democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
ni kwa sababu nchi za kiarabu hazina demokrasia,vurugu kila leo
kwikwii, hivi kule kwa magaidi kuna demokrasia? Haaa haaa, mbavu sina!Kwanini CHADEMA haina marafiki na nchi za kiarabu?
Rafiki wa CHADEMA kwa sasa ni;-
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
Wazungu kwa ujumla ndio waliofilisi Tanzania hadi kufikia umaskini huu,ndio wanaoiba rasilimali zetu kama Gesi na dhahabu na kutuachia mashimo.
Nashangaa sana kuona waakirsto WA TZ wanaichukia Palestina na Kuiunga Mkono israel huku wakijua WAPELESTINA PIA WAPO WAKIRISTO
Unataka kutuambia na Tip Tipu naye alikuwa mzungu?????acha kujifanya umesoma peke yako humu jfUtumwa uliletwa na wazungu kama hujui historia sema ufundishwe mama sio unakurupuka tuu
Respect ndugu yangu.Swali lako ni kwanini chadema compared with Ccm(serekali)na CUF haipati misaada kutoka nchi za kiarabu?unaimanisha ccm na Cuf ni vyama vya waislam na chadema ni chama cha wakristo?na kama ni hivyo basi ni vizuri kwasababu tatizo la udini mnalojidai kulipigia kelele wakati nyie ndio mliolianzisha kwasababu ya kutafuta kura za uraisi 2015 litakuwa limepata suluhu.wakristo wote nchini watajua ni chama gani wakipigie kura na waislam wote pia nao watajua ni chama gani wakipigie kura 2015.mnavyozidi kuforce na kudanganya wananchi kuhusu suala la ukristo kwenye chama cha Chadema mkifikiria kwamba mtapunguza idadi ya wafuasi na wapiga kura waslamu chadema mtasababisha Chadema nao waseme ccm na Cuf ni vyama vya waislamu.still mtashindwa tu 2015.be blessed!
thread nyingine bana. magamba jibuni hoja juu ya ahadi za jk ambazo hajatekeleza hadi leo.
Hakuna duniani ukatili
uliowahi kufanywa kwa mwafrika zaidi ya ule wa mwarabu wakati wa utumwa
kwa kuwa tu eti kwa kumfanyia hivyo kafir unapata thawabu!Wengi
waliogopa na kusilimu ili wapate unafuu kidogo!Sina hakika kama
wamekwisha badili msimamo huo.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Unataka kutuambia na
Tip Tipu naye alikuwa mzungu?????acha kujifanya umesoma peke yako humu
jf
swali kwa wafuasi wa chadema
Hakuna duniani ukatili uliowahi kufanywa kwa mwafrika zaidi ya ule wa mwarabu wakati wa utumwa kwa kuwa tu eti kwa kumfanyia hivyo kafir unapata thawabu!Wengi waliogopa na kusilimu ili wapate unafuu kidogo!Sina hakika kama wamekwisha badili msimamo huo.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Unaweza kunitajia chama chochote cha KIDEMOKRASIA huko uarabuni?
sasa waarab wanajua nin?? Wazembe 2 hata buku hawapigi kazi udini 2.
Sijui kama umefika Dubai, AbuDhabi au Qatar