Kila Jumatano ya mwanzo wa mwezi EWURA wanatangaza bei mpya ya nishati ya mafuta. Kwa asilimia kubwa kila wakitangaza ni ongezeko tu la bei na siyo punguzo.
Ukichukua mfano wa nchi zote za jirani zetu bei zao ni pungufu kuliko ya Tanzania. Hivi Tanzania tuna tatizo gani na tunawabebesha wananchi mzigo mkubwa wa gharama ya mafuta. Leo hii Kenya wamepunguza bei ya mafuta lakini kwa Tanzania kila kukicha bei inapanda.
Kama nchi chukueni hatua mtafanya wananchi waichukie Serikali yao.
Ukichukua mfano wa nchi zote za jirani zetu bei zao ni pungufu kuliko ya Tanzania. Hivi Tanzania tuna tatizo gani na tunawabebesha wananchi mzigo mkubwa wa gharama ya mafuta. Leo hii Kenya wamepunguza bei ya mafuta lakini kwa Tanzania kila kukicha bei inapanda.
Kama nchi chukueni hatua mtafanya wananchi waichukie Serikali yao.