NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,933
Caanan ndio wewe muafrika ila ndio ulikuwa unakaa pale Israel ya leo....
Na Ham alimjua baba yake ukisoma bible kwa mbele kuna makatazo yanatajwa kuwa ukimjua mama yako basi umemjua baba yako theoretically....
So wadadavuzi wanasema Ham alimjua mama yake ndo akatoka Caanani ( so huyu alikuwa ni laana)
Kabla ya hapo ni kama hawakuijua dhambi....bible ilitumia kiswahili mnyumbuluko ili kuficha hii situation eti" according to wadadavuzi"
Na Ham alimjua baba yake ukisoma bible kwa mbele kuna makatazo yanatajwa kuwa ukimjua mama yako basi umemjua baba yako theoretically....
So wadadavuzi wanasema Ham alimjua mama yake ndo akatoka Caanani ( so huyu alikuwa ni laana)
Kabla ya hapo ni kama hawakuijua dhambi....bible ilitumia kiswahili mnyumbuluko ili kuficha hii situation eti" according to wadadavuzi"