Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

wapenda haki tupige kelele kuvunjwa kwa agizo la polisi

wapenda amani tupige kelele kuvunjwa agizo la mh. rais

naunga mkono wananchi wote
tujitokeze kupiga kelele mjini Dodoma KUHUSU UTII WA SHERIA BILA SHURUTI.

AMANI NI TUNDA LA
HAKI

Acha uchochezi wewe unahamasisha kuvunja amani acha hiyo kabisa
 
Labda atatengua kauli xaxa mikutano rukxa lasivyoo itonekana picha kweli hakuna haki apa yani mikutano ndo iruhuciwe kwamaccm tu haa kichekesho ichoo
I will believe in double standard, huku yes kule no how comes!!!!!!?
 
1467581067913.jpg
 
Hao BAVICHA wao ni polisi wawe na uwezo wa kuzuia CCM? Maana ake wanaenda kufanya fujo, wao wadeal na polisi sio chama kingine cha siasa, rais hakukataza wanasiasa aliwaomba wafanye Katika majimbo yao weka video yake tuone, kama nyie ni wagumu kuelewa peke enu sio wote
Kwa hiyo kama Rais aliagiza wanasiasa wakafanye siasa kwenye majimbo yao, iweje hiyo tarehe 23 mwezi huu wanasiasa wa CCM more than 90% wafanye siasa Dodoma hiyo tarehe 23, ambako siyo jimbo lao?

Turudi kwenye reality, Magufuli wakati analitangazia Taifa kuwa amezuia shughuli zote za kisiasa hadi 2020, hakujua impact yake kuwa ni pamoja na chama chake nacho kutoweza kufanya siasa hadi mwaka 2020.

Kwa hiyo ili CCM waweze kufanya Mkutano wa wa July 23, Rais na Jeshi la Polisi wamebakiwa na option moja tu, kuondoa zuio la kufanya mambo ya siasa kwa vyama vyote vya siasa hapa nchini.

Rais na Jeshi la Polisi kama hawataondoa zuio hilo na CCM kuendelea na azma yao ya kufanya mkutano wao mwezi huu kwa kuamini tu kuwa CCM ni chama dola, kwa hiyo kinaweza kufanya lolote ni kisifanywe lolote, fikra hizo ni za hatari mno na zinaweza kuiingiza nchi yetu kwenye machafuko.
 
Dodoma ndio NGOMENI sasa hao Bavicha kule Kahama wanakaofisi kadogo kakupanga CDT alafu wanalialia wameona Arusha wamewachoka,Mbeya wamewatema,Dsm wajanja wengi,Moshi wajuaji,Tanga waelwa,Geita kuna sakata la Mawazo,Mwanza wamewachoka wakaona wakawaponze vijana wa Kahama.
 
Mimi kuna kitu uwa sielewi hivi kuwa kiongozi chadema lazima utokee kaskazini?

Mwenyekiti Mbowe wa huko huko, mwenyekiti baraza wanawake Mdee wa huko huko.. Jana nimeshangaa huyo mwenyekiti wa Bavicha kavaa kimasai kabisa yani hiki chama na yule dogo aliyekuwa mwenyekiti wa kuchaguliwa ni kama kapinduliwa tayari majukumu yote sasa kapewa mkaskazini mwenzao.

Aisee awa jamaa wakigusa Dodoma hakuna rangi wataacha kuiona watataja koo zao zote za mareale mushi msuya ndossi mpaka ukoo wa mleta mada malisa.
Inaitwa chaga dema
 
Huwo co mkutano wa kisiasa ujue. Alafu ccm wanaukumbi wao wa kufanyia hiyo mikutano. Lingine ni kama hamjipenndi vijana wa Cdm mkavuruge, fundi viatu waongezeke, na lupango ndo ucseme. Cpati picha cku hiyo sero zijaa sana yangu macho.
dah..mkuu kwani ccm ni chama cha nini? huo ni mkutano wa siasa
 
niwakumbushe ninyi watumishi wa Kikristo....Yesu alipoingia jijini Yerusalemu na kukuta watu wanafanya biashara ndani ya hekalu la Mungu - HAKUPIGA MAGOTI KUOMBA - bali alipandwa na ghadhabu na kufurusha vijimeza vya biashara kule!

Kazi ya viongozi wa dini ni kuwavurumusha walioko makanisani mwao sio walioko kwenye mikutano ya kisiasa.Yesu aliwabamiza wahuni walikuwa wakifanya uhuni hekaluni.Kasome biblia yako tena.Usichanganye mambo
 
Baraza la Vichaa Chadema (Bavicha) imejitangazia kuchukua Jukumu la kwenda kuzuia mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi inayotarajiwa kufanyanyika Julai 23 mwaka huu, baada kufanya mawasiliano na baadhi ya viongozi wa Baraza hilo hasa ambao akiili zao hazijaweuka bado wanazo kidogo nimegundua yafuatayo: 1, viongozi hao wanakabiliwa na njaa ya kufa mtu maofisini sasa wanatafuta kila aina ya mbinu kutafuta namna ya kuanzisha miradi ya kupiga ruzuku make huko nyuma walizoea operations mbalimbali iliyokuwa ikiwalipa posho nono sasa safari hamna mradi wa kuzunguka mikoani hawapati posho. Kwahiyo safari ya Dodoma ni mradi wa kupiga ruzuku. 2, cdm walikuwa wakipata pesa za wafadhili kutoka jumuiya ya Ulaya kupitia NGOs mbalimbali kwa kisingizio cha Utawala bora na demokrasia sasa kwa wafadhili kutoka Ulaya bila kufanya fujo hakuna pesa kwahiyo wanatafuta kila namna ya mapambano ili kuonesha wanadai demokrasia nchini. Na mwisho hii ni mbinu ya kumchomoa mzee Lowassa pesa hasa baada kutokea fununu kuwa amegoma kutoa fungu na kumwambia Freeman Mbowe ampelekee mahesabu ya pesa aliyotoa wakati anahamia chama icho 2015 zaidi ya 10bilioni zilivyotumika la sivyo chama zitumie pesa zake. Kutokana na huo ukata watendaji ndani ya Bavicha wamebuni njia ya kuhamasisha wafuasi wao kwenda Dodoma ili wakapige posho ndiyo wakaamua kumtumia Ole Sosopi kwakuwa ni Mmasai Lowassa atashawishika kutoa fungi badala ya Mkiti wa Bavicha. Tahadhari Vijana kuweni macho na hizi adaa za Chadema
 
Nakupongeza kwa thread ya nguvu ya hoja, cha msingi ni HAKI itendeke na sio double standard ambayo itapandikiza chuki na ghadhabu. Umeandika vyema, wajipime!!
 
Nakupongeza kwa thread ya nguvu ya hoja, cha msingi ni HAKI itendeke na sio double standard ambayo itapandikiza chuki na ghadhabu. Umeandika vyema, wajipime!!

CHAMA Tawala ni tofauti na vyama vingine.Chenyewe kina dola vingine vinaganga njaa ya ruzuku tu.Huwezi jilinganisha na chama tawala ukasema sisi sote ni vyama tuko sawa nyoooooooooo!
 
CHAMA Tawala ni tofauti na vyama vingine.Chenyewe kina dola vingine vinaganga njaa ya ruzuku tu.Huwezi jilinganisha na chama tawala ukasema sisi sote ni vyama tuko sawa nyoooooooooo!
Ainisha hizo tofauti za chama tawala na vyama vingine.. Jaribu kuangalia kwa mapana ktk taswira ya Vyama vya Siasa
 
Another reason ya kuwalaza hoi askari. Mtu anayejichukulia kuwa sahihi na mtegemea Mungu cjui kwnn ahofie kukoselewa
 
CCM ni chama Tawala chenye Serikali yake! Acheni kuilinganisha na Vyama Uchwara!
Mkuu Tukiacha ushabiki wa kivyama hata CCM haipaswi kufanya mikutano ya kisiasa kwa sababu mikutano hiyo imezuiwa. Lakini hilo siyo la msingi sana kwangu. Ninachotaka kusema ni kwamba haya mambo watu tusiyachukulie juu juu. Mipasuko katika jamii huanza hivi hivi na isipotafutiwa ufumbuzi mapema, basi tegemea madhara makubwa. Huwezi kujua nini kiko nyuma ya BAVICHA. Ni sawa unamkata mtoto au mke asifanye jambo fulani yeye anasema nitafanya tu. Katika Maisha tujifunze kuvumiliana, mkubwa kwa mdogo, mdogo kwa mkubwa, hayo ndo maisha. Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kuandika hivi. "There may be times when we are powerless to prevent injustices, but there must never be a time when we fail to protest". Hiki ndicho BAVICHA wanaenda kukifanya. Tunajua CCM wana vyombo vya ulinzi na usalama, na hawata kubali mkutano wao uvunjwe au hawakotayari kusikia kitu hicho kinatokea. Watareact namna yoyote endapo wafuasi wa BAVICHA wataenda DODMA kweli. Sasa nini kitatokea, endapo msuguano kati ya BAVICHA na polisi ukianza. Tutegemee vifo, majeruhi, n.k. Je, itaishia hapo tu? huwezi kujua nini kiko nyuma ya BAVICHA kama nilivyosema mwanzo. Inaweza kuwa ndio mwanzo wa amani ya Tanzania kuisha. Je, Kweli Watanzania tumefikia hatua hiyo? Je, Taifa limekosa watu wenye Busara kusaidia mambo haya yasitokee? Je, huko polisi pamoja kwamba wao ni watu wa kutumia amri wameshindwa kuwaita Viongozi wa BAVICHA wakakaa chini kutafuta suluhu ili kuepusha vurugu? Je huko Chadema kumekosekana watu wenye busara na hekima kuwashauri BAVICHA wasifanye hivyo? Je, CCM haina wazee wenye busara na hekima wanaoona tunakoelekea siko? Tusishabikie mambo ya vyama, tuongee ukweli tu hapa. Hao BAVICHA ni ndugu zetu, rafiki zetu n.k tusikubali kutumika kwa maslahi ya wanasiasa. We must defeat the evil with the triumph of love
 
Mkuu Tukiacha ushabiki wa kivyama hata CCM haipaswi kufanya mikutano ya kisiasa kwa sababu mikutano hiyo imezuiwa. Lakini hilo siyo la msingi sana kwangu. Ninachotaka kusema ni kwamba haya mambo watu tusiyachukulie juu juu. Mipasuko katika jamii huanza hivi hivi na isipotafutiwa ufumbuzi mapema, basi tegemea madhara makubwa. Huwezi kujua nini kiko nyuma ya BAVICHA. Ni sawa unamkata mtoto au mke asifanye jambo fulani yeye anasema nitafanya tu. Katika Maisha tujifunze kuvumiliana, mkubwa kwa mdogo, mdogo kwa mkubwa, hayo ndo maisha. Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kuandika hivi. "There may be times when we are powerless to prevent injustices, but there must never be a time when we fail to protest". Hiki ndicho BAVICHA wanaenda kukifanya. Tunajua CCM wana vyombo vya ulinzi na usalama, na hawata kubali mkutano wao uvunjwe au hawakotayari kusikia kitu hicho kinatokea. Watareact namna yoyote endapo wafuasi wa BAVICHA wataenda DODMA kweli. Sasa nini kitatokea, endapo msuguano kati ya BAVICHA na polisi ukianza. Tutegemee vifo, majeruhi, n.k. Je, itaishia hapo tu? huwezi kujua nini kiko nyuma ya BAVICHA kama nilivyosema mwanzo. Inaweza kuwa ndio mwanzo wa amani ya Tanzania kuisha. Je, Kweli Watanzania tumefikia hatua hiyo? Je, Taifa limekosa watu wenye Busara kusaidia mambo haya yasitokee? Je, huko polisi pamoja kwamba wao ni watu wa kutumia amri wameshindwa kuwaita Viongozi wa BAVICHA wakakaa chini kutafuta suluhu ili kuepusha vurugu? Je huko Chadema kumekosekana watu wenye busara na hekima kuwashauri BAVICHA wasifanye hivyo? Je, CCM haina wazee wenye busara na hekima wanaoona tunakoelekea siko? Tusishabikie mambo ya vyama, tuongee ukweli tu hapa. Hao BAVICHA ni ndugu zetu, rafiki zetu n.k tusikubali kutumika kwa maslahi ya wanasiasa. We must defeat the evil with the triumph of love
KAMA WANABISHA WATIE PUA DODOMA WAKIONE CHA MOTO NA UTOTO WAO UTAISHIA HAPO HAPO!!
 
Back
Top Bottom