Kwanini CHADEMA haina marafiki na nchi za kiarabu?
Rafiki wa CHADEMA kwa sasa ni;-
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
Wazungu kwa ujumla ndio waliofilisi Tanzania hadi kufikia umaskini huu,ndio wanaoiba rasilimali zetu kama Gesi na dhahabu na kutuachia mashimo.
Mi sipendi kuwa na rafiki yeyote si mwarabu, mhindi wala mzungu. Ni miaka mia tu toka waache kutuuza kama punda ni miaka 33 toka waache kututawala (Zimbabwe) South Africa bado mpaka leo wanatuamulia seriakli zetu sekta zetu za kifedha nk. Nadhani tunaweza ishi bilwa wao, Si CDM, wala CUF wala CCM wanatakiwa kuwa na marafiki. THINK MKUU RAFIKI WA FAMILIA YAKO NI NANI? UNAMUHITAJI WA NINI.