Kwanini Chadema wanasafiria nyota ya Mwangosi?

Jazba za nini? lete hoja si matusi wala kejeli.

Nitakusaidia kidogo kwa kukufafanulia mambo fulani hapa.

Kwanza Nimetoa Pole kwa wanahabari wote wa Tanzania lakin nikabainisha hususan wale wa Tanganyika kwa sababu SUALA LA HABARI kwa mujibu wa mkataba wenu wa Muungano wenu halimo katika mambo ya Muungano. Kila nchi inajitegemea katika masuala haya ya habari na ndio maana kuna waziri wa habari Znz na waziri wa habari Tanzania Bara.


Pole sana nakuombe nisome vizuri utanielewa tu nini nimekusudia. Punguza jazba.

[/ Nimejitahidi sana sana kukuelewa lakini hueleweki na hiyo pole yako inaonekana ni ya kinafiki kama ilivyo avatar yako, kwa kifupi inaonekana unatumia nyota ya MAGAMBA maana ndiyo mipango yao kuua watu ovyo-ovyo ili tu kuwaziba wa-Tanzania midomo ili waendelee kuifirisi na kujilimbikizia mali wakati watu wa chini wakiteseka na Umaskini.
Nauliza swali kwako kwa Mtizamo wako je??Ni halali kwa polisi kuua watu kwenye mikutano ya CHADEMA????na kama si halali hayo unayoyaongelea umetumwa na nani????
 
Mkuu, nakubaliana na wewe kwa baadhi ya hoja ila si zote.

Kwanza nikiri kuwa mimi ni CCM sana ila sipendi unafiki.

Ni kweli Mwangosi died while he was on duty za kiuandishi na si mwanachama wa wapinzani wetu Chadema. Nadhani kinachowaconnect Chadema ni kama ifuatavyo:

1. Mwangosi alikufa katika shughuli ya ufunguzi wa tawi la chama chao, mtu akifa kwenye shughuli hiyo si jambo la kuacha hata kidogo, kifo ni jambo kubwa na kama political party mnahitaji kulichukulia kuwa sensitive otherwise watu watashangaa kuhusu moral values za chama chenu/viongozi wenu!

2. Ukiachana na kifo, hawa chadema wamepigwa mabomu na kunyanyaswa na police bila sababu za msingi. Kushadadia hii ishu inawapa attention kama chama kinachogandamizwa na dola na kufanya wananchi wachukie utawala uliopo na chama chetu cha CCM. Publicity hiyo inawajenga wapinzani wetu Chadema, so its worth it kama wakipigia debe ishu ya maonezi na kifo kilkichotokana na maonezi hayo.

3. Kumetokea msururu wa vifo kuanzia Arusha, Singida, Morogoro, Iringa; pamoja na watu kuwekwa ndani, nk katoka operations za wenzetu Chadema. Kupaaza sauti kwa kifo hiki ni kuonyesha kutoridhika kwao na issue nzima ya kuonewa na kugandamizwa. Kumbuka publicity kwa vyama vya siasa ni muhimu sana (mhimili wa 4 kama ulivyosema hapo juu)

4. Morogoro kwa marehemu bwana ally (mchuuzi wa magazeti), walitaka kufanya publicity ila familia ya marehemu ilikataa. Inawezekana sie CCM tumewawahi mie sijui. mwangosi, familia ilikubali chadema washiriki kikamilifu.

My friend, siasa ni kujaribu always kuwin wapiga kura kwa namna yoyote iliyo halali bila kuvunja sheria. Mara nyingi sisi CCM tunawapa mwanya chadema wa kupounce na kupata cha kusema kutokana na makosa yetu mengi sana Mfano kumfukuza Zitto bungeni kwenye issue ya Buzwagi ilitugeuka na ikawa lulu kwa chadema (wakatumia helicopta kupata wapiga kura).

Nadhani utakuwa umeelewa.

Kidumu chama cha mapinduzi
 
"Simba kula Mtu ni habari..lakini,Mtu kula Simba ni habari ya kusisimua"

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mkuu, nakubaliana na wewe kwa baadhi ya hoja ila si zote.

Kwanza nikiri kuwa mimi ni CCM sana ila sipendi unafiki.

Ni kweli Mwangosi died while he was on duty za kiuandishi na si mwanachama wa wapinzani wetu Chadema. Nadhani kinachowaconnect Chadema ni kama ifuatavyo:

1. Mwangosi alikufa katika shughuli ya ufunguzi wa tawi la chama chao, mtu akifa kwenye shughuli hiyo si jambo la kuacha hata kidogo, kifo ni jambo kubwa na kama political party mnahitaji kulichukulia kuwa sensitive otherwise watu watashangaa kuhusu moral values za chama chenu/viongozi wenu!

2. Ukiachana na kifo, hawa chadema wamepigwa mabomu na kunyanyaswa na police bila sababu za msingi. Kushadadia hii ishu inawapa attention kama chama kinachogandamizwa na dola na kufanya wananchi wachukie utawala uliopo na chama chetu cha CCM. Publicity hiyo inawajenga wapinzani wetu Chadema, so its worth it kama wakipigia debe ishu ya maonezi na kifo kilkichotokana na maonezi hayo.

3. Kumetokea msururu wa vifo kuanzia Arusha, Singida, Morogoro, Iringa; pamoja na watu kuwekwa ndani, nk katoka operations za wenzetu Chadema. Kupaaza sauti kwa kifo hiki ni kuonyesha kutoridhika kwao na issue nzima ya kuonewa na kugandamizwa. Kumbuka publicity kwa vyama vya siasa ni muhimu sana (mhimili wa 4 kama ulivyosema hapo juu)

4. Morogoro kwa marehemu bwana ally (mchuuzi wa magazeti), walitaka kufanya publicity ila familia ya marehemu ilikataa. Inawezekana sie CCM tumewawahi mie sijui. mwangosi, familia ilikubali chadema washiriki kikamilifu.

My friend, siasa ni kujaribu always kuwin wapiga kura kwa namna yoyote iliyo halali bila kuvunja sheria. Mara nyingi sisi CCM tunawapa mwanya chadema wa kupounce na kupata cha kusema kutokana na makosa yetu mengi sana Mfano kumfukuza Zitto bungeni kwenye issue ya Buzwagi ilitugeuka na ikawa lulu kwa chadema (wakatumia helicopta kupata wapiga kura).

Nadhani utakuwa umeelewa.

Kidumu chama cha mapinduzi

Mkuu fuatilia vizuri. CDM walikataliw kuleta siasa msibani na waliambiwa kila mtu aje kama mwananchi tu. Dr. Slaa mishipa ya shingo ilimtoka hakukubali hilo na washabiki wa CDM wakavamia basi la waandishi liliokuwa linaenda msibani. Mpaka mwisho ili kuondoa mvutano Slaa akapewa mike asalimie wafiwa. Baada ya hapo CDM haijaombwa chochote na familia.
Kule Tanga waliudhuria viongozi wa ngazi ya wilaya. See the difference!!! Kwa vile kisiasa haikuwa na umuhimu, familia ilipokataa kuingiza siasa kwenye mazishi CDM nao wakapotezea. Huku Iringa ina maslahi kisiasa ndio maana waitisha mkutano wa dharura wa kamati kuu.

Hata kama watu kusoma hawajui lakini picha wanaona...
 
CDM ni maarufu zaidi ya ufikiriavyo wewe hivyo haiwezi kusafiria nyota ya Mwangosi (RIP), wanacholalamikia ni hujuma za waziwazi wanazotendewa na policcm kwenye mikutano yao, siku zote policcm walikuwa wanakwepa mauaji waliyokuwa wanayafanya na kuwasingizia wananchi (km walivyotaka kufanya kwa Mwangosi) but unfortunately 4 them tukio hilo la mauaji lilinaswa kwenye camera so CDM wakapata solid evidence ya hujuma wanazofanyiwa, na kila siku wanapiga kelele kuhusu uchunguzi wa mauaji yanayofanywa kwenye mikutano yao, rejea tukio la Arusha kitu kilichofanyika baada ya vifo kutokea, na hata Morogoro baada ya kifo cha Ally Chona, so ni vizuri sometimes kujiridhisha kabla ya kuandika kitu kiushabiki which might portray your ignorance, no research no right to speak, sor if I have touched your nerves, or may be haupo Tanzania so huelewi kinachoendelea, so better ask first b4 posting anything u'r not conversant with in future date.
 
Dr. Barubaru back to Buzness!

Ukiacha udini wako akili yako itakurudia! Ukiendelea ni bora ubaki hukohuko Qatar!
 
sio lazma wote muingie ikulu wengine mbaki kuwa wapinzani na mkumbuke kwenda ikulu ni kura za wananchi ndio zitakazo wapeleka ikulu na wala si vinginevyo,msitumie vifo vya watu wasio na hatia kujisafisha angali nyinyi mmevisababisha....jamani mrudieni mwenyezi mungu na pigeni magoti mtubu.
 
Wapayukaji a.k.a small minds hutumia mambo kama hayo ya misiba na migomo kutafuta umaarufu. Mfano check mgomo wa ma-dr ulivyotumiwa na small minds lakini GREAT THINKERS a.k.a J.K mkuu wa kaya alipotoa speech moja tu iliyojaa hekima na kuwasambaratisha small minds wote.
 
Jazba za nini? lete hoja si matusi wala kejeli.

Nitakusaidia kidogo kwa kukufafanulia mambo fulani hapa.

Kwanza Nimetoa Pole kwa wanahabari wote wa Tanzania lakin nikabainisha hususan wale wa Tanganyika kwa sababu SUALA LA HABARI kwa mujibu wa mkataba wenu wa Muungano wenu halimo katika mambo ya Muungano. Kila nchi inajitegemea katika masuala haya ya habari na ndio maana kuna waziri wa habari Znz na waziri wa habari Tanzania Bara.


Pole sana nakuombe nisome vizuri utanielewa tu nini nimekusudia. Punguza jazba.


ndio wanasafiria, na nyie safirieni-tatizo liko wapi? au kwenu inashindikana kusafiria kwa kuwa ni watuhumiwa no. 1?
 
CHADEMA haishadadii kifo cha Daud Mwangosi kwa sababu:-

( 1) Mauaji yalifanyika CHADEMA ikiwa inatimiza wajibu wake kisiasa na baada ya mauaji viongozi wa serikali na CCM walitoa kauli kadhaa za kuihusisha CHADEMA na mauaji hayo

( 2 ) Yalipo tokea mauaji kule Arusha chadema ilishiriki kikamilifu katika msiba ule labda kama umesahau ndugu na vile vile Waziri Mkuu alilidanganya bunge kuwa CHADEMA inahusika na mauaji yale, na katika hali ya kulindana mpaka sasa SPIKA hataki kulishughulikia hilo,

(3) Juzi MoroGoro POLISI kama kawaida yao kwenye mikutano ya CHADEMA wakamuua muuza Magazeti napo kama kawaida Viongozi wa Serikali na wa CCM wakasema CHADEMA imeua tena!!!

KUMBUKA CHADEMA KAMA CHAMA CHA SIASA KILICHOSAJILIWA KWA MUJIBU WA SHERIA KINA HAKI YA KUFANYA MIKUTANO NA HATA MAANDAMANO NA WAJIBU WA POLISI NI KUTOA ULINZI

CHADEMA kingekuwa chama cha ajabu Duniani kama kisipopiga kelele na kama kisipolivalia njuga swala hili sababu linajenga mazoea kwa polisi kuua kila mkutano wa chadema

Wa Ukumbi.

Kwanza kabisa napenda kutoa Pole zangu kwa Familia ya Mwangsi kwa kumpoteza mpendwa wao wakti akitekeleza majukumu ya kazi yake.

Pili natoa pole kwa wanahabari wote wa Tanzania hususan Upande wa Bara kwa kumpoteza mwanachama wenu mahiri katika mazingira ya kusikitisha akiwa akitekeleza wajibu wake kisharia wa kupasha habari.

lakin pia WaTanzania wote kwa kumpoteza mwananchi mwenzenu makini sana .

Baada ya salam hizo za Pole napenda pia kutoa mshangao wangu kwa baadhi ya vyama vya Siasa huko Tanzania kwa kulivalia njuga suala ma kifo hichi na kuvisahau vifo vingine. Hapa nimeshangazwa sana na Chama Cha Chadema ambachi kimekuwa mstari wa mbele sana kulishadidia hili.

Ikumbukwe kuwa wenye haki kamili ya kulishadidia hili ni waandishi wa Habari ambao ndio sio tu kwa kupewa pole lakin wanajitetea na kudai haki zao za msingi pindi wanapokuwa katika utendaji wa shughuli zao. Ikimbukwe kuwa Wanahabari kwa nchi zinazofuata Rules of Law wao wanakuwa ni muhimili mkuu wa nne lakin usio rasmi katika uongozi wa nchi. Mihimili iliyo rasmi kwa mujibu wa Rules of Law ni mahakama, Bunge na Serikali.

Mimi nilitaraji chama cha Chadema walitakiwa kujua kuwa Mwangosi aliuawa katika tukio hilo akiwa kazini kama Mwandishi wa habari na si kama mshabiki au mwanachama wa Chadema. Chadema walitakiwa wayashadidie mauaji ya wanachama wao ambao wamekuja kushiriki katika tukio la kichama kama yale ya Arusha au hata yaliyotokea hivi karibuni huko Morogoro. Lakin hili si muswiba wao ni muswiba wa wanahabari japo tukio lilitokea katika hadhwara yao.

Kwa lugha ya Pwani tunasema Chadema wanasafiria Nyota ya Mwangoso katika kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Kwani hata katika baraza kuu lao Jana walishikiria kifo hicho na kuonyesha mpaka video yake lakin hawakuonyesha video ya mauaji ya Mwanachama wao Morogoro. Hivyo kuzidisha thamani kwa Mwangosi ambaye ni mwanahabari na kumsahau mwanachama wao wa Pale morogoro. Sote tunaamini watu wote ni sawa lakin familia ni sawa zaidi. Na kila muswiba una wenyewe wengine wote mnakuwa wasindikizaji. Ni vizuri Chadema wajue kuwa katika Muswiba wa Mwangosi wao ni wasindikizaji tu lakin muswiba ni wa wanahabari.

Kijumla ninalaani mauaji ya watu hususan haya ya mwandishi akiwa anatekeleza majukumu yake lakin napinga sana watu kutumia muswiba huu kwa kujitafutia umaarufu na kusahau mauaji ya wanafamilia wake. Tukumbuke kila muswiba una wenyewe. Muswiba wa Mwangoso ni wa wanahari wote sio tu Tanzania bali Dunia nzima na wengine wote tunakuwa wasindikizaji tu.

Tussafirie nyota za wengine katika kutafuta umaarufu wa kisiasa.
 
Wapayukaji a.k.a small minds hutumia mambo kama hayo ya misiba na migomo kutafuta umaarufu. Mfano check mgomo wa ma-dr ulivyotumiwa na small minds lakini GREAT THINKERS a.k.a J.K mkuu wa kaya alipotoa speech moja tu iliyojaa hekima na kuwasambaratisha small minds wote.
Wewe utakuwa kwenye payroll ya Nape. Vipi anakulipa vijisenti vingapi?
 
Wewe utakuwa kwenye payroll ya Nape. Vipi anakulipa vijisenti vingapi?



Usishangae ukakuta huyo ni Nape mwenyewe!


Zamani walikuwa wanapewa elfu mbili ila nasikia toka kifo cha Mwangosi (RIP) wameongezewa mia 5 ili wapayuke vizuri humu!
 
Jazba za nini? lete hoja si matusi wala kejeli.

Nitakusaidia kidogo kwa kukufafanulia mambo fulani hapa.

Kwanza Nimetoa Pole kwa wanahabari wote wa Tanzania lakin nikabainisha hususan wale wa Tanganyika kwa sababu SUALA LA HABARI kwa mujibu wa mkataba wenu wa Muungano wenu halimo katika mambo ya Muungano. Kila nchi inajitegemea katika masuala haya ya habari na ndio maana kuna waziri wa habari Znz na waziri wa habari Tanzania Bara.


Pole sana nakuombe nisome vizuri utanielewa tu nini nimekusudia. Punguza jazba.


Najua CHADEMA wangekaa kimya, ungekuja na thread kama hii hii yenye heading tofauti, kwani kuna lipi Jema kwako CHADEMA waliwahi kulifanya?
 
kwanza nitoe pole kwako kwa kuonesha udhaifu wako wa kuelewa mambo kiundani.

  • Ikumbukwe kwamba chadema ndio waliokuwa kwenye mkutano kwa hiyo wana haki ya kukemea mauaji hayo.


  • pia unatakiwa utambue aliye kufa ni binadamu kwa hiyo cdm na watanzania wote wako sahihi kulaani mauaji hayo
  • IKumbukwe kwamba cdm alianza kutuhumiwa kuhusu mauaji hayo kwa hiyo tusingeweza kukaa kimya kwa hilo.
  • pia mwandishi alienda kufanya coverage ya habari za mkutano wa chadema kwa hiyo chama hakiwezi kukaa kimya.


Ni bora muda mwingine tukaweka itikadi zetu pembeni na kuungana kama watanzania kukemea maovu kwenye jamii.
 
Si kusafiria nyota ya Marehem mwandishi, walio wapaaisha ni wale waliomuua mwandishi kwenye mkutano wa Chadema.
Walizani wanabomoa kumbe wanakijenga zaidi.lol!

Wewe huna akili kabisa na ndo maana unatoa pole kwa waandishi wa bara huenda wewe sio Mtanzania so mambo yetu huyajui.

Kwa hiyo mtu akiuwawa na hana uhusiano na wewe hutakiwi kusimama na kumtetea sio? Umemsikia Tendwa anawatuhumu CDM kwa kifo cha Mwangosi? Sasa unasemaje wanasafiria nyota ya marehemu? Do you think CDM inahitaji umaarufu zaidi ya uliopo?

CDM inahitaji katiba mpya na haki kwa kila mtu, ili baada ya kuchukua nchi 2015 mafisadi wote warudishe mali zetu na wananchi tupumue na kodi kubwa zisizoisha.

Mkuu CDM hawasafirii nyota ya Mwangosi kama unavyofikiri. CDM ilishakuwa maarufu hata kabla Mwangosi hajauawa.
Labda ungeuliza kuwa kwa nini vifo vingine havikupewa publicity na coverage kubwa kama ya kifo cha Mwangosi. Wote wanaokufa ni binadamu, awe mwandishi, mbeba mizigo, mwenyekiti wa kitongoji n.k.

Chadema wanacholalamikia ni polisi kuipaka damu kila inapopita ili kionekane ni chama cha vurugu. Ushaona kipeperushi chao cha msajili (a.k.a msajili wa vyama vya siasa) alivyopiga mkwara?

Ile sauti haikuwa bure, kuna kitu alijua kitatokea na akawa amejiandaa kutoa tamko, tamko lenyewe ni kuifuta chadema. Yaliposhindikana, ndo kafuka vile! Kama hakulishwa maneno unakumbuka ilivokuwa kwenye kipima joto?
Hao ndo wachawi, na kwa taarifa yako CCM ndo wanatumia nyota ya chamema kubaki madarakani.

Mi nawashauri CDM waachane na dhana ya kutumia vifo vya watu kama nyota ya kujipatia umaarufu. Hilli limeanza kutumiwa na chama hicho pale Arusha, ambapo baada ya kuuwawa wananchi kutokana na vurugu walizozianzisha wao, wakaenda msibani na magwanda mapya kujionyesha. Baada ya msiba hule hawajaeleza waliendelea kusaidia vipi familia zilizopoteza wapenzi wao. Likaja suala la Dr. Ulli nao wakalitumia kwa manufaa yao bila kueleza wanamsaidiaje Dr. Waelevu tuliandika sana kwamba Dr. unatumiwa kusafirisha nyota za watu.

Nashkuru kwa sasa Dr.ameelewa. Kabla hilo halijapoa wakasababisha kifo cha mwananchi wa Morogoro kutokana na vurugu walizoziendekeza.Cha kushangaza huyu pamoja na Mwandishi wa Iringa haijaelezwa kwamba walikuwa wanakishabikia chama hicho. Viongozi wao wanalazimisha kuwa viongozi wa mazishi ili waweze kuuza sura. Mi sikubaliani na mauaji yanayofanywa na Polisi lakini kwa kiasi kikubwa nakilaumu CDM kwa kutumia mauaji hayo kisiasa kwa manufaa yao. Watanzania tunataka kujua sera zao na si kuona ni jinsi gani wanaweza kutoa matamko mazuri kwenye maziko ya ndugu zetu, kutokana na vifo vilivyosababishwa na vurugu zao na Polis
 
Mi nawashauri CDM waachane na dhana ya kutumia vifo vya watu kama nyota ya kujipatia umaarufu. Hilli limeanza kutumiwa na chama hicho pale Arusha, ambapo baada ya kuuwawa wananchi kutokana na vurugu walizozianzisha wao, wakaenda msibani na magwanda mapya kujionyesha. Baada ya msiba hule hawajaeleza waliendelea kusaidia vipi familia zilizopoteza wapenzi wao. Likaja suala la Dr. Ulli nao wakalitumia kwa manufaa yao bila kueleza wanamsaidiaje Dr. Waelevu tuliandika sana kwamba Dr. unatumiwa kusafirisha nyota za watu.

Nashkuru kwa sasa Dr.ameelewa. Kabla hilo halijapoa wakasababisha kifo cha mwananchi wa Morogoro kutokana na vurugu walizoziendekeza.Cha kushangaza huyu pamoja na Mwandishi wa Iringa haijaelezwa kwamba walikuwa wanakishabikia chama hicho. Viongozi wao wanalazimisha kuwa viongozi wa mazishi ili waweze kuuza sura. Mi sikubaliani na mauaji yanayofanywa na Polisi lakini kwa kiasi kikubwa nakilaumu CDM kwa kutumia mauaji hayo kisiasa kwa manufaa yao. Watanzania tunataka kujua sera zao na si kuona ni jinsi gani wanaweza kutoa matamko mazuri kwenye maziko ya ndugu zetu, kutokana na vifo vilivyosababishwa na vurugu zao na Polis

Nawasiwasi na weredi wako na uchambuzi wako binam,
CHADEMA WANAMABOM?
 
BARUBARU, hizo bangi!,.. unadhani hata uhuru, mzalendo, habari leo na TBC wameguswa na msiba huu? Fuatilia habari zao zinavyopindishwa!.. Mnyakyusa mmoja kaniambia huu ni mpango maalumu wa CCM wa kumaliza watu wa mbeya,.. kumbuka vifo vya steven Kibona, Gibbons Mwaikambo, Mwangosi mwenyewe, na kuponea chupu chupu kuuawa kwa Dr. Ulimboka, Dr. Mwakyembe, na Prof Mwandosya!..
 
Back
Top Bottom