Kunani Singida FG Wachezaji Wa kigeni (M-pro)Wote Wanaondoka

Mbishi Uswazi

Senior Member
Feb 7, 2020
142
249
Habari zilizopo ni kua timu ya Singida inaachana na Wachezaji wake wa Kigeni..

Kunani Au Mwigulu akaitelekeza timu kwa mara nyingine?
IMG-20240114-WA0003.jpg
 
Inavyosemekana Ihefu imenunuliwa na mtu ambaye ni mwanachama au kiongozi wa Yanga.

Na ndio maana task ya kwanza baada ya kununua timu ilikuwa ni kumtimua Scanda ambaye kabla ya kuajiriwa hapo Ihefu kama CEO alikuwa ni mkosoaji wa vilabu kwenye idara ya market.

Kwa hiyo kama tetesi hizi za mmiliki mpya wa Ihefu kuwa na vinasaba na Yanga basi inawezekana kabisa hao wachezaji wa Singida wakawa wameondolewa hapo kuhamishiwa Ihefu ili kuisuka Ihefu ambayo ilikuwa ipo katika nafasi mbaya.

Kwasababu kuna link ya kiukaribu kati ya Singida na Yanga na hata hiyo inaweza ikawa imefanywa kwa ajili ya kuboresha pia kikosi cha Singida katika hiki kipindi cha dirisha dogo
 
Inavyosemekana Ihefu imenunuliwa na mtu ambaye ni mwanachama au kiongozi wa Yanga.

Na ndio maana task ya kwanza baada ya kununua timu ilikuwa ni kumtimua Scanda ambaye kabla ya kuajiriwa hapo Ihefu kama CEO alikuwa ni mkosoaji wa vilabu kwenye idara ya market.

Kwa hiyo kama tetesi hizi za mmiliki mpya wa Ihefu kuwa na vinasaba na Yanga basi inawezekana kabisa hao wachezaji wa Singida wakawa wameondolewa hapo kuhamishiwa Ihefu ili kuisuka Ihefu ambayo ilikuwa ipo katika nafasi mbaya.

Kwasababu kuna link ya kiukaribu kati ya Singida na Yanga na hata hiyo inaweza ikawa imefanywa kwa ajili ya kuboresha pia kikosi cha Singida katika hiki kipindi cha dirisha dogo
Kyombo Kakolanya na Joash walitoka 5imba kwenda Singida FG mbona hamkusema hayo maneno? Kuna kipindi Manula, Wawa, Bocco, Nyoni na Kapombe kwa pamoja walitoka Azam FC kwenda 5imba mbona haikua ajabu?
 
Kwahyo ameamua kumnunua mtesi wake ili kisiumane tena??? Yani inamaana Ihefu ni tishia kwa Vyura mpk mtu kaacha timu kainunua ili asipokee kipondo...
Hii imeenda...
 
Inavyosemekana Ihefu imenunuliwa na mtu ambaye ni mwanachama au kiongozi wa Yanga.

Na ndio maana task ya kwanza baada ya kununua timu ilikuwa ni kumtimua Scanda ambaye kabla ya kuajiriwa hapo Ihefu kama CEO alikuwa ni mkosoaji wa vilabu kwenye idara ya market.

Kwa hiyo kama tetesi hizi za mmiliki mpya wa Ihefu kuwa na vinasaba na Yanga basi inawezekana kabisa hao wachezaji wa Singida wakawa wameondolewa hapo kuhamishiwa Ihefu ili kuisuka Ihefu ambayo ilikuwa ipo katika nafasi mbaya.

Kwasababu kuna link ya kiukaribu kati ya Singida na Yanga na hata hiyo inaweza ikawa imefanywa kwa ajili ya kuboresha pia kikosi cha Singida katika hiki kipindi cha dirisha dogo
Bila kuitaja Yanga hujisikii Raha Mzee unaihusisha hadi na vitu visivyohusika😂😂
Bwana fedha wa Singida ndo amenunua ihefu na sasa anachukua wachezaji wake
 
Kyombo Kakolanya na Joash walitoka 5imba kwenda Singida FG mbona hamkusema hayo maneno? Kuna kipindi Manula, Wawa, Bocco, Nyoni na Kapombe kwa pamoja walitoka Azam FC kwenda 5imba mbona haikua ajabu?
Huyo jamaa huwa anajitungia tu vitu
 
Kyombo Kakolanya na Joash walitoka 5imba kwenda Singida FG mbona hamkusema hayo maneno? Kuna kipindi Manula, Wawa, Bocco, Nyoni na Kapombe kwa pamoja walitoka Azam FC kwenda 5imba mbona haikua ajabu?
Wacha maneno mkuu,,

Serikali ichunguze mmiliki wa ihefu na singida
 
Back
Top Bottom