Mh uyu nae imekuguxaeimekugusaeXara na rukxa ndiyo nini, umekosea au una maanisha? Masikini jukwaa basi tena
Mh uyu nae imekuguxaeimekugusaeXara na rukxa ndiyo nini, umekosea au una maanisha? Masikini jukwaa basi tena
Hahahaha kwahiyo hamto kwenda dodoma tena bali mtajikita kupiga kelele?
Lugha za vitoto vya Facebook, huku wapo baba zao magreat thinkers unatukosea adabuJasiri 1 said:Mh uyu nae imekuguxaeimekugusae
Huyo katoka FB mkuu, ni mgeni humu JF angalia profile yake utaona!Xara na rukxa ndiyo nini, umekosea au una maanisha? Masikini jukwaa basi tena
ccm watafanya mkutano wakati polisi wamekataza mikutano
Huwo co mkutano wa kisiasa ujue. Alafu ccm wanaukumbi wao wa kufanyia hiyo mikutano. Lingine ni kama hamjipenndi vijana wa Cdm mkavuruge, fundi viatu waongezeke, na lupango ndo ucseme. Cpati picha cku hiyo sero zijaa sana yangu macho.
Labda atatengua kauli xaxa mikutano rukxa lasivyoo itonekana picha kweli hakuna haki apa yani mikutano ndo iruhuciwe kwamaccm tu haa kichekesho ichoo
Walichotakiwa chadema kufanya ni wao pia kuitisha mkutano wa ndani,siku hiyohiyo tena ikiwezekana dom hapohapo,halafu waone kama watazuiwa ama vipi
Bavicha wakienda Dodoma simply kwa lengo la kuziia mkutano wa CCM, itakuwa hawanazo! Mwl Nyerere angalisema siyo upumbavu ila ni ujinga wao siyo polisi wala jeshi na ni uchokozi kwa kuingilia mkutano halali wa chama kingine.hao bavicha ni waoga balaa, ni majasiro nyuma ya keyboard!! hakuna hata bavicha mmoja atayeenda Dodoma siku hyo
CCM ndio chama kilichopewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi. Ni chama dola. Na ndio maana mambo yanayoandaliwa na CCM na Serikali yake yanaenda vizuri. Maonesho ya sabasaba yanaendelea. Yanga wamecheza na TP Mazembe hawajazuiliwa. Kagame kawasili nchini. Ukiwa mtawala maana yake unatawala kila kitu. Nyie Bavicha Nendeni Dodoma mkavunjwe miguu