Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.


Kama sijakosea wanapaswa kuitahalifu tume ya uchaguzi kwani wabunge hao wanpelekwa bungeni na tume tume itamwalifu sipika
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.
U communist regime ni hovyo siku zote. Na huwa hazina maendeleo yoyote zaidi ya lugha za uzalendo uchwara . Wamechezea uchàguzi mkuu na bado wanataka kuwachagulia wapinzani wao ni nani wa kuwawakilisha !!. Hovyo kabisa .

Uelewa wa wananchi nao ni tatizo.
 
Kuna habari kwamba Ndugai alishawaambia wale Covid-19 waende kuiangukia Chama chao cha awali ili waweze kupata baraka za Chama. Vinginevyo yeye hana uwezo tena wa kuwatetea. Hivyo atalitaarifu Bunge kuwa amepokea taarifa rasmi toka Tume ya Uchaguzi kuwa Wabunge wale wamepoteza sifa baada ya kufukuzwa Uwanachama kwenye Chama chao cha Siasa.
 
Kuna habari kwamba Ndugai alishawaambia wale Covid-19 waende kuiangukia Chama chao cha awali ili waweze kupata baraka za Chama. Vinginevyo yeye hana uwezo tena wa kuwatetea. Hivyo atalitaarifu Bunge kuwa amepokea taarifa rasmi toka Tume ya Uchaguzi kuwa Wabunge wale wamepoteza sifa baada ya kufukuzwa Uwanachama kwenye Chama chao cha Siasa.
Sio Ndugai ninaemjua mimi. Ndugai ni zaidi ya kichwa maji szani yupo tayari kufanya hivyo.
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.
Wabunge wote wale mle bungeni wa viti maalum na wa majimboni akiwepo Nape aliyepita bila kupingwa hawana sifa. Kwahiyo kuweka Sawa ni kwamba uchaguzi urudiwe ndio tutapate wabunge wapya
 
Hata hao wa ccm nao hawana sifa za kuwemo humo bungeni! Maana waliingia kwa wizi wa kura. Rais wa sasa nae aliingia madarakani na mtangulizi wake kwa matokeo ya mezani (ya tume)

Hivyo msiwahukumu tu hao 19! Kimsingi mfumo wa uchaguzi nchini ni wa hovyo. Tume Huru ya uchaguzi inahitajika haraka, ili kuondokana na hii sintofahamu inayo jirudia mara tu baada ya uchaguzi mkuu kufanyika.
 
Siyo kwamba anawakumbatia bali anatafuta legitimacy ya kuhalalisha Matokeo Ya Uchaguzi wa mwaka 2020 , kwa kifupi hao Covid_19 waliofosi kuingia bungeni wanatumika kama kihalalishi cha Uchafuzi wa October 2020.


Sasa Spika ni lazima awatetee kwa gharama yoyote ile kwa maslahi ya Serikali ya CCm
 
Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge.

Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao.
Je, nini maoni yako? Tujadili hili.


Coz sababu za kuwavua uanachama wao sio za msingi,

Hata wakina silinde walilindwa na spika wakati ule mbowe amepiga bia zake anaawambia wabunge wote watoke nje ya bunge kisa kuna corona

Viti maalum ni takwa la kikatiba, na wakina mdee wamefukuzwa just because wametii katiba
 
Siyo kwamba anawakumbatia bali anatafuta legitimacy ya kuhalalisha Matokeo Ya Uchaguzi wa mwaka 2020 , kwa kifupi hao Covid_19 waliofosi kuingia bungeni wanatumika kama kihalalishi cha Uchafuzi wa October 2020.


Sasa Spika ni lazima awatetee kwa gharama yoyote ile kwa maslahi ya Serikali ya CCm

Kama wasingeingia huko bungeni ndio ingekuwa matokeo ya uchaguzi hamkuibiwa?

Au kitu gani kingebadilika?

Chadema wamesusa ila kila siku wako kwenye mitandao kushauri serikali, sasa wanashauri serikali ipi wakati uchunguzi hawautambui?
 
Hata hao wa ccm nao hawana sifa za kuwemo humo bungeni! Maana waliingia kwa wizi wa kura. Rais wa sasa nae aliingia madarakani na mtangulizi wake kwa matokeo ya mezani (ya tume)

Hivyo msiwahukumu tu hao 19! Kimsingi mfumo wa uchaguzi nchini ni wa hovyo. Tume Huru ya uchaguzi inahitajika haraka, ili kuondokana na hii sintofahamu inayo jirudia mara tu baada ya uchaguzi mkuu kufanyika.

Kwa sasa tutaendelea hivi hivi
Hakuna katiba mpya wala tume nyingine, hili la tume ni maalum kwa ajili ya kuwafurahisha chadema no way

As long as mambo yanakwenda basi acha twende
 
Wabunge wote wale mle bungeni wa viti maalum na wa majimboni akiwepo Nape aliyepita bila kupingwa hawana sifa. Kwahiyo kuweka Sawa ni kwamba uchaguzi urudiwe ndio tutapate wabunge wapya

Ela inatoka wapi?
 
Back
Top Bottom