The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,456
Kwanini chadema haina marafiki na nchi za kiarabu?
RAFIKI WAKUBWA WA CHADEMA KWA SASA
Ujerumani: wapenda Vita na kuitawala dunia
Marekani: Wababaishaji wa Demokrasia
WAZUNGU KWA UJUMLA NDIO WALIOFILISI TANZANIA HADI KUFIKIA UMASKINI HUU.
ndio wanaoiba rasilimali zetu kama GESI NA DHAHABU NA KUTUACHIA MASHIMO
AU WATAIKERA KUNA MKATABA KATI YA CDU NA CHADEMA YA KUWATAKA WASIKANYAGE NCHI ZA KIARABU?:
Chama akinaga urafiki na nchi bali ni vyama kwa vyama. Ungetutajia ni vyama gani huko USA na Germany at leat tungekuelewa. Urafikiwa baina ya nchi ni wa kiserikali zaidi ingawa kama vyama vinaweza kuufanya mkubwa zaidi. May be ututajie marafiki wa CCM huko nchi za Kiarabu basi.
By the way, Kikwete alipodai amekuwa Rais wa kwanza Afrika kusalimiana na Obama na jinsi alivyokuwa Kipenzi wa Bush yameishia wapi sasa ..................... No woder safari za US zimepungua.