Kwanini BASATA wanakataza Disko toto?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Kuna anayeweza kunielezea hapa disko toto lina ubaya gani? Mimi nimekua na nilikuwa naenda Disko toto karibia kila sherehe leo nasikia BASATA wamelipiga marufuku.

Sasa ningependa kujua sababu hasa, kwa maana nijuavyo mimi mle ni watoto tupu wanacheza disko lao tena mchana baadae wanarudi nyumbani na kuna Mkubwa msimamizi sasa tatizo liko wapi?
 
Binafsi sioni tatizo la disco toto, ni uonevu tu wa basata. Disco toto lilisaidia sana kunipa skillz mbalimbali za kubambia tangu nkiwa mdogo
 
Kuna anayeweza kunielezea hapa disko toto lina ubaya gani? Mimi nimekua na nilikuwa naenda Disko toto karibia kila sherehe leo nasikia BASATA wamelipiga marufuku.

Sasa ningependa kujua sababu hasa, kwa maana nijuavyo mimi mle ni watoto tupu wanacheza disko lao tena mchana baadae wanarudi nyumbani na kuna Mkubwa msimamizi sasa tatizo liko wapi?
Afadhali. Sasa waangalie na yale matamasha. Underage wanaenda sana. Wapigieni muziki watoto majumbani au mnaona sifa wakikata viuno hadharani?
 
Wanafanya kazi kizamani na kienyeji sana...

makatazo yao yalianza na tukio la watoto kufa kwenye disco toto la temeke
sasa ndo wamegeuza sheria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom