Kwanini Bongo movie imedorora??

Umimi utawaua
tatizo lao mtu hajaenda kabisa shule ila anakipaji cha uigizaji....sasa badala ya kushirikisha watu wenye taaluma kwenye uandaaji wa filam anataka kila kitu aandae yeye na haya ndo matokeo yake
 
Wengi hasa akina Dada wasio na vipaji vya kuigiza wanaingia bongo movie ili waonekane ili iwe sehemu ya kupigia umalaya,wengine ndo hao wanakuwa na mambo mengi mara siasa,mara uigizaji basi ni vurugu tupu
 
muvi za kibongo ni kinyaa,ukinambia utanipa 100,000/= niiangalie kuanzia mwanzo hadi mwisho mimi nitakupa lakimbili ili kikombe kiniepuke...hawajui kabisa,hata huyo kanumba wenu naye alikuwa shallow tu...
 
Kuna mmoja nilimsikia akisema "nikipangwa kuigiza kama msicha wa kazi sikubari" sasa apo kunawaigiza au wauza sura. Na Kuna sizoni mdio zimeshukua soko
 
Movie za Tanzania naona zinakosa yafuatayo

1. Uhalisia wa kimazingira.
Hiki ni kivutio kikubwa kama kweli tunataka kupanua soko letu lifikie duniani kote.
Afrika tunafahamika kwa utajiri wa maliasili (Mbuga na wanyamapori) hivi havionekani kwenye movie zetu.
Waafrika tuna ujenzi wetu wa asili (Nyumba za tembe etc) pia hivi havionekani tunaonesha maghorofa tu
Magari tunayotumia (Tunayoita ni ya kifahari) ni models za 2012 tukijitahidi sana, huko duniani wanaonesha za 2017 na zingine wanatabiri futurr
Mavazi waafrika tuna yetu ila daily tunajaribu kuonesha ya kwao ambayo ni provocative lkini sisi tunavaa kujishtukia, kama tumeamua tuende all the way kama wao au tubaki na yetu ya asili ambayo ni mazuri zaidi na kivutio duniani

2. Uhalisia wa kiugizaji
Tunajaribu kuigiza maigizo, msanii anaigiza kuwa anaigiza hawavai uhalisia

3. Maisha binafsi ya wasanii nje ya kamera ni hovyo hovyo tu. Postings zao za Social Media ni upupu ukiangalia maandishi katika Captions zao. Wako vizuri kwenye Ubuyu na kusutana. Wanajitahidi kwenye matusi zaidi

4. Masoko

5. Vifaa
Hoja yako nambari 1 iko poa sana.
 
nasikia mkuu wa mkoa wa dar ameahidi kurudisha soko lao kwa kufungia uuzwaji wa movie za nje!!!
zimebaki siku ngapi sijui, wenyewe walikuwa wanahesabu huko insta!
Kweli mkuu umenifumbua macho,nilikuwa naona johari anahesabu sielewi ...kumbeeeee
 
Mimi naamini kuna mahali wamekosea wajisahihishe ili waende mbele na sio kuwaponda tuwape moyo
 
Siasa inazidi kuwaharibu bila kujijua na wanazidi kugawanya mashabiki wao mana wameamue kuonesha dhahiri wako upande gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom