Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Kwanini CHADEMA haina marafiki na nchi za kiarabu?
Rafiki wa CHADEMA kwa sasa ni;-
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
Wazungu kwa ujumla ndio waliofilisi Tanzania hadi kufikia umaskini huu,ndio wanaoiba rasilimali zetu kama Gesi na dhahabu na kutuachia mashimo.
Rafiki wa CHADEMA kwa sasa ni;-
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
Wazungu kwa ujumla ndio waliofilisi Tanzania hadi kufikia umaskini huu,ndio wanaoiba rasilimali zetu kama Gesi na dhahabu na kutuachia mashimo.