Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

Lizaboni unaweza kudhibitisha kuwa mimi ndiye niliyemtuma huyo uliyemuita "kijana aliyemtukana Rais?"
Je. Hamtaki kupimwa utendaji wenu ifikapo 2020!?
Kwa nini hamjikiti katika masuala yatakayowasidia watanzania? Kupitia maeneo mliposhinda himiza watanzania wajiletee maendeleo kwa kujitegemea!!!
Watanzania waleo hawadanganywi tena na masuala ambayo hayalengi kuwakwamua! Watanzania wanataka kujitegemea kwa sasa hawataki kuwa tegemezi ; wanataka kuwa huru kiuchumi na kijamii katika kuenzi utamaduni mzuri wa kiafrika. Jikite huko, pia ongezea na la kukemea maovu nchini kama watu kukwepa kodi, kuendeleza ushetani anaoupigia kelele Makonda, kuhimiza vijana kuwa na tabia njema kwa wakubwa na wadogo pia kwa viongozi wa dini na serikali. Mkijikita huko,Mtakuwa na nafasi ya kushinda uchaguzi mkuu 2020. Tunawapima hivyo mjue!
 
Somtym tuache ushabiki wakisiasa natufuate logic na taifa kwanza..... Duuuh ii sii akili unafeli
 
Kama mnaona maandamano na mikutano ya kisiasa ina tija sana ,nendeni mkaandamane jimbo la Hai..

Sidhani kama polisi watawazuia
 
Ushahidi ni pale ulipochangisha fedha kumkomboa huyo kijana. Ndio Maana Godbless Lema aliwakataa na kusema haungi mkono jitihada zenu
Naona hujaelewa swali langu. Hakuna uhusiano kuchangisha fedha na madai yako kwamba nilimtuma. Kama kila ninayechangisha fedha kwa ajili yake ninakuwa nimemtuma basi nitakuwa nimetuma watu wengi sana nchi hii. Labda kama hujui nikusaidie taarifa kidogo kwamba huyo uliyedai kamtukana "Rais" si mtu wa kwanza kumchangia. Baadhi ya vijana waliowahi kukamatwa kwa "sheria mbovu" ya mitandao tuliwachangia fedha kuwasaidia ktk kesi zao. Nilifanya hivyo kwa Yericko Nyerere nilifanya hivyo kwa Bob Chacha Wangwe. Wote wawili kwa nyakati tofauti tuliwachangia fedha baada ya kukamatwa na nikawakabidhi ziwasaidie ktk kesi zao. Je hawa nao niliwatuma?
 
Naendelea kushauri..hakuna sababu ya kwenda kuwaingilia hawa watu..ni wazi hakuna sababu yoyote ya POLICE kuzuia mikutano ya CHADEMA ila ni WOGA tu wa SERIKALI YA CCM..
Siku hiyo CHADEMA nayo iitishe MKUTANO kama huo..na ujikite katika kujadili utendaji wa serikali..

Hakuna sababu ya KUCHOMA NYUMBA ili kumuua PANYA..
 
Hahaaa napiga picha ndugu Nepi akifurumushwa na maji ya kuwasha ukumbini huku baba J. akiruka ukuta kukwepa mabomu ya machozi, mzee Wa Tembo atajibanza chini ya meza kuogopa marungu, Moja liwe naye katokea dirishani kusevu uhai wake hahaaa tusubiriii.
 
Nashauri chama kiwakatie bima ya afya/maisha kabla hawajaenda huko msiishie kuwajaza uanaharakati uchwara halafu wakitenguliwa nyonga inakuwa mzigo kwa familia zao najua watakaojitokeza Ni wale wasiojielewa.

Hata kama hoja zao ni za msingi na wanapigania haki lakini nawahakikishia kwa maamuzi waliyochukua watakula kichapo tu na mkutano utafanyika kama kawa.
 
Hoja yako ni nini zuio ni kwa upinzani tu au?
 
hao bavicha ni waoga balaa, ni majasiro nyuma ya keyboard!! hakuna hata bavicha mmoja atayeenda Dodoma siku hyo
uvccm sijawahi kuwaona zaidi ya majambazi yanayovalishwa nguo za green guard na kupewa silaha. Bavicha wanajulikana
 
Bilakupoteza muda naomba nikuulize mtoa post, hivi jukumu la lakuhakikisha sheria inafuatwa bila shuriti ni lanani kati ya polisi wenyedhamana na wanasiasa ambao niwadau? Pia nivema ukumbuke kuwa sheria inatungwa na kufuatwa kutokana na wakati/matukio kwa jamii husika. Haiingii akilini kuwa hatakama lengo nikusaidia polisi kuishultisha ccm itii sheria,eti nikwakuwakusanya vijana toka sehemu malimbali ktk tz. Hivi adhma inakua nimapambano au kulisaidia jeshi la polisi? Mi nadhani mbunge hakukosea kutoa kauli hiyo ya tahadhali na yenye msaadamkubwa kwa KIJANA yeyote mwenye nianjema kwa taifa na anaejitambua
 
Hilo hawawezi kukujibu. Huyu Malisa ndiye aliyemtuma yule kijana kumtukana Rais kwenye Facebook. Kijana alipohukumiwa kulipa faini, huyu Malisa akachangisha fedha ii kijana atolewe. Nasubiri nini kitatokea
Ukibaka tena nitakuchangia..
 
Strategy ya kijinga hii
Ukikubali CCM wasifanye mkutano basi maana yake unavitambua vitendo na maagizo ya Polisi kuzuia demokrasia kama matendo halali!
Kumbe mnajua vitendo vya polisi kuingilia mambo ya kisiasa sio halali lakini huwa mnajifanya hamnazo.
 
Waache wakachezee rungu.
Chai wataita kyai
Muhogo wataita muhoho
 
Ni kama unawakumbusha kwenda wakiwa kamili.. Kimya kimya!! U know what I mean
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…