni wasindikizaji tu lakin muswiba ni wa wanahabari.

Kijumla ninalaani mauaji ya watu hususan haya ya mwandishi akiwa anatekeleza majukumu yake lakin napinga sana watu kutumia muswiba huu kwa kujitafutia umaarufu na kusahau mauaji ya wanafamilia wake. Tukumbuke kila muswiba una wenyewe. Muswiba wa Mwangoso ni wa wanahari wote sio tu Tanzania bali Dunia nzima na wengine wote tunakuwa wasindikizaji tu.

Tussafirie nyota za wengine katika kutafuta umaarufu wa kisiasa.
Jamani...sasa hapa inahitajika PHD kweli kujua kuwa hivi vifo kikiwemo cha mwandishi ni mchoro wa kuichafua M4C??????
 
Usishangae ukakuta huyo ni Nape mwenyewe!


Zamani walikuwa wanapewa elfu mbili ila nasikia toka kifo cha Mwangosi (RIP) wameongezewa mia 5 ili wapayuke vizuri humu!

mnaleta mzaha kwenye vifo vya wenzenu, kwakuwa mnajua mliyoyapanga cjawahi kusikia kiongozi wenu hata mmoja katolewa angalau ngeu, mnasepa mapemaa!
 
mnaleta mzaha kwenye vifo vya wenzenu, kwakuwa mnajua mliyoyapanga cjawahi kusikia kiongozi wenu hata mmoja katolewa angalau ngeu, mnasepa mapemaa!


Sina mda wa kujibizana na kilaza kama wewe a.k.a vuvuzela la Nape........wewe hapa uko kazini ndugu, piga kazi jioni kachukue ujira wako!
 
kwa sababu ccm wanasafiria nyota ya dowans/madini na wizi na kuwa tegemea polisi
 
Wa Ukumbi.

Baada ya salam hizo za Pole napenda pia kutoa mshangao wangu kwa baadhi ya vyama vya Siasa huko Tanzania kwa kulivalia njuga suala ma kifo hichi na kuvisahau vifo vingine. Hapa nimeshangazwa sana na Chama Cha Chadema ambachi kimekuwa mstari wa mbele sana kulishadidia hili.

Ikumbukwe kuwa wenye haki kamili ya kulishadidia hili ni waandishi wa Habari ambao ndio sio tu kwa kupewa pole lakin wanajitetea na kudai haki zao za msingi pindi wanapokuwa katika utendaji wa shughuli zao. Ikimbukwe kuwa Wanahabari kwa nchi zinazofuata Rules of Law wao wanakuwa ni muhimili mkuu wa nne lakin usio rasmi katika uongozi wa nchi. Mihimili iliyo rasmi kwa mujibu wa Rules of Law ni mahakama, Bunge na Serikali.

Mimi nilitaraji chama cha Chadema walitakiwa kujua kuwa Mwangosi aliuawa katika tukio hilo akiwa kazini kama Mwandishi wa habari na si kama mshabiki au mwanachama wa Chadema. Chadema walitakiwa wayashadidie mauaji ya wanachama wao ambao wamekuja kushiriki katika tukio la kichama kama yale ya Arusha au hata yaliyotokea hivi karibuni huko Morogoro. Lakin hili si muswiba wao ni muswiba wa wanahabari japo tukio lilitokea katika hadhwara yao.

Kwa lugha ya Pwani tunasema Chadema wanasafiria Nyota ya Mwangoso katika kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Kwani hata katika baraza kuu lao Jana walishikiria kifo hicho na kuonyesha mpaka video yake lakin hawakuonyesha video ya mauaji ya Mwanachama wao Morogoro. Hivyo kuzidisha thamani kwa Mwangosi ambaye ni mwanahabari na kumsahau mwanachama wao wa Pale morogoro. Sote tunaamini watu wote ni sawa lakin familia ni sawa zaidi. Na kila muswiba una wenyewe wengine wote mnakuwa wasindikizaji. Ni vizuri Chadema wajue kuwa katika Muswiba wa Mwangosi wao ni wasindikizaji tu lakin muswiba ni wa wanahabari.

Tussafirie nyota za wengine katika kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Yaani wewe ndio hasa ukisikia ***** nazi. Kwa kiingereza unaitwa FOOLISH COCONUT!

Huu msiba umetokea kwenye mazingira ya kisiasa na yanayoihusisha CHADEMA. Na lengo la mauaji haya ni kuwafanya wananchi waogope kuhudhuria mikutano ya CDM kwa kuhofia usalama wao. Sioni kwa nini CDM wakatazwe kuhoji hili.

Mr.Barubaru uliyekimbia Pemba na sasa unaosha vyombo uarabuni, masuala ya Tanzania yanahitaji mchango wa CDM kuyapa nguvu na ari ya kupiganiwa. Kama unaamini huu msiba ni wa wanahabari, naomba nikueleze kuwa wanahabari wa Tanzania ni yatima wa hatma yao kwa kukosa umoja.

Kwa akili zako fupi waweza usinielewe, lkn nikueleze kuwa; wakati CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA kikitoa RAI kwa wanahabari nchi nzima kuungana nao kugomea shughuli za Jeshi la Polisi, leo hii asubuhi kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kilimualika studioni kiongozi wa Jeshi la Polisi kama mgeni katika kipindi cha Baragumu. Katika hali hii nani mtetezi wa Mwangosi ikiwa Channel Ten aliokuwa anawafanyia kazi tayari wako na Polisi na wameshamsahau?

Wewe endelea na shughuli zako Qatar, mambo ya Tanzania tuachie Watanzania. Hata Syria kuna mauaji ya waarabu wenzako, unaweza kutoa maoni yako pia.

Na kwa taarifa yako, aliyeuwawa na Policcm kule Morogoro si mwanachama wala mshabiki wa CDM, ni muuza magazeti tu aliyekuwa anajitafutia riziki.
 
mbona kuna kilaza mmoja humu, anasema alibeba utumbo wa marehemu na kwenda nao hotelini MR pamoja na mabomu, sa c ukilaza uliopita mipaka huo!
 
Nyota ipi mnafiki wewe? Cdm imepita kila kona hata kabla ya mwangosi.............Acha uccm ccm wako......
 
Wa Ukumbi.

Kwanza kabisa napenda kutoa Pole zangu kwa Familia ya Mwangsi kwa kumpoteza mpendwa wao wakti akitekeleza majukumu ya kazi yake.

Pili natoa pole kwa wanahabari wote wa Tanzania hususan Upande wa Bara kwa kumpoteza mwanachama wenu mahiri katika mazingira ya kusikitisha akiwa akitekeleza wajibu wake kisharia wa kupasha habari.

lakin pia WaTanzania wote kwa kumpoteza mwananchi mwenzenu makini sana .

Baada ya salam hizo za Pole napenda pia kutoa mshangao wangu kwa baadhi ya vyama vya Siasa huko Tanzania kwa kulivalia njuga suala ma kifo hichi na kuvisahau vifo vingine. Hapa nimeshangazwa sana na Chama Cha Chadema ambachi kimekuwa mstari wa mbele sana kulishadidia hili.

Ikumbukwe kuwa wenye haki kamili ya kulishadidia hili ni waandishi wa Habari ambao ndio sio tu kwa kupewa pole lakin wanajitetea na kudai haki zao za msingi pindi wanapokuwa katika utendaji wa shughuli zao. Ikimbukwe kuwa Wanahabari kwa nchi zinazofuata Rules of Law wao wanakuwa ni muhimili mkuu wa nne lakin usio rasmi katika uongozi wa nchi. Mihimili iliyo rasmi kwa mujibu wa Rules of Law ni mahakama, Bunge na Serikali.

Mimi nilitaraji chama cha Chadema walitakiwa kujua kuwa Mwangosi aliuawa katika tukio hilo akiwa kazini kama Mwandishi wa habari na si kama mshabiki au mwanachama wa Chadema. Chadema walitakiwa wayashadidie mauaji ya wanachama wao ambao wamekuja kushiriki katika tukio la kichama kama yale ya Arusha au hata yaliyotokea hivi karibuni huko Morogoro. Lakin hili si muswiba wao ni muswiba wa wanahabari japo tukio lilitokea katika hadhwara yao.

Kwa lugha ya Pwani tunasema Chadema wanasafiria Nyota ya Mwangoso katika kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Kwani hata katika baraza kuu lao Jana walishikiria kifo hicho na kuonyesha mpaka video yake lakin hawakuonyesha video ya mauaji ya Mwanachama wao Morogoro. Hivyo kuzidisha thamani kwa Mwangosi ambaye ni mwanahabari na kumsahau mwanachama wao wa Pale morogoro. Sote tunaamini watu wote ni sawa lakin familia ni sawa zaidi. Na kila muswiba una wenyewe wengine wote mnakuwa wasindikizaji. Ni vizuri Chadema wajue kuwa katika Muswiba wa Mwangosi wao ni wasindikizaji tu lakin muswiba ni wa wanahabari.

Kijumla ninalaani mauaji ya watu hususan haya ya mwandishi akiwa anatekeleza majukumu yake lakin napinga sana watu kutumia muswiba huu kwa kujitafutia umaarufu na kusahau mauaji ya wanafamilia wake. Tukumbuke kila muswiba una wenyewe. Muswiba wa Mwangoso ni wa wanahari wote sio tu Tanzania bali Dunia nzima na wengine wote tunakuwa wasindikizaji tu.

Tussafirie nyota za wengine katika kutafuta umaarufu wa kisiasa.
hii muswiba wao ni muswiba wa wanahabari
 
Dr. Barubaru back to Buzness!

Ukiacha udini wako akili yako itakurudia! Ukiendelea ni bora ubaki hukohuko Qatar!

Hawezi kurudi, kule anapata tende za bure na saa hizi kalala kwenye kapeti anachati. Mambo ya kupalilia mikarafuu anataka?!

Anatamani sana kuwa mwarabu ndugu yetu huyu kutoka Wete
 
Tatizo lenu mulipiga mahesabu vibaya , mkafikiri mkiua ndio itawasaidia kumbe inawaongezea sifa chadema tena sasa hivi wanapata zile za huruma kutoka kwa wananchi na ndicho kinachokitoa povu mtoa mada.
wenzio wa CCM siku ya kwanza walikuwa wanalaani CHADEMA kwa mauaji leo wamestuka wote wanalaani POLICCM , lakini wasichokijua ni kuwa sasa CHADEMA watapata huruma pia kutoka PILICCM kwani nawao watagundua kuwa CCM hawana maana , hata ukifanya maagizo yao wanakugeuka.
 
Mrehemu alikuwa akifuatilia shughuli za ufunguzi wa tawi la chadema,hiyo ni sababu tosha ya kusimamia haki ya Mwangosi kwasababu polisi walitaka kuwanyima wananchi uhuru wa kuzipata habari hizo Barubaru tumia akili kama una ubongo badala ya makamasi.
 
Last edited by a moderator:
Wa Ukumbi.

Kwanza kabisa napenda kutoa Pole zangu kwa Familia ya Mwangsi kwa kumpoteza mpendwa wao wakti akitekeleza majukumu ya kazi yake.

Pili natoa pole kwa wanahabari wote wa Tanzania hususan Upande wa Bara kwa kumpoteza mwanachama wenu mahiri katika mazingira ya kusikitisha akiwa akitekeleza wajibu wake kisharia wa kupasha habari.

lakin pia WaTanzania wote kwa kumpoteza mwananchi mwenzenu makini sana .

Baada ya salam hizo za Pole napenda pia kutoa mshangao wangu kwa baadhi ya vyama vya Siasa huko Tanzania kwa kulivalia njuga suala ma kifo hichi na kuvisahau vifo vingine. Hapa nimeshangazwa sana na Chama Cha Chadema ambachi kimekuwa mstari wa mbele sana kulishadidia hili.

Ikumbukwe kuwa wenye haki kamili ya kulishadidia hili ni waandishi wa Habari ambao ndio sio tu kwa kupewa pole lakin wanajitetea na kudai haki zao za msingi pindi wanapokuwa katika utendaji wa shughuli zao. Ikimbukwe kuwa Wanahabari kwa nchi zinazofuata Rules of Law wao wanakuwa ni muhimili mkuu wa nne lakin usio rasmi katika uongozi wa nchi. Mihimili iliyo rasmi kwa mujibu wa Rules of Law ni mahakama, Bunge na Serikali.

Mimi nilitaraji chama cha Chadema walitakiwa kujua kuwa Mwangosi aliuawa katika tukio hilo akiwa kazini kama Mwandishi wa habari na si kama mshabiki au mwanachama wa Chadema. Chadema walitakiwa wayashadidie mauaji ya wanachama wao ambao wamekuja kushiriki katika tukio la kichama kama yale ya Arusha au hata yaliyotokea hivi karibuni huko Morogoro. Lakin hili si muswiba wao ni muswiba wa wanahabari japo tukio lilitokea katika hadhwara yao.

Kwa lugha ya Pwani tunasema Chadema wanasafiria Nyota ya Mwangoso katika kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Kwani hata katika baraza kuu lao Jana walishikiria kifo hicho na kuonyesha mpaka video yake lakin hawakuonyesha video ya mauaji ya Mwanachama wao Morogoro. Hivyo kuzidisha thamani kwa Mwangosi ambaye ni mwanahabari na kumsahau mwanachama wao wa Pale morogoro. Sote tunaamini watu wote ni sawa lakin familia ni sawa zaidi. Na kila muswiba una wenyewe wengine wote mnakuwa wasindikizaji. Ni vizuri Chadema wajue kuwa katika Muswiba wa Mwangosi wao ni wasindikizaji tu lakin muswiba ni wa wanahabari.

Kijumla ninalaani mauaji ya watu hususan haya ya mwandishi akiwa anatekeleza majukumu yake lakin napinga sana watu kutumia muswiba huu kwa kujitafutia umaarufu na kusahau mauaji ya wanafamilia wake. Tukumbuke kila muswiba una wenyewe. Muswiba wa Mwangoso ni wa wanahari wote sio tu Tanzania bali Dunia nzima na wengine wote tunakuwa wasindikizaji tu.

Tussafirie nyota za wengine katika kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Barubaru kwa wanaoelewa dunia unayotoka hawapati shida kukuelewa unavyoishi katika wimbi la ndoto na hadith Za alfu lela ulela.Dunia unayoishi kila kitu kinatajwa kwa nyota na si Kisayansi.Ingawa mara zote mnaamini hiyo ndiyo sayansi.Sikushangaa sana ulivyoleta porojo kuwa Zanzibar ipo juu kielimu.Siju ndio hizo elimu(ilm) za nyota?Alemu yenyewe ya nyota ni ya kale sana kabla ya watu kuamaka kiakili.wakatoka ktik astrology sasa watu wana deal na astronomy na msomo mengine shirikishi.Mtalala sana huko mkijifunza jinsi ya kuibiana nyota na mambo mengine ya kishirikina.Wenzio CUF wameanza mkutano na mchungaji feki.Yote haya ni mamabo yasiyo na adabu wala heshima.


TUKIRUDI KATIKA ISSUE YA CDM NA MWANDISHI.WOTE NI WAHANGA WA TUKIO NA WOTE WANA MENGI YA KUPOTEZA ZAIDI KAMA TAARIFA HAZITOKUWA SHAHIHI.TUKIO LILITOKEA KATIKA MKUTANO WA CDM NA SI WA MWANDISHI.NI RAHISI KUONA JINSI GANI MITIZAM YAKO IMEKUONDOA KATIKA UKWELI.


HIZI TABIA NDIZO ZIFANYAZO HATA UNIVERSITIES ZA ZANZIBAR NA MASHARIKI YA KATI KUWA BOGUS.MPO SO MUCH DETTACHED TO REALITY KIASI CHA KUFANYA MSHINDWE TOFAUTISHA PROPAGANDA NA UTENDAJI, DINI NA MAMABO YA KIDUNIA, UTAMADUNI NA SAYANSI, VITA NA AMANI.

MTACHUKUA MUDA SANA KUJUA NI WAPI MNAPOJIKWAA KILA SIKU KAMA HAMUANGALII UKWELI NA SI UKWELI WENU AMBAO TUNAUITA RELATIVE.(KWAMBA NANI KASEMA,NA KASEMA KWA AJILI GANI NDIO MUAMUE KUKUBALI KUWA KWELI).HAMTOKUWA HURU KAMA HAMTOJIFUNZA KWELI NA KWELI IWAWEKE HURU.

HIZI TABIA ZINAWAFANYA MUWE DUNI SANA KIFIKRA,SASA HIVI UONGO ,UNAFIKI NA USALITI UMEKUWA NAMADHARA MAKUBWA SANA KATIKA DUNIA MNAYOISHI.NYINYI NDIO MMEANGUKA KATIKA UONGO WENU NA SASA NDIO MUUAMINIO, NYIE NDIO WASALITI WA WENZENU, NYIE NDIO WANAFIKI KWA KILA KITU.KAZI KUFIKIRI NAMNA YA KUIBIANA NYOTA KILA KUKICHA.

by the way yakhee unaweza waendea pahala warudishe wenyewe nyota ya watu.
 
Wangekuwa wanajali tungewasikia wakipigia kelele swala la aliyefariki morogoro pia. Yule wa Morogoro kwa sababu siyo maarufu CHADEMA wamempotezea. Umaarufu wa Mwangosi wanautumia kujaribu kupata political points!!!

Huko ni kusahau tu. CHADEMA walijishughulisha na kifo cha Morogoro vilivyo. Kutovuma sana kwa kifo kile ni kwamba ushahidi wa wazi haukupatikana kama ilivyokuwa kwa Mwangosi. Hivyo tumebakia na porojo la "kupigwa na kitu kizito". Aidha, yule hakuwa mwanachama wa CHADEMA bali "msoma magazeti" kama ilivyoripotiwa.

Upende usipende, kupatikana kwa ushahidi wa wazi kabisa katika kifo cha Mwangosi imekuwa karata ya turufu kwa CHADEMA ambayo imekuwa ikihusishwa na vurugu na mauaji ya raia katika mikutano yake. Ni ushahidi tosha kwamba dola ina nia mbaya na chama hicho na wananchi kwa ujumla. CHADEMA haina haja ya kusafiria nyota ya msiba (sio nyota ya Mwangosi tafadhali) kupata umaarufu; tayari inao umaarufu wake.

Huyo aliyepiga ile picha inayoonyesha mauaji yenyewe yakifanyika is, simply, a real genius. Ingekuwa sehemu nyingine duniani angeshakuwa "bilionea". Itabidi aingie katika kumbukumbu ya taifa hili. CHADEMA inabidi wamshukuru sana. Vinginevyo, baadhi yao saa hizi wangeshawekwa ndani wakipewa vipigo vya uhakika huku umma wa Watanzania ukiwalaani kwa ushenzi uliopitiliza na kuwatakia adhabu ya kifo. Hapo ndipo ungesikia hata viongozi wa juu wakilihutubia taifa kwa nguvu zote. That single photo has completely deflated them. Wameachiwa akina Nape, Wassira na Tendwa kubeba dhahama.
 
... wasichokijua ni kuwa sasa CHADEMA watapata huruma pia kutoka PILICCM kwani nawao watagundua kuwa CCM hawana maana , hata ukifanya maagizo yao wanakugeuka.

That's it! Mwovu ni mwovu tu hadi atakapopata ukombozi wa kweli. Usitegemee kumchekea mwovu eti kwa sababu hajakudhuru ukiamini hali hiyo itadumu! Wangapi waliojaribu kujikomba kwa Hitler, Idd Amin, n.k. mwisho wake wakaishia nao kugongwa nyundo. Watanzania tuamke. Hapo hakuna cha chama wala nini. Hata wana-CCM "wenye nia njema" wakae chonjo - kwanza wengine tayari wameshaionja joto! Kuna mabazazi wametuvamia kwa maslahi yao maovu; wako tayari kuendesha mauaji na mateso kupitia mifumo hiihii tuliyojiwekea ili kujineemesha na kutupigisha magoti nchini kwetu!
 
kwanza nitoe pole kwako kwa kuonesha udhaifu wako wa kuelewa mambo kiundani.

  • Ikumbukwe kwamba chadema ndio waliokuwa kwenye mkutano kwa hiyo wana haki ya kukemea mauaji hayo.


  • pia unatakiwa utambue aliye kufa ni binadamu kwa hiyo cdm na watanzania wote wako sahihi kulaani mauaji hayo
  • IKumbukwe kwamba cdm alianza kutuhumiwa kuhusu mauaji hayo kwa hiyo tusingeweza kukaa kimya kwa hilo.
  • pia mwandishi alienda kufanya coverage ya habari za mkutano wa chadema kwa hiyo chama hakiwezi kukaa kimya.


Ni bora muda mwingine tukaweka itikadi zetu pembeni na kuungana kama watanzania kukemea maovu kwenye jamii.
.

Ahali yangu una mengi ya kujifunza.

Nimebainisha kuwa Mwandishi alikuja pale kikazi zaidi ili kuipasha habari na kuijuza jamii nini kinaendelea katika mkutano ule. hakuja pale kama mshabiki, mwanachama au hata mnazi wa Chadema. Ndio maana tunabainisha alipata muswiba akiwa katika utendaji wa majukumu yake ya kazi. na ndio maana tukabainisha wenye muswiba ule ni Waandishi wa habari na sio Chadema. Chadema wlitakiwa kuwa wasindikizaji tu na sio kama wenye muswiba.

na nafikiri kudhihirisha hilo ndio maana ukaona waandishi wa habari wa huko Tanzania hususan Bara wameandamana nchi nzima kwa maandamano ya amani kupinga mauaji hayo ya mwenzao. Je chadema mbona hawakuandamana?


lakin kikubwa Chadema hao hao wanakumbuka walipatwa muswiba kama huo huko Morogoro lakin masikin kijana yule aliyefariki chadema walijitenga nae mbali sana na kumchukulia kiulaini sana ukilinganisha na muswiba huu wa mwandishi.

Ndio maana nikasema wanasafiria nyota ya mwangosi katika kujijengea umaarufu kisiasa.

Pole sana.
 
Barubaru kwa wanaoelewa dunia unayotoka hawapati shida kukuelewa unavyoishi katika wimbi la ndoto na hadith Za alfu lela ulela.Dunia unayoishi kila kitu kinatajwa kwa nyota na si Kisayansi.Ingawa mara zote mnaamini hiyo ndiyo sayansi.Sikushangaa sana ulivyoleta porojo kuwa Zanzibar ipo juu kielimu.Siju ndio hizo elimu(ilm) za nyota?Alemu yenyewe ya nyota ni ya kale sana kabla ya watu kuamaka kiakili.wakatoka ktik astrology sasa watu wana deal na astronomy na msomo mengine shirikishi.Mtalala sana huko mkijifunza jinsi ya kuibiana nyota na mambo mengine ya kishirikina.Wenzio CUF wameanza mkutano na mchungaji feki.Yote haya ni mamabo yasiyo na adabu wala heshima.


TUKIRUDI KATIKA ISSUE YA CDM NA MWANDISHI.WOTE NI WAHANGA WA TUKIO NA WOTE WANA MENGI YA KUPOTEZA ZAIDI KAMA TAARIFA HAZITOKUWA SHAHIHI.TUKIO LILITOKEA KATIKA MKUTANO WA CDM NA SI WA MWANDISHI.NI RAHISI KUONA JINSI GANI MITIZAM YAKO IMEKUONDOA KATIKA UKWELI.


HIZI TABIA NDIZO ZIFANYAZO HATA UNIVERSITIES ZA ZANZIBAR NA MASHARIKI YA KATI KUWA BOGUS.MPO SO MUCH DETTACHED TO REALITY KIASI CHA KUFANYA MSHINDWE TOFAUTISHA PROPAGANDA NA UTENDAJI, DINI NA MAMABO YA KIDUNIA, UTAMADUNI NA SAYANSI, VITA NA AMANI.

MTACHUKUA MUDA SANA KUJUA NI WAPI MNAPOJIKWAA KILA SIKU KAMA HAMUANGALII UKWELI NA SI UKWELI WENU AMBAO TUNAUITA RELATIVE.(KWAMBA NANI KASEMA,NA KASEMA KWA AJILI GANI NDIO MUAMUE KUKUBALI KUWA KWELI).HAMTOKUWA HURU KAMA HAMTOJIFUNZA KWELI NA KWELI IWAWEKE HURU.

HIZI TABIA ZINAWAFANYA MUWE DUNI SANA KIFIKRA,SASA HIVI UONGO ,UNAFIKI NA USALITI UMEKUWA NAMADHARA MAKUBWA SANA KATIKA DUNIA MNAYOISHI.NYINYI NDIO MMEANGUKA KATIKA UONGO WENU NA SASA NDIO MUUAMINIO, NYIE NDIO WASALITI WA WENZENU, NYIE NDIO WANAFIKI KWA KILA KITU.KAZI KUFIKIRI NAMNA YA KUIBIANA NYOTA KILA KUKICHA.

by the way yakhee unaweza waendea pahala warudishe wenyewe nyota ya watu.

Nicholas,

Awali ya yote nakupa pole sana kwa kutofahamu lugha yako ya asli ambayo mimi mgeni nimeibainisha kiufasaha zaidi. Lakin pia ulitakiwa uelewe kuwa kuna kitu kinaitwa lugha ya PICHA ambayo nimeibainisha.

Nastahajabu sana yanapokutoka mapuvu na kupomosha matusi kwa hoja ambayo ni dhahir shahir. Siku zote msomi au mwerevu anajadili hoja iliyopo mezani na sio kumjadili mtu. Huo ni upungufu niliouona kwako na ndio ulionipelekea nikupe POLE SANA.

Nakushauri rejea katika mada na ijadili kwa kina. Punguza jazba na soma kwa nia ya kuelewa pasi na shaka mola atakujaalia utaelewa na kuleta hoja zako ambazo tutakua tayari kuzisoma na kuzijadili kama zitakuwa na mashiko.

Pole sana

 
Kwa Sababu waliomuua hawakuwa na Sababu ngoja iwacost



.

Ahali yangu una mengi ya kujifunza.

Nimebainisha kuwa Mwandishi alikuja pale kikazi zaidi ili kuipasha habari na kuijuza jamii nini kinaendelea katika mkutano ule. hakuja pale kama mshabiki, mwanachama au hata mnazi wa Chadema. Ndio maana tunabainisha alipata muswiba akiwa katika utendaji wa majukumu yake ya kazi. na ndio maana tukabainisha wenye muswiba ule ni Waandishi wa habari na sio Chadema. Chadema wlitakiwa kuwa wasindikizaji tu na sio kama wenye muswiba.

na nafikiri kudhihirisha hilo ndio maana ukaona waandishi wa habari wa huko Tanzania hususan Bara wameandamana nchi nzima kwa maandamano ya amani kupinga mauaji hayo ya mwenzao. Je chadema mbona hawakuandamana?


lakin kikubwa Chadema hao hao wanakumbuka walipatwa muswiba kama huo huko Morogoro lakin masikin kijana yule aliyefariki chadema walijitenga nae mbali sana na kumchukulia kiulaini sana ukilinganisha na muswiba huu wa mwandishi.

Ndio maana nikasema wanasafiria nyota ya mwangosi katika kujijengea umaarufu kisiasa.

Pole sana.
 
Mrehemu alikuwa akifuatilia shughuli za ufunguzi wa tawi la chadema,hiyo ni sababu tosha ya kusimamia haki ya Mwangosi kwasababu polisi walitaka kuwanyima wananchi uhuru wa kuzipata habari hizo Barubaru tumia akili kama una ubongo badala ya makamasi.

Ahali yangu.

Ni vibaya sana kuizungumzia mauti. Lakin kwa mtu makini na mwandishi yoyote anaejua taaluma yake utaona wazi kuna mengi sana yamebainishwa katika ile picha.

Personal natilia shaka ueledi wa Marhum katika hii tasnia ya habari. naomba mwenye CV yake kama ipo aiweke tuione.

mapungufu niliyobaini kutokana na picha ni kuwa mwandishi hakuwa na taaluma hiyo. Kwani kuna kitu kinaitwa UANDISHI WA PENYE VURUGU/VITA (V J) ambao siku zote unamsisitiza mwandishi kuchukua position nzuri na iliyo salama katika kupiga picha/ kuona tukio zima. Na hapa inasisitizwa mwandishi kukaa nyuma ya vyombo vya usalama ili kuona wanausalama hao wanafanya nini na raia wanafanya nini.

Lakin ukiangalia picha ile utana marhum amekaa mbele ya vyombo vya usalama kama walivyo wanachama wa Chadema. Kumbuka kuwa vurugu haina macho na lolote linaweza kutokea. Na kufa kwa mwandishi ni pigo kwa jamii kwani itakosa habari.

Kila siku nashauri ni lazima Tanzania ifanye utaratibu wa kusajili waaandhi wake na kuwapeleka internship wanapomaliza skuli ili kujifunza nationa priority, Uzalendo, sharia , mamlaka ya nchi na mazingira ya kazi. Hii iwe kama wanavyofanya me Engineers, ma Doctors na wanasharia.

Poleni sana

 
Hawezi kurudi, kule anapata tende za bure na saa hizi kalala kwenye kapeti anachati. Mambo ya kupalilia mikarafuu anataka?!

Anatamani sana kuwa mwarabu ndugu yetu huyu kutoka Wete

Makubwa hayo. yaani hata avatar yangu huoni.

Pole sana.

 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom