Si mlisema ni chama cha kikabila....
i do reserve my comments on stupid posts
Sio chama ni genge la wahuni flani.
Kwa taarifa yako wanajua the hidden agenda ya viongozi wa CDMSi mlisema ni chama cha kikabila... sasa kwa taarifa yako, hiyo mikoa ndo CHADEMA kinapendwa zaidi kulkiko huko mlikokuwa mnasema ni cha wachaga.
wapendwa mpo?
Hivi nani muhuni kati ya yule anayewafunua TZ macho juu ya wizi wa the so called viongozi, au jamaa wanaopanga mauaji juu ya waziri na wapiganaji wengine kwa kutumia magari ya serikali, polisi, na watoto wao? refer Mwanahalisi ya wiki hii